SIFA 107.7 FM VOI

SIFA 107.7 FM VOI SIFA FM – "Pumzi Ya Uhai" - Your source of inspiration, transformation, & growth!

We’re a Christian media station bringing you powerful Devotional & Developmental programs designed to uplift your spirit and empower your life.

Ungana na Sara Machocho ndani ya kwaya zetu kwanzia 2.00pm.hadi 4.00pm   fm . Swali. Kwa nini Mariamu alienda kumtembele...
11/12/2025

Ungana na Sara Machocho ndani ya kwaya zetu kwanzia 2.00pm.hadi 4.00pm fm .

Swali.

Kwa nini Mariamu alienda kumtembelea Elizabeth baada ya kupata habari za ujauzito wake?

A. Kwa sababu alisikia Sauti ya malaika
B. Kwa sababu Zakaria alikuwa amemwambia.
C. Kwa sababu malaika alimweleza kuhusu Hali yake.
D. Kwa sababu ni ukoo mmoja.

Hapa Sifa Fm tunamtakia mmoja wa Mashabiki wetu wa kuanzia jadi Siku njema ya kuzaliwa.Pastor Beja anavyojulikana kwa ji...
11/12/2025

Hapa Sifa Fm tunamtakia mmoja wa Mashabiki wetu wa kuanzia jadi Siku njema ya kuzaliwa.

Pastor Beja anavyojulikana kwa jina la Kishabiki ni Rais wa mashabiki wa Sifa Fm kaunti ya Kilifi.

Unapoadhimisha Siku yako ya kuzaliwa Sifa Fm inakushukuru kwa kazi nzuri unayoifanya haswa nyajani Kilifi na kuwaongoza mashabiki wenzako vyema.

Mungu akujalie maisha marefu na endelea kuwa balozi mwema wa SIFA 107.7 FM VOI

Happy 64th birthday to you Safari Beja Mkundia πŸŽπŸŽπŸŽπŸŽ‚πŸŽ‚

SIFA ASUBUHI 6AM-10AMSiku Njema huanzia Sifa Asububi, Albert M Mwanyasi tayari studioni kukuanzishia siku yako.Unasikili...
11/12/2025

SIFA ASUBUHI 6AM-10AM

Siku Njema huanzia Sifa Asububi, Albert M Mwanyasi tayari studioni kukuanzishia siku yako.

Unasikiliza ukiwa wapi na unawatakia kina nani siku njema..?

Mgeni wetu hii leo awamu ya tuyaweke bayana ni Athanas Mbele Mwachia akizungumzia maswala ya uongozi mbadala na uongozi.Swali lako kwake ni lipi...?

Siku 16 za kukabiliana na dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana imekamilika leo. Katika kuadhimisha siku ya ...
10/12/2025

Siku 16 za kukabiliana na dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana imekamilika leo. Katika kuadhimisha siku ya mwisho jiunge nasi katika mazungumzo ya juhudi za pamoja za kukabiliana na GBV saa mbili usiku hadi saa tatu usiku.

Kwaya zetu hoyeeee ungana na Sarah machocho hewani tayari kukuletea kipindi kuanzia saa nane hadi saa kumiSwali la bibil...
10/12/2025

Kwaya zetu hoyeeee ungana na Sarah machocho hewani tayari kukuletea kipindi kuanzia saa nane hadi saa kumi

Swali la bibilia
Ni nani alimwambia Herode kwamba masihi angezalowa Bethlehemu

A. Mafarisayo
B. Waandishi na Makuhani wakuu
C. Mamajusi
D. Wachungaji wa yudea

Kesho ndani ya Kipindi cha Sifa Asubuhi mgeni wetu ni Athanas Mbele Mwachia akiyaweka bayana kuhusu uongozi mbadala na M...
10/12/2025

Kesho ndani ya Kipindi cha Sifa Asubuhi mgeni wetu ni Athanas Mbele Mwachia akiyaweka bayana kuhusu uongozi mbadala na Maswala ibuka katika kaunti ya Taita Taveta.

SIFA ASUBUHI 6AM-10AMAlbert M Mwanyasi tayari studioni kukuanzishia siku yako kwani tunasema Siku Njema Huanzia Asubuhi....
10/12/2025

SIFA ASUBUHI 6AM-10AM

Albert M Mwanyasi tayari studioni kukuanzishia siku yako kwani tunasema Siku Njema Huanzia Asubuhi.

Unasikiliza ukiwa wapi na unawatakia kina nani siku njema..?

Missed the LIVE show?Don’t worry , the full episode on alcoholism is now available for you to catch up on our YouTube ch...
09/12/2025

Missed the LIVE show?

Don’t worry , the full episode on alcoholism is now available for you to catch up on our YouTube channel
πŸ‘‰ Watch now.......

