Peter G

Peter G If your phone doesn't ring when you are struggling 🌧️, remember to not pick up the calls when you are winning 🏆.
(1)

A lesson in every silence and every celebration. ✨

Nimefinya Dem leo akalia, bt makosa ilikua yake aliweka vidole kwa mlango nikifunga😥😅
30/07/2025

Nimefinya Dem leo akalia, bt makosa ilikua yake aliweka vidole kwa mlango nikifunga😥😅

🏆🏆🏆💔😭💔😭Ushawahi toka shuleni jioni ukirudi home njaa inakuuma vibaya sana.Unafika kwa nyumba na stress zako after kuona ...
30/07/2025

🏆🏆🏆
💔😭💔😭Ushawahi toka shuleni jioni ukirudi home njaa inakuuma vibaya sana.
Unafika kwa nyumba na stress zako after kuona black out kwa chem😆
Unapata akuna mtu home na ulikuwa unaexpect atleast upate madhe amekuekea kachai juu ya njaa😩 Unatoa bag unaenda jikoni Ukiwa na hopes maybe madhe aliacha nduma kwa meko ukule😃😃
Kufika jikoni unapata pusi imelala ndani ya meko inakufanyia tuu "miawu "
Unaipiga teke juu ya hasira.Kidogo kidoga bro wako mdogo anatokea uko ,unamuuliza mama ameenda wapi ?? Anakuambia baba alimpiga akiwa amelewa akaenda kwao😔😔. Hapo ndio unajua maana ya mama 😂😂😂. May God bless you with responsible and good men dear ladies💝💝💝

Press the follow button above the post
Thanks in advance 💞🙏💞

K**a umeona siku ya leo Andika AMEN
30/07/2025

K**a umeona siku ya leo Andika AMEN

Wish me a GOOD NIGHT 😴  🌙
29/07/2025

Wish me a GOOD NIGHT 😴 🌙

😂🤣Leo nimetoka kazi 6pm nikapata STACY hayupo kumpigia phone akaniambia PETER 🙄, mimi na wewe tumewachana kabisaa.Nikaon...
29/07/2025

😂🤣Leo nimetoka kazi 6pm nikapata STACY hayupo kumpigia phone akaniambia PETER 🙄, mimi na wewe tumewachana kabisaa.Nikaona niingie huku fb angalau nitulize akili yangu kiasi kidogo,Kumbe sikuwa na data zilikuwa zime expire💔 niliona niingie tu na free mode nisome hata Memes za watu
Kighafla nikakutana na post yake STACY ameweka picture lakini hapo juu ameandika 'I LOVE YOU SWEETHEART ❤️'
mimi na kiherehere changu nikarusha comment hapo chini 'I love you too darling come back home'
Sahii nimenunua data nikaona niview hiyo picture ambayo STACY alipost yangu nikapata si mimi ni jamaa mwingine💔
Niko huku nje ya nyumba natafuta pahali pazuri pa kuzirai😭😭

29/07/2025

Ati haiezi panda kitu inatesheka 😂😂😂😂

It's high time I opened up 😓..I’ve been fighting with depression for so long..and honestly it’s exhausting.💔 Every day f...
29/07/2025

It's high time I opened up 😓..I’ve been fighting with depression for so long..and honestly it’s exhausting.💔 Every day feels like a battle I have to face alone becoz I just can’t open up to anyone anymore people ar not the same...Some judge, some don’t understand, and others just pretend to care...

I’ve kept so much bottled up for so long trying to act like I’m okay when deep down I’m really not. And today I genuinely feel like saying " I'm tired of you people claiming I've wronged you... Please!!

Siku moja mamako atakuitisha 500 na utamtumia 5k. Usitype amen. Amka ufanye kazi😅
29/07/2025

Siku moja mamako atakuitisha 500 na utamtumia 5k. Usitype amen. Amka ufanye kazi😅

Wacha Sasa nimalizie hii kitu. Vile nilipokea simu 📞📞 ya Kevo. Kevo. Niaje mester 👊 Peter. poa sana. Kevo. Mlipatana na ...
29/07/2025

Wacha Sasa nimalizie hii kitu. Vile nilipokea simu 📞📞 ya Kevo.

