Radio Amani

Radio Amani A community Radio Station under Catholic Diocese of Nakuru operating In Nakuru County within 100km Radius.

We broadcast via two Frequencies; 88.3 Fm Nakuru, 105.1 Fm Baringo. Our reach is 500,000 People per Program in our Daily Programming.

Karibu kwenye  kipindi bomba   ukiwa nami John Moura Wafula karibu tubarikiwe PamojaGreat  mornings  Begin Here
08/10/2025

Karibu kwenye kipindi bomba ukiwa nami John Moura Wafula karibu tubarikiwe Pamoja
Great mornings Begin Here

Itaitwa kikwetu Tuesday karibu sana tutapiga Leo zile za kikwetu,   amefika mjengoni , inaitwa, Lazima isemwe. Umekuwaje...
07/10/2025

Itaitwa kikwetu Tuesday karibu sana tutapiga Leo zile za kikwetu, amefika mjengoni , inaitwa, Lazima isemwe. Umekuwaje Leo sema hiyo kitu ikutoke. Twende nalo.
0717875739
0788551970.

Erick Vienna
🐊 🐊

Good Morning... Studioni tunaye Bi Martha Nyoro tunazungumzia Mambo ya kuzingatia kabla mtu akubali Kuingia kwa mahusian...
07/10/2025

Good Morning... Studioni tunaye Bi Martha Nyoro tunazungumzia Mambo ya kuzingatia kabla mtu akubali Kuingia kwa mahusiano ama Ndoa...

Good Morning.....Karibu Sana ndani ya mjengo ...  inaingia kukuburidisha ukiwa nami Nico Kyalo na John Moura Wafula .......
07/10/2025

Good Morning.....
Karibu Sana ndani ya mjengo ... inaingia kukuburidisha ukiwa nami Nico Kyalo na John Moura Wafula ....
Upo ndani??

Haiya basi hatimaye jumatatu nyingine safi sana.   🐊 ni kipi kimekufuraisha au kukuudhi Leo au ata winkendi. πŸ˜ƒAlafu duru...
06/10/2025

Haiya basi hatimaye jumatatu nyingine safi sana. 🐊 ni kipi kimekufuraisha au kukuudhi Leo au ata winkendi. πŸ˜ƒ
Alafu duru za kuaminika zinasemaje kutuhusu hapo upande wenu? 😁😁 kwa nji ya kipekee tunawashukuru sana kwa kutuskiliza na kufwatilia vipindi vyetu.πŸ€πŸ€—
Leta kauli hapa pia
0717875739
0788551970

Erick Vienna.

06/10/2025

Msafara wa Misa wakati wa maombi ya kitaifa katika Mji wa Maria Subukia .

Thank you for always choosing Radio Amani  God bless you abundantly πŸ™ You can support us through Paybill number 4021187A...
06/10/2025

Thank you for always choosing Radio Amani God bless you abundantly πŸ™

You can support us through
Paybill number 4021187
Acc number RADIO

Be blessed πŸ˜‡

Heri njema ya Miaka 13 ya upadre kwa Mapadre wafuatao waliopata Daraja Takatifu Tarehe 6 mwezi Oktoba Mwaka 2012:Rev.Fr....
06/10/2025

Heri njema ya Miaka 13 ya upadre kwa Mapadre wafuatao waliopata Daraja Takatifu Tarehe 6 mwezi Oktoba Mwaka 2012:
Rev.Fr. Evans Kulei
Rev.Fr. John Maina Nderitu
Rev.Fr. John Murigi Ndung'u
Rev.Fr. John Njoroge Kamau
Rev.Fr. Joseph Kaniu
Rev.Fr. Michael Gachie
Rev.Fr. Peter Mose
Rev.Fr. Vincent Keana

Je ni kipi kinachangia idadi ya chini ya wakenya kujiandikisha k**a wapiga Kura?Jiunge nami Nico Kyalo na Mgeni wangu Bw...
06/10/2025

Je ni kipi kinachangia idadi ya chini ya wakenya kujiandikisha k**a wapiga Kura?
Jiunge nami Nico Kyalo na Mgeni wangu Bwana Peter Kimani mwendo wa saa mbili tukijadiliana suala hili....

06/10/2025

Mafunzo ya kujenga Sana kutoka Kwa Padre mKuu George Munyaka.

Good Morning....na karibu sana ndani ya   6-10Am ukiwa nami Nico Kyalo ...Rauka tubarikiwe.....
06/10/2025

Good Morning....na karibu sana ndani ya 6-10Am ukiwa nami Nico Kyalo ...Rauka tubarikiwe.....

Baba Askofu Cleophas Oseso ameongoza misa takatifu ya sakramenti ya Kipaimara katika parokia ya St.Patrick's Eldama Ravi...
05/10/2025

Baba Askofu Cleophas Oseso ameongoza misa takatifu ya sakramenti ya Kipaimara katika parokia ya St.Patrick's Eldama Ravine, misa ambayo pia Baba Askofu wa jimbo la Meru Mhashamu Jackson Murugara alikuwa mgeni rasmi.
Barikiweni katika bwana wanaparokia ya Eldama Ravine.

Address

Assumption Centre
Nakuru
20100

Telephone

0736883883

Website

https://www.catholicdiocesenakuru.org/overview.html

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Amani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Amani:

Share