UNNO MEDIA

UNNO MEDIA we present to you all updates and events that daily happen

hello my fellow Kenyans
02/09/2023

hello my fellow Kenyans

Innocent Makani AmuhayaI have found  what was destined to be with me....In addition to that am now proud of myself
01/09/2023

Innocent Makani Amuhaya
I have found what was destined to be with me....In addition to that am now proud of myself

What was behind the bedcover is now exposed to the lights....
01/09/2023

What was behind the bedcover is now exposed to the lights....

Splendit
10/08/2023

Splendit

This guy is known by many and few don't know him .he is well known as "innoo" short form of "INNOCENT",he was born on 1 ...
09/08/2023

This guy is known by many and few don't know him .he is well known as "innoo" short form of "INNOCENT",he was born on 1 may,2002 in Nandi county,Kenya. His real name is "INNOCENT MAKANI AMUHAYA"
Iater on he reverted from Christianity and joined Islamic Faith and changed his name to "MOHAMMED MAKHANI" in the year 2020.

hata baada ya dhiki jamaa huyu aliweza kutabasamu tena.Jamaa hawa wawili walijipata pabaya hii ni baada ya police kuwa n...
09/08/2023

hata baada ya dhiki jamaa huyu aliweza kutabasamu tena.Jamaa hawa wawili walijipata pabaya hii ni baada ya police kuwa nasa wakisafirisha kinywaji kitambulikanacho na wengi k**a "illicit brew" almaarufu "Chang'aaa" wawili hawa walikuwa safarini kuelekea Kapsabet na hapo wakanaswa kabla hawajafikisha mzigo huo wa lita mia mbili (200litres)...waliweka kufikishwa mahak**ani na hapo wakaachiliwa Kwa dhamaana ya pesa taslimu 80,000.Sasa wameonekana wenye furaha kutokana na kuachiliwa kwao hapo Jana.

wengi tunamtambua k**a Kondeboy au Harmonize , kumetokea mshikemshike kati yake na aliyekuwa mpenzi wake KAJAlA ambaye h...
09/08/2023

wengi tunamtambua k**a Kondeboy au Harmonize , kumetokea mshikemshike kati yake na aliyekuwa mpenzi wake KAJAlA ambaye hivi leo hawapo pamoja na hapo ndipo tunazama kwenye swala kuu kuhusu wawili Hawa...imetukia punde tu alipomjibu KAJALA kupitia wimbo wake mpya unao kwenda Kwa jina "EX" .Huu wimbo umeweza kuibuwa hisia tofauti miongoni mwa mafuns wa Harmonize pamoja na KAJALA. Baada ya KAJALA kudhania kuwa amemuweza Kwa matusi na kumkomesha Harmonize alijiona kuwa juu sana na kushangiliwa na badhi ya shabiki wake ila mara Kwa kishindo ghafla Tanzania nzima ilipata mushtuko Harmonize alipo lipuwa huu wimbo "Ex" ambao alikuwa akimuimbia KAJALA...

Address

Kiamunyi/Ngata
Nakuru

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UNNO MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share