Radio Amani

Radio Amani A community Radio Station under Catholic Diocese of Nakuru operating In Nakuru County within 100km Radius.

We broadcast via two Frequencies; 88.3 Fm Nakuru, 105.1 Fm Baringo. Our reach is 500,000 People per Program in our Daily Programming.

08/06/2026

All Things Aluminium & Glass, You dream it, we build it!

Siku njema!Karibu ndani ya   ukiwa nami John Moura Wafula Wikendi yako ilikuwa vipi?
08/06/2026

Siku njema!Karibu ndani ya ukiwa nami John Moura Wafula Wikendi yako ilikuwa vipi?

Baba Askofu Cleophas Oseso kwa ushirikiano na Mapadre wenza, hii leo ameongoza misa ya kusherehekea Sikukuu ya Mwili na ...
07/06/2026

Baba Askofu Cleophas Oseso kwa ushirikiano na Mapadre wenza, hii leo ameongoza misa ya kusherehekea Sikukuu ya Mwili na Damu takatifu sana ya Bwana wetu Yesu kristu au "Corpus Christi" katika Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga, Njoro.
Katika homilia yake, Baba Askofu amewarai wakristo kukomaa katika Imani na kutambua zaidi umuhimu wa Ekaristi Takatifu katika maisha yao.

Kwenye Misa hiyo pia wakristo 165 wamepata nafasi ya kupokezwa sakramenti ya Kipaimara na Baba Askofu.
Hongera zaidi 👏👏

Radio Amani took part in organising and hosting a Community dialogue to discuss the issues affecting   residence.The iss...
07/06/2026

Radio Amani took part in organising and hosting a Community dialogue to discuss the issues affecting residence.
The issues included
Negative Ethnicity brought by political intolerance
Increase in Femicide cases and GBV
Increase in Crime and organised crime

Are you affected by this issues? And what solutions do you recommend?

Thanks to our partners Kenya Community Media Network for sponsoring this dialogue.

Catholic Diocese of Nakuru Media Council of Kenya The Catholic Mirror - KCCB Caritas Nakuru Catholic Church

Radio Amani Leo hii imeshiriki kusherehekea Sikukuu ya Miwili na Damu takatifu ya Yesu katika parokia ya St Francis Of A...
07/06/2026

Radio Amani Leo hii imeshiriki kusherehekea Sikukuu ya Miwili na Damu takatifu ya Yesu katika parokia ya St Francis Of Assisi Catholic Church, Kiti chini ya Catholic Diocese of Nakuru
Madelena Mkirema

Happy Solemnity of Corpus Christi

07/06/2026

na Marcello Omuttaha sasa hadi saa kumi na mbili jioni. Ibada ya Misa ulishiriki wapi na Ulisikia nini ?

Sherehe za Mwili Na Damu Takatifu Ya Bwana wetu Yesu Kristo..

Tumsifu Yesu Kristu! Hujambo na karibu msikilizaji kwenye Kipindi   ukiwa  nami John Moura Wafula  Unashiriki Misa wapi ...
07/06/2026

Tumsifu Yesu Kristu! Hujambo na karibu msikilizaji kwenye Kipindi ukiwa nami John Moura Wafula Unashiriki Misa wapi wapi na sala yako ni ipi jumapili hii ya corpus Christi?

06/06/2026

Address

Assumption Centre
Nakuru
20100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Amani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share