Goodman

Goodman Business man who's believing in hard work. Life is the ultimate thrill ride and I'm here to enjoy it.
(11)

KUPPET TAITA TAVETA Inawaalika Walimu wote na Umma kwa Ujumla 13/6/2025 Ijumaa Kwa Huduma ya Kuwasha Mishumaa kwa Marehe...
12/06/2025

KUPPET TAITA TAVETA Inawaalika Walimu wote na Umma kwa Ujumla 13/6/2025 Ijumaa Kwa Huduma ya Kuwasha Mishumaa kwa Marehemu Mwalimu Albert Ojwang' Grace Park Building Mwatate saa kumi jioni Mavazi ikiwa ni Shati Nyeupe/T-shirt.Mwambie Rafiki Amwambie Rafiki!!!🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️
Mungu ailaze roho ya Mwalimu Albert Ojwang' pahali patakatifu 🕊️🤍🙏😌.

Naona mmejipanga hadi mko na ‘back to senders’ experts 😀
12/06/2025

Naona mmejipanga hadi mko na ‘back to senders’ experts 😀

Every person has a right to demonstrate peacefully and unarmed.–Protestors vandalise newly erected dustbins in Nairobi C...
12/06/2025

Every person has a right to demonstrate peacefully and unarmed.
–Protestors vandalise newly erected dustbins in Nairobi CBD.
–Is this called a peaceful demonstration and freedom of expression🙄🙄🤔.

Magari yawaka moto katika CBD huku maandamano yakiendelea. Hasara kubwa hii! 👎🔻
12/06/2025

Magari yawaka moto katika CBD huku maandamano yakiendelea. Hasara kubwa hii! 👎🔻

12/06/2025
Askari alirudi kwa sababu waandamanaji walikuwa wakiandamana kwa amani. Iwe ya amani jamani, hki itatendeka tu!
12/06/2025

Askari alirudi kwa sababu waandamanaji walikuwa wakiandamana kwa amani. Iwe ya amani jamani, hki itatendeka tu!

Polisi watumia vitoa machozi kwa waandamanaji ndani ya Jiji la Nairobi wakidai haki kwa Albert Ojwang, wataka DIG Eliud ...
12/06/2025

Polisi watumia vitoa machozi kwa waandamanaji ndani ya Jiji la Nairobi wakidai haki kwa Albert Ojwang, wataka DIG Eliud Lagat ajiuzulu.

Rais William Ruto awasili Sarova WhiteSands kwa Kongamano la Wakuu wa Mashtaka ya Jumuiya ya Madola lililofanyika Mombas...
12/06/2025

Rais William Ruto awasili Sarova WhiteSands kwa Kongamano la Wakuu wa Mashtaka ya Jumuiya ya Madola lililofanyika Mombasa.

Waah!😔
12/06/2025

Waah!😔

12/06/2025

MAANDAMANO MJI MKUU, NAIROBI 📌🥹🥺😌

12/06/2025

Wanaharakati waanda maandamano wakitaka haki itendeke kwa marehemu Albert Ojwang ambaye aliuawa akiwa mikononi mwa polisi jijini Nairobi.

“Ukweli ni kwamba, Ojwang' alikuwa katika hali nzuri alipobukiwa. Lakini alihamishwa baadaye usiku huo, akateswa, na aka...
12/06/2025

“Ukweli ni kwamba, Ojwang' alikuwa katika hali nzuri alipobukiwa. Lakini alihamishwa baadaye usiku huo, akateswa, na akarudi akiwa hana uhai,” - Mmoja wa Maafisa Waliozuiliwa kasema.

Address

Nakuru

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Goodman posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Goodman:

Share