Karibu kwenye Jamvi La Gumzo, ambapo tunachambua kwa kina suala la ulevi, changamoto inayogusa watu binafsi, familia na jamii nzima.Katika kipindi hiki, Pst....

SIFA ASUBUHI 6AM- 10AMSikiliza Kipindi cha Sifa Asubuhi naye Albert M Mwanyasi  na upate nafasi ya kujishindia Airtime n...
09/12/2025

SIFA ASUBUHI 6AM- 10AM

Sikiliza Kipindi cha Sifa Asubuhi naye Albert M Mwanyasi na upate nafasi ya kujishindia Airtime na zawadi zingine nyiiiiingi kwa hisani ya Safaricom PLC .

Unasikiliza ukiwa wapi na unawatakia kina nani siku njema..?

Nena nami kupitia SIMU/WHATSAP 0113770266
SMS 0113719439

KWAYA ZETU 2PM-4PMKwaya zetu hoyeeee...Sarah Machocho hewani tayari kukuletea kipindi cha   Karibu tujumuike pamoja kwa ...
08/12/2025

KWAYA ZETU 2PM-4PM

Kwaya zetu hoyeeee...
Sarah Machocho hewani tayari kukuletea kipindi cha
Karibu tujumuike pamoja kwa saa 2 za burudani ya Kweya Zetu.

Swali letu la Biblia hii leo ni..
Kwa nini Yesu alipelekwa hekaluni siku ya 40 baada ya kuzaliwa...?

A.Ili kutambulishwa k**a Mfalme wa Israel.

B.Ili kutimiza sheria ya utakaso wa Mama.

C.Ili kuwafurahisha Makuhani.

D.Kwasababu kulikua na tamasha la kitamaduni.

Wasiliana nami kupitia
SIMU/WHATSAP 0113770266
SMS 0113719439

Albert M Mwanyasi  amerejea ukumbini tayari kukuanzia siku yako ndani ya Kipindi  Cha Sifa Asubuhi.Wikendi yako imekuaje...
08/12/2025

Albert M Mwanyasi amerejea ukumbini tayari kukuanzia siku yako ndani ya Kipindi Cha Sifa Asubuhi.

Wikendi yako imekuaje...?
Unasikiliza ukiwa wapi na unatakia kina nani siku njema...?

Zungumza nami kupitia
SIMU/WHATSAP 0113770266
SMS 0113719439

πŸŽ‰ Hongera Sana, Albert Mwanyasi! πŸŽ‰Pongezi nyingi kwa Albert Mwanyasi wa SIFA 107.7 FM VOI kwa kufanya makuu tena katika ...
06/12/2025

πŸŽ‰ Hongera Sana, Albert Mwanyasi! πŸŽ‰
Pongezi nyingi kwa Albert Mwanyasi wa SIFA 107.7 FM VOI kwa kufanya makuu tena katika Tuzo za Association of Grassroot Journalists Kenya (AGJK) zilizokamilika hapo jana!

Albert, ambaye alikuwa Mwanahabari Bora wa Mwaka 2022 wa AGJK, amerudi kwa kishindo na kuibuka Mshindi wa Pili (1st Runners-Up) katika tuzo mbili muhimu:
πŸ† Tuzo ya Uandishi wa Uchunguzi (Investigative Reporting)
πŸ† Tuzo ya Uandishi wa Masuala ya Ardhi, Makazi na Ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi. (Land, Housing, and Climate Resilience Reporting)
Tuzo hiyo hiyo ambayo Mike Kwoba wa SIFA FM Marsabit aliibuka mshindi.

Kazi yako inaendelea kugusa jamii, kuibua hoja nzito, na kuangazia simulizi za watu wa kawaida. Tunajivunia ufanisi wako, ustahimilivu na kujituma kwako katika kuhabarisha na kuelimisha jamii. Hongera sana kwa kurejea na kung’ara kwa upekee, Albert!

Hongera pia kwa Susan Mbodze wa SIFA FM Marsabit kwa kushinda Award ya Uandishi wa Michezo, Sanaa na Utamaduni.

πŸ“» Na shukrani za pekee kwa SIFA FM Marsabit kwa kuibuka Kituo Bora cha Radio ya Jamii mwaka huu! Mnafanya kazi ya kuleta mabadiliko na kuinua sauti za jamii kote nchini.

πŸ™ Asante AGJK kwa kutambua mchango wa wanahabari wa ngazi ya jamii na kuendelea kuhimiza uandishi wenye athari kwa wananchi.

Hapa ni safari ya mafanikio zaidi, athari zaidi, na nuru zaidi kwa SIFA FM na familia nzima ya wanahabari wa grassroots! 🌟

Address

Voi
80300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIFA 107.7 FM VOI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIFA 107.7 FM VOI:

Share

Category