Habari Nyepesi Nyepesi BLOG

Habari Nyepesi Nyepesi BLOG kUrasa hii iko mahususi kwa habari kwanzia
siasa, michezo, burudani, mazingira, na mengine kibao

ANTONIO RUDIGERRudiger atua Santiago Bernerbeu kwa kandarasi ndefu. Beki huyo mbeligiji amejiunga na Real Madrid akitoke...
03/06/2022

ANTONIO RUDIGER

Rudiger atua Santiago Bernerbeu kwa kandarasi ndefu. Beki huyo mbeligiji amejiunga na Real Madrid akitokea Chelsea na ameelezea furaha yake kujiunga na miamba hao wa uhispania.

YOURI TIELEMANSArsenal bado wako mbioni kumnasa kiungo wa kati wa  Leicester city. Maongezi yanaendelea baina ya klabu h...
03/06/2022

YOURI TIELEMANS

Arsenal bado wako mbioni kumnasa kiungo wa kati wa Leicester city. Maongezi yanaendelea baina ya klabu hizo mbili.

Tielemans amebakisha mwaka moja kumaliza kandarasi yake na hayuko tayari kuendelea kusalia klabuni humo.

Leicester city wameitisha dau kati ya €35-40M kwa kiungo huyo.

MKURUGENZI WA BAYERN OLIVER KAHN;"Siwezi kuwaambia kwa nini Lewandowski amechagua kuwasilisha hali yake kwa namna hii. K...
31/05/2022

MKURUGENZI WA BAYERN OLIVER KAHN;

"Siwezi kuwaambia kwa nini Lewandowski amechagua kuwasilisha hali yake kwa namna hii. Kutangaza hali yako kwa umma k**a vile amefanya, hakumpeleki mtu po pote.

Ifike mahali Lewandowski atambue nafasi yake Bayern.
Kuthaminiwa ni jambo muhimu, na haipaswi kuegemea upande Moja".

ROBERT LEWANDOWSKI "Wakati wangu na Bayern nafikiri umefika tamati. Sioni uwezakano wo wote wakuendelea kuichezea Bayern...
30/05/2022

ROBERT LEWANDOWSKI

"Wakati wangu na Bayern nafikiri umefika tamati. Sioni uwezakano wo wote wakuendelea kuichezea Bayern tena.

Bayern niklabu kubwa na makini sana. Ninaamini hawatanilazimisha kubakia huko tena. Uwamisho ndo suluhu yakudumu kwa sasa.
Nimatumaini yangu hawatanikatalia kutoka".

LIGI KUU UINGEREZA 2022-23: Arsenal Aston Villa Bournemouth ⬆️Brentford BrightonChelseaCrystal PalaceEverton Fulham ⬆️Le...
30/05/2022

LIGI KUU UINGEREZA 2022-23:

Arsenal
Aston Villa
Bournemouth ⬆️
Brentford
Brighton
Chelsea
Crystal Palace
Everton
Fulham ⬆️
Leeds
Leicester
Liverpool
Man City
Man Utd
Newcastle
Nottingham Forest ⬆️
Southampton
Tottenham
West Ham
Wolves

LONDONAntonio Rudiger atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Real Madrid msimuu huu wa  majira ya joto baada ya kumali...
30/05/2022

LONDON

Antonio Rudiger atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Real Madrid msimuu huu wa majira ya joto baada ya kumaliza uchunguzi wa matibabu leo London.

Mkataba utamalizika 2026 bila kipengele chakuongeza mda.
Real Madrid huenda wakamtangaza wakati wo wote tokea Sasa.

SADIO MANE AFUNGUKASadio Mane amefanya uamuzi wa kuiacha Liverpool ikiwa kandarasi yake Imesalia mwaka moja kumalizika. ...
30/05/2022

SADIO MANE AFUNGUKA

Sadio Mane amefanya uamuzi wa kuiacha Liverpool ikiwa kandarasi yake Imesalia mwaka moja kumalizika.
Amesema kwa Sasa anahitaji tajriba mpya klabu tofauti na mazingira mapya.

Bayern Munich inamfuatilizia kwa ukaribu kunasa sahihi yake ili azibe pengo la Serge Gnabry ambaye anataka kuihama klabu hiyo ya Ujerumani.

KWAHERI MARCELO;Marcelo athibitisha kutoka Real Madrid baada ya ushindi mnono Ligi kuu bara LA uropa na Liverpool.Marcel...
29/05/2022

KWAHERI MARCELO;

Marcelo athibitisha kutoka Real Madrid baada ya ushindi mnono Ligi kuu bara LA uropa na Liverpool.
Marcelo ndo mchezaji wa kwanza kutoka nchi nyingine kuwayi kunahodhi klabu ya Real Madrid na ameshinda makombe 25 yakiwemo makombe 5 ya ligi kuu ya uropa kwa miaka 15 akiwa Real Madrid.

Zlatan Ibrahimovic:-🗣 "Magoli 8 seria A.? Sijali wala hainistushi. Mimi si yule mchezaji wa kuotea ndani ya sanduku niki...
26/05/2022

Zlatan Ibrahimovic:-🗣

"Magoli 8 seria A.? Sijali wala hainistushi. Mimi si yule mchezaji wa kuotea ndani ya sanduku nikisubiri mpira. Mimi ndo mwendeshaji wa mchezo. Nimeona wachezaji wanafunga magoli 18-20 na bado wanamaliza nje ya 4 bora. Kwa manufaa Gani.? Napendelea Sana ushindi wa mataji kuliko magoli ya upuuzi."

Zlatan Ibrahimovic:"Ac Milan wameeza kujitambua kwanzia ujio wangu. Wanabahati Sana kuwa na mimi toka pale mwanzoni,saba...
24/05/2022

Zlatan Ibrahimovic:

"Ac Milan wameeza kujitambua kwanzia ujio wangu.
Wanabahati Sana kuwa na mimi toka pale mwanzoni,
sababu tungeshinda vikombe.
Napeana ushauri kwa wachezaji wenzangu, mimi ni K**a mkufunzi, raisi wa klabu na vilevile mchezaji, ila mshahara wangu ni moja".

Address

27
Taveta
80302

Telephone

+254727555521

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habari Nyepesi Nyepesi BLOG posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Habari Nyepesi Nyepesi BLOG:

Shortcuts

Share