16/11/2024
π πππΌππ½ππ'π ππΌπππ
πΊπ¬Episode 19 π¦
Weka like kwanza mkuu..sikutaka kuanza excuses za Stacy io morning after the yesterday's issue, πnilitaka kuwin her trust so if ningeanza excuses angejua ilikuwa uongoπ.. Nilitamani ningepigia mtu simu ajifanye mganga but sikuwa na simu yangu io time, ilikuwa huko bedroom yetu.. Alirudi bedroom nami nikaenda kuogaπ. Io time bibi mdogo alikuwa ameshaamka na ako kitchen kupika chaiβ... Nilioga nikaenda bedroom ku'change.. Nilipata Stacy already ashavaa na ananingoja.. Niliendea simu yangu nikapata iko na missed calls 10..
ME: Simu yangu imepigwa hii yote na huwezi niitia??
STACY: Sikuskia ikiringπ«£
Hapo ndo niliangalia nikaona kumbe nilikuwa nimeeka silent π mode.... Nilishtuka sana kupata nilikuwa nimepigiwa na 8 new numbers, one call from mum na ingine from ule landlady coz nilikuwaga nime'save number yake.. The 8 new numbers ndo sasa ilinishtua, Stacy aliniangalia akarealise nimeshtuka..
STACY: Ni nn babe??
Kuskia bado naitwa babe nikaskia poa kiasiπ«£π₯° but sikutaka kuonyesha, unajuanga mkigombana na bado unaitwa babe hapo unajua tu mambo iko poa..
Nilionyesha Stacy zile new numbers nimepigiwa. Aliona ile ya mum pia akaniambia kwanza nikol mum nione anataka nini... Hapo ndo sasa form ilijileta poa, Stacy alikuwa hajui kiluhyaπ€£, na pia hakuwa anaelewa kabisa.. Nilikol mum akiwa hapo, mum hakuwa na issue aliniambia tu alikuwa anataka kunisalimia ju nilikuwa nime'mute sana.. wakati tunaongea nilianza kujifanya na facial expressions ati Kuna trouble, nilikata simuπ«‘ ya mum kisha nikakol beshteangu wa mtaa mwenye alikuwa anafanya job ya u'mechanic hapo tao, nilimuongelesha kwa Kiluhya Kiluhya...
ME: (translated from Luhya)π Vinnie, bana nilipata shida jana, Kuna hapa msichana tajiri aliniweka, so Niko na opportunity ya kuunda pesa.. nataka nimdanganye tukujie io place unadunga kazi, then ww organize na wenzako mningojee mahali fulani, tukifika tu hapo mnikidnapπ mniweke kwa gari kisha mumupee threat moja Kali na muondoke na mm.. But msimguze hata kidogo..
Vinnie alikubali io plan haraka akaniambia place watajificha... Nilikata ile simu..
STACY: Huyo ni nani??
ME: Ni cousin yangu, ako campo na kwao naskia Kuna vita ya brothers wake ju ya shamba so nilikuwa namuongelesha asiende huko...
Stacy kwa kutojua she believed me..
ME: Mi nko ready, tuishie..
(Wakuu niliwashow mm ni mtu wa ma idea hope hii mission itakuwa successful coz ikiweza mes mm Kwisha weka like mkuu tufikishe 1k likes Nikuje na next episode
Episode 20 loading...