27/07/2025
👩🏾🦱𝐒𝐈𝐃𝐄 𝐂𝐇𝐈𝐂𝐊 👩🏽🦰
🎬Episode 2 💦
Sandra👩🏾🦱: mmmh naona umeamua kunipandisha cheo sindio🙁🙁??umeamua kunifanya Goat wife?? Sam kumbuka Tu mahali tumetoka..🥺🥺kumbuka shida tumepiga na wewe?? tumeishi pamoja zaidi ya miaka Tatu Sasa mbona unanisaliti🥺💔..
huwa nakuja kukutembelea na nakupa kila kitu...mbona unaanza kudoz💦 na wanawake wengine??
Me👮🏾♂️: (Nikishtuka)what??mbona unaongea hivo ??me nakupenda na siwezi kusaliti..
Sandra👩🏾🦱: (akichukua hiyo Jacket na kutoa p@nt!e kwa Mfuko😳🙆..)what is this??
Me👮🏾♂️: (Nikishtuka😳)ooh😁😁hiyo nilikununulia k**a surprise Beb..unajuwa nakupenda Sana☺️..
Sandra👩🏾🦱: Shut up🙄..me sio Mjinga..ulinunua p@nt!e ishatumika..hii imevaliwa na mtu.. please tell me the truth kabla nifanye kitu mbaya Sahi..kumbuka hapa ni Kwa station na nitapiga nduru wenzako wakuje hapa Sahi...niambie ukweli🙄...
Jamaa nilijuwa Sasa kimeumana..nikakumbuka kweli Juzi nilienda kuona sidechick wangu ambae anaitwa joy🤔..lakini sikutoka na p@nt!e yake..hii p@nt!e ilifikaje Kwa Mfuko yangu ya jacket???Nilijiuliza maswali Sana...
Sandra alikuwa amejam sana..nilijaribu kumubembeleza but alikataa kabisa .akasema nisipo mwambia ukweli ataenda kwao.. nilikuwa napenda Sandra Sana na sikutaka tuwachane...
Hatahivo Nilifikiria haraka nikaamuwa lazima nijuwe vile nitajitetea hapa..juu nikisema Tu ukweli eti Niko na sidechick walai Sandra ataniwacha💔💔....
Me👮🏾♂️: please babe..I can explain..it's not what you are thinking...
Sandra👩🏾🦱: Then explain..what is it ???hii suruali ilifikaje hapa????
Me👮🏾♂️: Ok please cool down first... relax.lee me explain to you......✍️
( K**a ushai jipata kwa hii ngori tupatane comment section 🫣 vile ulijitoa 🫵 weka hiyo like tukisonga mkuu)
Episode 3 loading....