Kosmos Connect

Kosmos Connect KOSMOS CONNECT is Taita Taveta's number one online Media that brings all the current affairs.REACH US ON 0740296944/0787149293.

SUPPORT KOSMOS
TILL NUMBER 3063708

13/05/2026

"HAINA KUFELI..SENETA NI KILELE 2027"-Mbarak Ngure

13/05/2026
Watu wawili wajeruiwa  kule Amboseli baada ya simba kutoka kwa mbuga ya wanyama na kuvamia wananchi.Simba huyo ameuawa.
13/05/2026

Watu wawili wajeruiwa kule Amboseli baada ya simba kutoka kwa mbuga ya wanyama na kuvamia wananchi.

Simba huyo ameuawa.

13/05/2026

Hali ya sintofahamu imetanda kwa watumizi ya barabara ya timboni taveta baada ya wafanya biashara wa timboni kulalamikia hali mbovu ya barabara iyo.
Wameamua kufunga njia na kutolipa ushuru mpaka barabara itengenezwe.
Aidha mwakilishi wadi amelaumu serikali ya kaunti kuchelewesha mradi huo ambao ameutengea millioni 2.

Mbunge Hon. John Bwire - Taveta Constituency. Leo hii aungana na Naibu Rais Kithure Kindiki kwa hafla ya kuapishwa kwa  ...
12/05/2026

Mbunge Hon. John Bwire - Taveta Constituency. Leo hii aungana na Naibu Rais Kithure Kindiki kwa hafla ya kuapishwa kwa Rais Yoweri Museveni kuanza muhula wake wa saba madarakani.

12/05/2026

"Tunahitaji dialogue kuhusu hili suala la moto shuleni.Hatuezi kuwa kimya kipindi cha janga k**a hili.Viongozi waite washika dau tuzungumze ili kupata suluhu."-Mbarak Ngure

EXCLUSIVE INTERVIEW
https://youtu.be/TECQUw0TKQ4?si=6qRdfbjiAuQuQO5l

Unamtambua huyu kiongozi kwa lipi?LYDIA HAIKA-mwaniaji useneta 2027 Taita Taveta.
12/05/2026

Unamtambua huyu kiongozi kwa lipi?

LYDIA HAIKA-mwaniaji useneta 2027 Taita Taveta.

Aliyekuwa Naibu Rais H.E. Rigathi Gachagua, EGH  anahutubia vyombo vya habari.
12/05/2026

Aliyekuwa Naibu Rais H.E. Rigathi Gachagua, EGH anahutubia vyombo vya habari.

“Tulipanga kumng’oa Riggy G madarakani pamoja na Ichung’wa na washirika wengine wa Ruto kutoka Mlima Kenya, na tulijua a...
12/05/2026

“Tulipanga kumng’oa Riggy G madarakani pamoja na Ichung’wa na washirika wengine wa Ruto kutoka Mlima Kenya, na tulijua atasahaulika baada ya wiki mbili. Kwa bahati mbaya, mambo yalienda tofauti; Ruto alipoteza kura za Mlima Kenya na sasa anajutia sana kumng’oa.
Gachagua hakufanya kosa lolote, tulimtungia tu kuwa ni ‘mkabila’ ili iwe rahisi kumng’oa, lakini ukweli ni kwamba si mkabila. Yeye huwa anasimamia haki ya mwananchi.”
~ Anne Waiguru

Unamtambua huyu kiongozi kwa lipi?Mike Banton-mwaniaji ubunge 2027 Taveta.
12/05/2026

Unamtambua huyu kiongozi kwa lipi?

Mike Banton-mwaniaji ubunge 2027 Taveta.

Rais wa ufaransa Macron na Rais Ruto pamoja na mkewe Bi. Rachel  Ruto.
12/05/2026

Rais wa ufaransa Macron na Rais Ruto pamoja na mkewe Bi. Rachel Ruto.

Address

Taveta

Telephone

+254787149293

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kosmos Connect posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kosmos Connect:

Share