TBCArusha

TBCArusha TBC Arusha 92.1MHz FM owned by

OUR LIVE STREAM LINKS

tbcarusha921.radiostream321.com

tbcarusha921.radiostream12345.com

tbcarusha921.radiostream123.com

Wananchi mkoani Arusha wakiwa katika viwanja vya Soko kuu Arusha  wakifatilia matangazo  mubashara kutoka TBC1,ya uzindu...
28/08/2025

Wananchi mkoani Arusha wakiwa katika viwanja vya Soko kuu Arusha wakifatilia matangazo mubashara kutoka TBC1,ya uzinduzi wa kampenzi za kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika October 29 ,2025


Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Tropical wametembelea Studio za  katika kipindi cha Meza ya Asubuhi kinachoongozwa na  amba...
27/08/2025

Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Tropical wametembelea Studio za katika kipindi cha Meza ya Asubuhi kinachoongozwa na ambapo wamezungumza kwa namna gani wanajifunza mabadiliko ya Teknolojia na Utandawazi katika shughuli za Utalii.

📸

Zaidi ya Vijana 30 kutoka Mkoa wa Arusha wameshiriki katika Mafunzo ya Uchakataji wa Chakula, Mfumo wa Chakula na uwasil...
23/08/2025

Zaidi ya Vijana 30 kutoka Mkoa wa Arusha wameshiriki katika Mafunzo ya Uchakataji wa Chakula, Mfumo wa Chakula na uwasilishaji wa bunifu katika Masuala ya Chakula, ikiwa ni hatua ya kuijenga jamii bora yenye Afya.

Mafunzo hayo yameandaliwa na taasisi ya yamehusisha kuwajenga vijana katika uongozi wa Usalama wa Chakula katika Jamii.

Imeandaliwa na

Zaidi ya Vijana 30 kutoka Mkoa wa Arusha wameshiriki katika Mafunzo ya Uchakataji wa Chakula, Mfumo wa Chakula na uwasil...
23/08/2025

Zaidi ya Vijana 30 kutoka Mkoa wa Arusha wameshiriki katika Mafunzo ya Uchakataji wa Chakula, Mfumo wa Chakula na uwasilishaji wa bunifu katika Masuala ya Chakula, ikiwa ni hatua ya kuijenga jamii bora yenye Afya.

Mafunzo hayo yameandaliwa na taasisi ya food yamehusisha kuwajenga vijana katika uongozi wa Usalama wa Chakula katika Jamii.

Imeandaliwa na

Maafisa usafirishaji (waendesha bodaboda) Mkoa wa Arusha wameombwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha Usalama wao k...
15/08/2025

Maafisa usafirishaji (waendesha bodaboda) Mkoa wa Arusha wameombwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha Usalama wao kazini kwani familia na jamii zinawategemea.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa wilaya ya Arusha Joseph Mkude ambaye amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ambapo amebainisha kuwa madereva hao wa bodaboda wawe makini katika matumizi ya barabara, ubebaji wa abiria, pamoja na kuepuka matumizi na Usafirishaji wa dawa za kulevya, kwani zinadhoofisha nguvu kazi ya Taifa.

Hata hivyo mafunzo hayo yameambatana na Mafunzo ya Ujasiriamali,Utunzaji wa Afya na Mazingira kwa waendesha bodaboda, yameandaliwa na Taasisi ya Elimu ya Watu wazima nchini (TEWW).

Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Watu wazima Prof.Philipo Sanga amesema wataendelea kutoa Elimu kwa makundi mbalimbali hususani madereva bodaboda, kwani Elimu hiyo imelenga kuboresha mazingira bora katika ustawi wa Jamii

Leo kwenye   tupo na  kuanzia saa 1:00PM - 3:00PM twenzetu!Host:  &
29/07/2025

Leo kwenye tupo na kuanzia saa 1:00PM - 3:00PM twenzetu!

Host: &

Enjoy! Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM
18/07/2025

Enjoy! Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM

Taasisi ya ASPA iliyoko Ngulelo mkoani Arusha imeendesha semina kwa wanahabari kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua...
16/07/2025

Taasisi ya ASPA iliyoko Ngulelo mkoani Arusha imeendesha semina kwa wanahabari kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua umuhimu na thamani ya mnyama Punda katika jamii.

 

Akiendesha semina hiyo mkurugenzi wa taasisi hiyo Livingstone Masija ambao ni wadau wa haki za wanyama amesema takwimu zinaonyesha kuwa Punda  150 hutoroshwa kila mwezi kutoka nchini na kupitishwa katika mpaka wa Namanga kwa kuwapakia kwenye malori au kwa kutumia njia ya kuwaswaga k**a vile wanawachunga.

 

Aidha Masija amesema jitihada mbalimbali zinahitajika kwa serikali,jamii pamoja na taasisi mbalimbali kuhakikisha zinamlinda mnyama huyo ambaye ni nguvu kazi nchini huku akipongeza jitihada za serikali kutambua thamani ya mnyama huyo kwa kuvifungia viwanda vya kuchinja Punda.

Hatua Yetu leo tutazungumzia Madhara Ya Biashara Haramu Ya Dawa za Kulevya Kwa JamiiTutakuwa na Shaban Miraji  Afisa Eli...
07/07/2025

Hatua Yetu leo tutazungumzia Madhara Ya Biashara Haramu Ya Dawa za Kulevya Kwa Jamii

Tutakuwa na Shaban Miraji Afisa Elimu Jamii kutoka Mamlaka Ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda Ya Kaskazini

Karibu Msikilizaji Wa TBC Arusha 92.1 Utakuwa na Deogratius Lyimo pamoja na Rehema Lebayo saa tisa alasiri hadi saa kumi jioni

Usikose !!

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi, leo Julai 5, 2025, ameupokea rasmi Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa K...
05/07/2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi, leo Julai 5, 2025, ameupokea rasmi Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, katika Kijiji cha Malula kilichopo eneo la King’ori Kibaoni, Wilaya ya Arumeru.

Kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu ni: “Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, kwa Amani na Utulivu.”

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Arusha
05/07/2025

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Arusha

Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM
04/07/2025

Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM

Address

Arusha Chini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TBCArusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TBCArusha:

Share