Radio Amani

Radio Amani A community Radio Station under Catholic Diocese of Nakuru operating In Nakuru County within 100km Radius.

We broadcast via two Frequencies; 88.3 Fm Nakuru, 105.1 Fm Baringo. Our reach is 500,000 People per Program in our Daily Programming.

Hii Leo ni siku ya maadhimisho ya kusitisha ulanguzi au usafirishaji wa binadamu duniani.Maadhimisho haya yamengoa nanga...
30/07/2025

Hii Leo ni siku ya maadhimisho ya kusitisha ulanguzi au usafirishaji wa binadamu duniani.
Maadhimisho haya yamengoa nanga na yanaendelea katika County yetu ya Nakuru katika uwanja wa Nakuru ASK Showground.
Kauli mbiu ikiwa; "Human trafficking is an organized crime;Stop Exploitation."

Good Morning.....na karibu sana ndani ya   6-10AM ukiwa nami Nico Kyalo ...rauka tubarikiwe pamoja
30/07/2025

Good Morning.....na karibu sana ndani ya 6-10AM ukiwa nami Nico Kyalo ...rauka tubarikiwe pamoja

29/07/2025

LIVE | St. Bakhita Bahati Girls Secondary School Prayer Day | Bahati, Nakuru.

Good Morning....na karibu sana ndani ya   6-10Am ukiwa nami Nico Kyalo ... Rauka tubarikiwe pamoja
29/07/2025

Good Morning....na karibu sana ndani ya 6-10Am ukiwa nami Nico Kyalo ... Rauka tubarikiwe pamoja

Good Morning,ni Asubuhi njema ya Jumatatu ya mwisho ya mwezi wa Saba!!Hujambo na karibu sana ndani ya   6-10Am ukiwa nam...
28/07/2025

Good Morning,ni Asubuhi njema ya Jumatatu ya mwisho ya mwezi wa Saba!!
Hujambo na karibu sana ndani ya 6-10Am ukiwa nami Nico Kyalo ... rauka tubarikiwe pamoja

27/07/2025

na Marcello Omuttaha

27/07/2025

na Marcello Omuttaha . Natumai ulienda kanisani leo . Tupe ujumbe uliopata leo kanisani.

Kristu....Tumaini letu...Tumaini letu ni Kristu ....Hujambo na karibu ndani ya   nami Nico Kyalo ...rauka tubarikiwe pam...
27/07/2025

Kristu....Tumaini letu...Tumaini letu ni Kristu ....
Hujambo na karibu ndani ya nami Nico Kyalo ...rauka tubarikiwe pamoja..

26/07/2025

CS Health Aden Duale on SHA& DHA rollout in Nakuru.

Hii leo walimu, wanafunzi na wazazi wa shule ya St.Clare Primary and Junior school Elburgon wameshiriki katika siku ya m...
26/07/2025

Hii leo walimu, wanafunzi na wazazi wa shule ya St.Clare Primary and Junior school Elburgon wameshiriki katika siku ya michezo ya kila mwaka shuleni humo k**a njia mojawapo ya kuzitambua na kuzikuza talanta miongoni mwa wanafunzi.
Hongera kwa wote walioshiriki katika hafla ya leo.

Mwakilishi wa Baba Mtakatifu nchini Hurbetus Maria Van Megen akishirikiana na Padre Cornel Omondi kuwaongoza wazee katik...
26/07/2025

Mwakilishi wa Baba Mtakatifu nchini Hurbetus Maria Van Megen akishirikiana na Padre Cornel Omondi kuwaongoza wazee katika Parokia ya Our lady of Sorrows, Kinungi kusakata Densi na kuwatunuku zawadi mbalimbali.

Pongezi sana 👏👏

Address

Assumption Centre
Nakuru
20100

Telephone

0736883883

Website

https://www.catholicdiocesenakuru.org/overview.html

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Amani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Amani:

Share