EVENT Organizer IN KENYA

EVENT Organizer IN KENYA About performing live event ,. content creator and video director

Stivo Simple Boy  confesses that " Wanadada wananipenda juu mimi Niko beurry(beauty), Niko hot ,Niko yobo yobo, Nko deli...
23/11/2023

Stivo Simple Boy confesses that " Wanadada wananipenda juu mimi Niko beurry(beauty), Niko hot ,Niko yobo yobo, Nko delicious , Niko minji minji,Niko juicy,Niko Stew yaani Nko moto manze."
😁🀣🀣

A short moral storyπŸ˜…πŸ˜…
11/10/2023

A short moral storyπŸ˜…πŸ˜…

A very short story πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
11/10/2023

A very short story πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

10/08/2023

Charles':Babe where are you?
Mwende: I'm on my way to work my sissy is driving me with her Mercedes Benz X-class because her Toyota Mark X is in the garage for service and the other Land Cruiser Prado Iko car washπŸ˜πŸ˜‚and where are youπŸ˜‚πŸ˜‚
Charles':Well I'm in a super metro bus 🚌 sitting two rows behind youπŸ˜‚πŸ€£πŸ€£I just wanted to Tell you that you should not pay the conductor 🀣🀣 I've already paid for youπŸ€­πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣Mungu nifunze kunyamazaπŸ˜πŸ˜‚Eeish πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ’•

Nani k**a mamaπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ˜‚
10/08/2023

Nani k**a mamaπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ˜‚

31/07/2023

Umewai Kula maharagwe sahani mbili 🍚🍚 ukaongezea mahindi Choma moja na nusu πŸ˜— Ukafeel hujashiba ukaongeza Ndizi 🍌🍌 tatu ... kidogo umetulia crush πŸ˜‹ anakukol anakuambia "" Beb Leo Kam kejani kuna surprise yako""πŸ™‚ unatoka nduki πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎ unafika Kwa gate unamtext
anakukujia😜 Mahug kibao then anakufunga kitamba macho anakupeleka ady sitting πŸ‘ŒπŸΌ anakusho swry tulia Acha nigonge shower .... kidogo unaanza kukazwa na mnyambo πŸ™‚ unainua mguu moja juu unajilia puuuh πŸ˜‘ kananuka na tena ingine inashambulia sasa unaachilia na Nguvu kiasi πŸ˜€ Crush anarudi anauliza kwani Beb kitamba kinanuka spray gani
ii 😰😰 anakufungulia macho unapata familia yake yote imeshikilia mapua 😭😭 then babake Anasema ..... Kijana k**a ii ndo kusuta ni heri uende Vietnam πŸ˜“ mamake anaconclude .... Msichana ungeachilia ya tatu si ungetuua πŸ™‚πŸ™‚
That happened to me now so am faintedπŸ˜…

31/07/2023

Wenye mnataka wababaz ama boy friends wako na pesa ,muwache Sasa kwenda kwa maclub,hamtawapata,...anzeni Sasa kwenda kwa makanisa,Sunday ikifika oga vizuri,vaa dress yako sexy,(wacha kuvaa k**a mama kanisa wa PAG ama SDA ,ati ndio uonekane umeokokaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚)paka makeup yako vizuri,na usioverdo,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚halafu piga spray yako vizuri na ubebe sadaka yako enough, wacha kupeleka aibu kwa kanisa,and make sure nywele yako Iko smart, halafu toka uende kwa hizi makanisa kubwa kubwa k**a JCC,CITAM, PARKLANDS,na catho zingine pia,na ikiwezekana endanga a different church kila Sunday,after all it's that one and same God...,.....and thank me later,.....me nishapata wangu wanne,from different churches.....na hawako old by the way,πŸ˜πŸ€—πŸ€—wako kwa age bracket ya 30-35,..ni wale watu Mungu alitangulia kufikia,...and guess what they are single so Kuna chances za kuolewa hui mwaka,get ready there's free rice,....na k**a kwenu ni mbali,panda mat lakini ukikaribia kufika,ita Uber ama bolt,ndio usilipe pesa nyingi, arrive in style atleast,ju wengi kwa hizo makanisa hukuwa na magari,kwanza hii parklands,... halafu time ya kutoka usikimbilie kutoka,zubaa zubaa hapo kiasi jifanye una socialize na watu,and remember to put on that smile,........ni hayo tu kwa Sasa, follow for more relationship advice πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

