SIFA 107.7 FM VOI

SIFA 107.7 FM VOI SIFA FM – "Pumzi Ya Uhai" - Your source of inspiration, transformation, & growth!

We’re a Christian media station bringing you powerful Devotional & Developmental programs designed to uplift your spirit and empower your life.

Katika T3 Jmavi la Gumzo hii leo...ungana naye  ,  Christine Saru Kilalo, Deputy Governor Taita Taveta County akiongoza ...
10/10/2025

Katika T3 Jmavi la Gumzo hii leo...ungana naye , Christine Saru Kilalo, Deputy Governor Taita Taveta County akiongoza mazungumzo ya kijamii juu ya AFYA YA AKILI....Swala nyeti mbona asilimia kubwa ya wanaojitia kitanzi ni jinsia ya Kiume..?...je ni Mapenzi ,ama ni ugumu wa maisha ama ni.....? Sema nasi kwa njia ya simu live, 0113770266, ama kwa Sms, 0113719439, Kuanzia saa 8pm hii leo.

TUNASEMA ASANTE! πŸ™ŒNi tukio la kutia moyo sana hapa SIFA 107.7 FM VOI- Pumzi Ya Uhai  tulipompokea Dkt. Ruben Kigame. Mtu...
10/10/2025

TUNASEMA ASANTE! πŸ™Œ
Ni tukio la kutia moyo sana hapa SIFA 107.7 FM VOI- Pumzi Ya Uhai tulipompokea Dkt. Ruben Kigame. Mtumishi wa Mungu ambaye safari yake ya imani, muziki, na uongozi imeendelea kugusa maisha ya Wakenya na watu wengi zaidi.

Kutoka kurekodi albamu yake ya kwanza ya injili β€œWhat a Mighty God We Have” katika studio za Trans World Radio miaka 38 iliyopita, hadi sasa akishiriki maono yake ya kuona Kenya iliyo bora, Dkt. Kigame alitukumbusha kuwa mabadiliko ya kweli huanza na imani, uadilifu, na moyo wa utumishi.

Tunawashukuru sana wasikilizaji wetu wa ajabu mliojisikiliza, kupiga simu, na kutoa maoni yenu wakati wa mahojiano haya. Ushirikiano wenu unatukumbusha sababu ya uwepo wetu kuleta ujumbe wa matumaini, hekima, na mabadiliko katika maisha ya watu.

Hapa SIFA FM, tunasherehekea kila hadithi inayowarudisha watu kwa kusudi la Mungu na kuchochea mabadiliko chanya katika jamii.

Mungu alitupa amri ya kulinda na kuchunga mazingira yetu.Happy Mazingira Day from Sifa Fm.
10/10/2025

Mungu alitupa amri ya kulinda na kuchunga mazingira yetu.Happy Mazingira Day from Sifa Fm.

Ni Furahiiiiiiiiiiiiiiiiiidei.....!!!Siku Njema huanzia Sifa Asubuhi na Albert M Mwanyasi  Umeamukaje Msikilizaji,Unasik...
10/10/2025

Ni Furahiiiiiiiiiiiiiiiiiidei.....!!!

Siku Njema huanzia Sifa Asubuhi na Albert M Mwanyasi

Umeamukaje Msikilizaji,Unasikiliza Sifa Asubuhi ukiwa wapi na unawatakia kina nani siku njema...?

Studioni hii leo wageni wetu ni Katibu katibu katika wizara ya Leba na ukuzaji ujuzi Shadrack Mwadime.Jee una swali kwake...?

SIMU/WHATSAP 0113770266
SMS 0113719439

Karibu tujumuike hadi saa nne Asubuhi.....

T3...Loading, leo hii kwenye Jamvi la Gumzo na   usipitwe..kwanza Twalikunjua,Twalikalia na kisha Twalikunja..sema na mi...
09/10/2025

T3...Loading, leo hii kwenye Jamvi la Gumzo na usipitwe..kwanza Twalikunjua,Twalikalia na kisha Twalikunja..sema na mimi area Code yako na walikujuwa na nani na nani...8pm-12midnight....ila ya leo "mpende akupendae asiekupenda ......Muombee abadili nia akupende?
'πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Kipenga kishapigwa! ⚽Referee yuko tayari kuanzisha mchuano...Je, wewe shabiki uko tayari?!SIFA FM inakuletea SIFA FM SUP...
09/10/2025

Kipenga kishapigwa! ⚽
Referee yuko tayari kuanzisha mchuano...

Je, wewe shabiki uko tayari?!

SIFA FM inakuletea SIFA FM SUPER CUP ndani ya Wadi ya Bura, Eneo Bunge la Mwatate!

πŸ”₯ Hii si ya kukosa! πŸ”₯

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi au kushirikiana nasi:
Call +254 202 679 842 | Email [email protected]



Ungana naye Double v ndani ya kwaya zetu   tubarikiwe sote kutoka saa 2.00pm hadi 4.00pmSwali.Absalom aliuawa na nani?A....
09/10/2025

Ungana naye Double v ndani ya kwaya zetu tubarikiwe sote kutoka saa 2.00pm hadi 4.00pm

Swali.
Absalom aliuawa na nani?

A. Asaheli
B. Benaya
C. Yoabu

Usikose mahojiano mbashara na katibu katika wizara ya Leba na ukuzaji Ujuzi Shadrack Mwadime hapo kesho kuanzia 8AM-9AM ...
09/10/2025

Usikose mahojiano mbashara na katibu katika wizara ya Leba na ukuzaji Ujuzi Shadrack Mwadime hapo kesho kuanzia 8AM-9AM akiwa ndani ya Sifa Asubuhi naye Albert M Mwanyasi .

SIFA ASUBUHI 6AM-10AMMpango Mzima   ukiwa na Nahodha wako Albert M Mwanyasi  Unasikiliza ukiwa wapi na unawatakia kina n...
09/10/2025

SIFA ASUBUHI 6AM-10AM
Mpango Mzima ukiwa na Nahodha wako Albert M Mwanyasi

Unasikiliza ukiwa wapi na unawatakia kina nani siku njema..?

Wasiliana nami kupitia SIMU/WHATSAP 0113770266
SMS 0113719439

Kwaya zetu hoyeeee.. Ungana naye Double v ndani ya kwaya zetu tubarikiwe sote kutoka saa 2.00pm hadi 4.00pm   fmSwaliWak...
08/10/2025

Kwaya zetu hoyeeee.. Ungana naye Double v ndani ya kwaya zetu tubarikiwe sote kutoka saa 2.00pm hadi 4.00pm fm

Swali

Wakati mfalme sauli aliposhinda waameleki ni mtu yupi aliwekwa k**a mfungwa badala ya kuuliwa k**a masharti kutoka kwa Mungu?

A. Mfalme Agagi
B. Mfalme Boshethi
C. Mfalme Ahaziah

Kwa washirika wetu,wateja wetu na Wasikilizaji wetu,Shukrani kwa kusimama nasi wakati wote,Tunawathamini na tunawatambua...
07/10/2025

Kwa washirika wetu,wateja wetu na Wasikilizaji wetu,Shukrani kwa kusimama nasi wakati wote,Tunawathamini na tunawatambua ushirikiano wenu.

Address

Voi
80300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIFA 107.7 FM VOI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIFA 107.7 FM VOI:

Share

Category