Kevo. Niaje mester 👊

Peter. poa sana.

Kevo. Mlipatana na Dem wako😘

Peter. Eeh 🥺🤣😘 but ameenda kujisaidia, sahi 2 hours imeisha.

Kevo. Utakuja kumsalimia Dem wangu.

Peter. Nitakuja.

Nikakata mawasiliano. Kisha nikaamua kuangalia huyo kidosho Kwa hiyo msitu 🤣.Nilivyo ingia sikuona mtu ni nyayo zake ndio zilikuqa, nikaamua kuifuata🚶 Moja Kwa moja. Ilinipeleka Hadi Kwa Kevo compound, ikadisapear🤣🤣🥺.

To cut this story short, vile niingia Kwa Kevo nilipata Dem ni mwenye nilikua naye. 🥺🥺Kevo nini mbona unafanyia hivi. Nipe viatu vyangu me niende. Usiniulize k**a nitalipa deni yako 🤣🤣. Nilimtumia huyo Dem ile pesa ulinipa. Niivyo nilichezwa🥺🥺🚶

Brothers usiwahi onyesha bestie wako Dem wako ukiwa unajua uko na mistari weak utanyang"anywa.mnifikishie 200likes nianzie story ingine leo LIKE MY PAGE Peter G

Upewe 900k ulale na Cousin yako unaweza kubali?Acha tuskie Malegends😂😂
29/07/2025

Upewe 900k ulale na Cousin yako unaweza kubali?
Acha tuskie Malegends😂😂

Vile nilimwona Doreen anapita 🚶.mm nilikumbuka simu 📞📞, nikakimbia🏃 hadi Kwa lodging, kufika nikapata but kuenda Kwa mpe...
29/07/2025

Vile nilimwona Doreen anapita 🚶.mm nilikumbuka simu 📞📞, nikakimbia🏃 hadi Kwa lodging, kufika nikapata but kuenda Kwa mpesa kuangalia balance nilistaajabu ya Musa, ya Farao nisha yaona ilikua na ksh 257 kati ya 46K, nilipiga nduru Moja Kali sana waitress akakuja na wakunywi wangine.

Waitress. 🤔Ni nini MBAYA customer

Me. 😭Yuu...leee? Kidosho niliii.. kuua nayeeee apa ameniibia pesa

Waitress. 🤣🤣🤣PESA ngapi

Me. 😭😭😭46k😭

Inshot walinichangia ksh 700 ya fair, Sasa nikakua na 950. Nikatoka Hadi stage ya Subukia kutafuta matatu. Nikapata . Nilivyofika Subukia, niliingia duka Fulani kufanya shopping kidogo at least nimfichie bibi white.

Masiku akaenda na ile loan nilikua nimechukua ilikua ilipwe after 30 days nikapitisha na wiki moja🤣🤣.Siku Moja majioni nikiwa naskiza bongo"Angalia shapu" by Ashley huku nimeconect Kwa Bluetooth. Kidogo simu ikapigwa📞,kuangalia ni new namba. Na vile Huwa mm n player sana ikabidi niende mbali kidogo ndio at least, bibi asisikie.🤣🤣Nikapokea📞

Me. Hello

Her. Hello.Ninaongea na David

Me. Yeah 👊,mm ni David kabisa bila kukosea. (Ilikua mrembo)

Her. Nakupigia simu kutoka kutoka Tala loan.

Me. 🤔🤔Mmh

Her. Unakumbuka ile loan ya 50,000 ulichukua na ulikua ulipe within 30 days.

Me. Hai labda mmekosea namba , mm sina deni pahali. Kisha nikakata mawasiliano, kugeuka nikapatana na Stacy bibi yangu.

Mnifollow Peter G . Likes kibao ndio nipate hamu ya kumalizia hii kitu Leo.

You hate me for nothing 😏
29/07/2025

You hate me for nothing 😏

Address

Nakuru

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Peter G posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share