31/07/2023

Sharon niambie k**a
hukuji nirudishe matress
ya wenyewe......πŸ˜­πŸ’”

31/07/2023

Babygal amepatikana na macho ya omena kwa menoπŸ˜‚πŸ’€
πŸ”
Organizer KEπŸ†•β˜‘οΈ

Nilkua nimekufia mkale hapa helldoretπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚  πŸ˜‹πŸ˜‹kumshow akaniambia nimkimbize nikimshika atakua wangu 😘Wakuu si tumekimbia s...
30/07/2023

Nilkua nimekufia mkale hapa helldoretπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‹πŸ˜‹kumshow akaniambia nimkimbize nikimshika atakua wangu 😘
Wakuu si tumekimbia sahi tuko kuvuka boader ya Tz
Nileteeni maji wakuuπŸ™†πŸ™†πŸƒπŸƒ

True storyπŸ˜‡πŸ˜‡    4yrs ago nilipigiwa simu nikaitwa kazi Embu County na rafiki yangu fulani. Nikakopa fare juu nilikuwa ni...
30/07/2023

True storyπŸ˜‡πŸ˜‡
4yrs ago nilipigiwa simu nikaitwa kazi Embu County na rafiki yangu fulani. Nikakopa fare juu nilikuwa nimekaa mbaya sana na that time tulikuwa tumekosana na hubby.. . Nikaacha watoto na mamangu na nikaeda.. Kufika embu rafiki yangu akanichukua stage na tukaelekea kwenye nikifaa niede kazi,after kutebea kidogo from stage dame akaingia club fulani nikaachwa ka nimesmama apo nje. Kiiiiiidogo tu dame akatoka akanishika mkono na tukaingia dani πŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈ.. Vile tuliketi aliniabia( my friend hapa do nataka uwe unafanya kazi)akanionyesha kila Mahali tukaingia counter akaniabia nitakuwa nafanya peke yangu bt every Tuesday nitakuwa off... Tukaongea kuhusu mshahala stock akachikua na nikapewa key nianze job...ladies mimi sikuwa na otherwise en bythaway kuongea ukweri kazi ya club si mbaya na usimdhalau mwanamke juu ya kuuza club,,kuuza club ni kazi k**a Ile ingine... Mimi niliingia counter nikambia Mungu ambaliki kazi ya mikono yangu na nikaanza kazi.. Within 3days nilikuwa nimenunua vitu za nyumba na nikalipa rent within one week.there is God in heaven en there is nothing expensive in this world than favor from God..sikuwa na marafiki nikapata marafiki wapya na wazuri.. Kazi ilinikubali kabisa nikazoea walevi na usubufu wao,lock asubuhi lazima ningewatoa mapema alafu ungeniona morning nikieda job ungedhani ni bank nafanyanga kazi😁.. Uuuui kuvaa nayoπŸ’ƒπŸ’ƒ....(kazi ni kazi) hivyo divyo nilikuwa nawaambia wakiniuliza bona niloamua Kufanya iyo Kazi...5months ikaisha bado nafanya kazi bado nalea watoi.. One Monday morning niliamka ka nmechelewa kuangalia saa ilikuwa 6.30am wanaume wameningonja nje niwatoe lock.kuangalia simu vizuri nikaona kuna missed call bt I didn't bother kuangalia ni nani juu nilikuwa nimechelewa. Nikatoka bio chwa hadi hadi job.kitu 8am nikakubuka simu,nikaona hubby alikuwa amenipigia like 16times.. Aaaaai nikampigia hakushika, after 2hrs nikaanza kuhala yaani kuedesha, tumbo haiumi bt kuhala na wasiwasi dio zilikuwa zanisubua...nikapigi

Address

Nairobi
Ruaka
3742

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when EVENT Organizer IN KENYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to EVENT Organizer IN KENYA:

Share