16/07/2025
Kutoka kwenye ukurasa rasmi wa Instagram wa msanii wa Bongo Fleva, , baada ya kutimiza miaka 3 ya ndoa na mume wake , Nandy aliandika ujumbe wa hisia akielezea mapenzi yake kwa mumewe:
βMume wangu kipenzi...
Asante kwa miaka mitatu ya upendo, ushirikiano, na uthubutu wa kila tuliwezalo!
Neno nakupenda peke halitoshi kuelezea maana halisi ya mapenzi yangu kwako.
Upendo wangu kwako unaonyeshwa kupitia matendo yangu, heshima yangu, kujali kwangu, na sala zangu juu yako.
MUNGU aendelee kukupigania kwa ajili ya familia yetu,
Aendelee kukuimarisha kwa ajili yangu,
Aendelee kukupa afya kwa ajili ya Kenaya na mapacha wetu soon...!
Nikwambie kitu? π₯°
You're so handsome β usoni mpaka mfukoni!
Sikuachi leo, kesho, wala kesho kutwa!
Na hata nikitangulia, ubaki kwa ajili yangu ili tuonane tena!
Usimuache Mungu, usiache kunipa sasampa, na MUNGU hatokuacha kamwe.
Letβs enjoy today sababu tuna mengi ya kufurahia.
Baraka ziwe juu yako, my love.
Happy Anniversary, roho yangu β€οΈ β