Mr Mbilimbili

Mr Mbilimbili Official Mr Mbilimbili page follow me fans
(5)

Goodmorning Early birds...Masaa ni ya forex😂
20/08/2025

Goodmorning Early birds...Masaa ni ya forex😂

Mali safi
18/08/2025

Mali safi

Ukiachwa saai utachukua miezi ngapi kupata mwingine 😂😂💔🙌follow Mr Mbilimbili
16/08/2025

Ukiachwa saai utachukua miezi ngapi kupata mwingine 😂😂💔🙌
follow Mr Mbilimbili

my x amefungua salon na hiii ndo KAZI yake ! one word to her 😅 follow Mr Mbilimbili
16/08/2025

my x amefungua salon na hiii ndo KAZI yake !
one word to her 😅
follow Mr Mbilimbili

Harooo kumi na nne supu 😂😂😂😂😂😂😂😂Follow Mr Mr Mbilimbili
14/08/2025

Harooo kumi na nne supu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Follow Mr Mr Mbilimbili

mtasema Nilizaliwa kwa shamba coz i look a-maize-ing😂🤭🤣" au sio mzee 😂
06/08/2025

mtasema Nilizaliwa kwa shamba coz i look a-maize-ing😂🤭🤣" au sio mzee 😂

Mimi Mr 22  yaani mimi nikipata tu Bibi💑 wa kunipikia food mapema🍜🍚, nakula mapema😝😜 before tulale, anapiga magoti kwanz...
28/07/2025

Mimi Mr 22 yaani mimi nikipata tu Bibi💑 wa kunipikia food mapema🍜🍚, nakula mapema😝😜 before tulale, anapiga magoti kwanza tunaomba🙏 mungu, kisha tunalala alfu usiku ananiamsha ananiuliza "Beb😘 amka nkupe kamoja👙🍆 Najua umechoka juu ya kazi mingi ya mchana but amka tu nkupe😝💏"mimi uyo najifanya sitaki😴 ili acd kunibembeleza😳 😛alfu badae nichangamkie viproper🍆👙 kisha tulale😴😝
Asubuhi🌅🌄 napewa morning glory🍆👙 alfu ananiamsha nioge🚿🛁🛀, time nko naoga🛀🛁🚿 yeye ananipikia chai🍵🍞 after apo anipanguze nA towel k**a mtoi😛😜 anitolee my favourite suit👖👕👔👞👞👓 kisha anivalishe then nkunywe Chai after apo anipige kiss😘💋 ndio niende job!🚗
Ananipea😘 kiss kisha aniescort👬 kidogo adi apo mbele🚗 alfu aniache nA hug💏 nkifika job ananipigia simu📞☎📲 ananiuliza ka nlfika job salama! Ikifka lunch time ananipigia simu☎ 😘"Beb umekula lunch🍜🍚 ama nkuletee lunch kwa job? Walai🙏 nikipata bibi k**a uyo mwenye anaelewa kuwa simu yangu ni yangu na simu yke ni yetu, yaani Hakuna kitu ananifichanga... Mimi nkipata Bibi wa kunifanyia kila kitu ivo NTAMCHEZA TU!!!!! HALAFU NAMWACHA🤸🤣🤣😹??
😂😂😂😂😂😂
🏃🏃🏃
Continue following my page Mr Mbilimbili

Amekuja sana huyu AJAFI 😅🤣
26/07/2025

Amekuja sana huyu AJAFI 😅🤣

Huyu AJAFI ameamua kufaa k**a Mimi 🤣 sindio 🤣😂
25/07/2025

Huyu AJAFI ameamua kufaa k**a Mimi 🤣 sindio 🤣😂

TBT moja safi na kijana wa mandevu..msijifanye hamjaona maskio za huyu jamaa pale 2010😂😂😂Follow Mr Mbilimbili
24/07/2025

TBT moja safi na kijana wa mandevu..msijifanye hamjaona maskio za huyu jamaa pale 2010😂😂😂
Follow Mr Mbilimbili

Mi ni msee wa boda....,,,,, 🚴so jana after nimevuta bangi, Nilitoka job nikiwa nimechoka😣nikaingia kwa nyumba at least n...
23/07/2025

Mi ni msee wa boda....,,,,, 🚴so jana after nimevuta bangi, Nilitoka job nikiwa nimechoka😣nikaingia kwa nyumba at least nipate kitu ya kukula😞
Nikapumzika for 5minutes, nikaamua niende kuoga 😃(though mnatuchomea hatuogi😢) kufika nikapaka sabuni kwa kichwa😠nikaona haishiki😲
Nikamwaga maji bado sifeel🙆 aaii nikajua imekua serious, but nikarudia Mara ya mwisho ndio niwe sure😉nikajimwagia tena bado sifeel maji😱😱
Nikapiga nduru uuuuuuwiiiiii watuuuuu nimerogwa 😰😲😲si watu wakajaa🙆wakaniuliza nini mbaya.....nikawaambia kichwa yangu haishiki sabuni na maji😢😓 zile ngoto nilipigwa 😢😢😰😰😓😓sitawai sahau
Kumbe sikua nimetoa helmet kwa kichwa😂😂

Address

Belgut
Sondu

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Mbilimbili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share