Mr Mbilimbili

Mr Mbilimbili Official Mr Mbilimbili page follow me fans
(5)

10/07/2025
The eggs are eggsing" good night,๐Ÿ˜‚
07/07/2025

The eggs are eggsing" good night,๐Ÿ˜‚

Ule msee uliambia asiniambie ameniambia nisikwambie. ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
20/06/2025

Ule msee uliambia asiniambie ameniambia nisikwambie. ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

kuingia Churchill show ni 1000 na unachekeshwa 1hr ,, bhangi ni 50bob unacheka the whole day๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ Mutajua lini kutumia p...
08/06/2025

kuingia Churchill show ni 1000 na unachekeshwa 1hr ,, bhangi ni 50bob unacheka the whole day๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ Mutajua lini kutumia pesa vizuri nyinyi sitawafunza kila kitu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

mimi ile stress niko nayo๐Ÿ˜ดacha nilie kwanza๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญso Iko ivi๐Ÿ™„mimi hufanya kazi kwa Mochari,,kila time nikionana na mke wangu...
08/06/2025

mimi ile stress niko nayo๐Ÿ˜ดacha nilie kwanza๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญso Iko ivi๐Ÿ™„mimi hufanya kazi kwa Mochari,,kila time nikionana na mke wangu kimechi,,huwa anacomplain ati machine yangu ni kubwa na ety huwa namuumiza sana๐Ÿ™„sasa juzi tukiwa kazi,,tukaletewa maiti ya mwanaume..mimi nikaona machine gun yake ni kubwa sana๐Ÿฅฑnikaamua kupiga picha though sikupiga uso ndo nikienda nyumbani nionyeshe bibi yangu ndo awache kucomplain ety yangu ni kubwa๐Ÿ˜ด,,kufika nyumbani, nikaongojea watoto walale alafu nikaita bibi yangu ๐Ÿ˜ nikamuambia,,beb,,nataka nikuonyeshe kitu ndo usirudi kusema nakuumiza๐Ÿ˜…,๐Ÿ˜‹,,kumuonyesha tu hivi,,niliona ameshika mdomo,,nikadhania ameshangaa kuona kitu kubwa kuliko yangu,,,nikasikia amesema,,,,Sam ,,,,usiniambie brayo amekufa!!!!!๐Ÿ™„
Hii story ningemaliza lakini data zimeisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Meanwhile follow
Mr Mbilimbili

we Naniii,ona๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
06/06/2025

we Naniii,ona๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

"Naitwa Mr Mbilimbili "k**a unanipenda weka tick
05/06/2025

"Naitwa Mr Mbilimbili "
k**a unanipenda weka tick

๐„๐ฑ ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐Ÿ๐ž๐ž๐ฅ ๐ฏ๐ข๐›๐š๐ฒ๐š ๐ฏ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ ๐š๐ซ๐ข๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ ๐˜๐š๐ง๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐๐ž๐ซ๐ž๐ฏ๐š ๐š๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ ๐š๐ฃ๐ž ๐ฌ๐ฎ๐ซ๐ž๐ฅ๐ฒ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ ๐Š๐ฐ๐š๐ง๐ข ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ง๐ฒ๐š๐ ๐š๐Ÿ˜…...
04/06/2025

๐„๐ฑ ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐Ÿ๐ž๐ž๐ฅ ๐ฏ๐ข๐›๐š๐ฒ๐š ๐ฏ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐จ๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ ๐š๐ซ๐ข๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ ๐˜๐š๐ง๐ข๐ข ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐๐ž๐ซ๐ž๐ฏ๐š ๐š๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ ๐š๐ฃ๐ž ๐ฌ๐ฎ๐ซ๐ž๐ฅ๐ฒ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ ๐Š๐ฐ๐š๐ง๐ข ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ง๐ฒ๐š๐ ๐š๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐€๐ง๐ ๐ž๐ค๐ฎ๐›๐จ๐ง๐๐š ๐ฎ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ž ๐ ๐ก๐š๐ฌ๐ข๐š ๐ก๐ข๐ข๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

SUITED. Any questions โ“
02/06/2025

SUITED. Any questions โ“

30/05/2025

LADIES EXPLAIN THIS!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐Ÿ’ซBaba mmoja๐Ÿค  alimpaka mke๐Ÿง• wake sumu kwenye chuchu zake akiwa amelala๐Ÿ›Œ. ili mtoto ๐Ÿ‘ถ akinyonya afeโšฐ๏ธ Kwa sababu alihisi m...
28/05/2025

๐Ÿ’ซBaba mmoja๐Ÿค  alimpaka mke๐Ÿง• wake sumu kwenye chuchu zake akiwa amelala๐Ÿ›Œ. ili mtoto ๐Ÿ‘ถ akinyonya afeโšฐ๏ธ Kwa sababu alihisi mtoto ๐Ÿผ hakua wake๐Ÿ™…๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ na akaondoka๐Ÿš— kwenda kazini aliporudi kutoka kazini๐Ÿš˜๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ alikuta house boy๐Ÿง”๐Ÿพ amekufa โ˜ ๏ธ
Usiniulize alikufa aje๐Ÿค”๐Ÿคฃ
Mimi sipendagi kufuatilia mambo ya boma ๐Ÿ  za wenyewe๐Ÿคธ๐Ÿพโ€โ™€๏ธ๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿคฃ

Follow
Mr Mbilimbili

So Hawa  AnonKenya wame hack Tanzania aki ,Lakini nataka niwajulishe wakenya upelelezi imeanza rasmi na mwenye ana simam...
23/05/2025

So Hawa AnonKenya wame hack Tanzania aki ,
Lakini nataka niwajulishe wakenya upelelezi imeanza rasmi na mwenye ana simamia hio upelelezi sio mwingine ni mtu wenu the uncle black aka Mr Mbilimbili na nikikupata ujue ni wantam ๐Ÿ˜น

Address

Sondu

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Mbilimbili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share