
17/07/2025
|| 🚨🚨 Klabu ya Young Africans imeulizia upatikanaji wa golikipa wa Kaizer Chiefs na timu ya taifa la Rwanda Fiacre Ntwari (25).
Bado hakuna ofa ikiyotumwa ilihali golikipa huuo yuko Pre-season kwaajili ya maandalizi ya msimu ujao.
Follow