TBCArusha

TBCArusha TBC Arusha 92.1MHz FM owned by

OUR LIVE STREAM LINKS

tbcarusha921.radiostream321.com

tbcarusha921.radiostream12345.com

tbcarusha921.radiostream123.com

Leo kwenye   tupo na  kuanzia saa 1:00PM - 3:00PM twenzetu!Host:  &
29/07/2025

Leo kwenye tupo na kuanzia saa 1:00PM - 3:00PM twenzetu!

Host: &

Enjoy! Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM
18/07/2025

Enjoy! Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM

Taasisi ya ASPA iliyoko Ngulelo mkoani Arusha imeendesha semina kwa wanahabari kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua...
16/07/2025

Taasisi ya ASPA iliyoko Ngulelo mkoani Arusha imeendesha semina kwa wanahabari kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua umuhimu na thamani ya mnyama Punda katika jamii.

 

Akiendesha semina hiyo mkurugenzi wa taasisi hiyo Livingstone Masija ambao ni wadau wa haki za wanyama amesema takwimu zinaonyesha kuwa Punda  150 hutoroshwa kila mwezi kutoka nchini na kupitishwa katika mpaka wa Namanga kwa kuwapakia kwenye malori au kwa kutumia njia ya kuwaswaga k**a vile wanawachunga.

 

Aidha Masija amesema jitihada mbalimbali zinahitajika kwa serikali,jamii pamoja na taasisi mbalimbali kuhakikisha zinamlinda mnyama huyo ambaye ni nguvu kazi nchini huku akipongeza jitihada za serikali kutambua thamani ya mnyama huyo kwa kuvifungia viwanda vya kuchinja Punda.

Hatua Yetu leo tutazungumzia Madhara Ya Biashara Haramu Ya Dawa za Kulevya Kwa JamiiTutakuwa na Shaban Miraji  Afisa Eli...
07/07/2025

Hatua Yetu leo tutazungumzia Madhara Ya Biashara Haramu Ya Dawa za Kulevya Kwa Jamii

Tutakuwa na Shaban Miraji Afisa Elimu Jamii kutoka Mamlaka Ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda Ya Kaskazini

Karibu Msikilizaji Wa TBC Arusha 92.1 Utakuwa na Deogratius Lyimo pamoja na Rehema Lebayo saa tisa alasiri hadi saa kumi jioni

Usikose !!

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi, leo Julai 5, 2025, ameupokea rasmi Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa K...
05/07/2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi, leo Julai 5, 2025, ameupokea rasmi Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, katika Kijiji cha Malula kilichopo eneo la King’ori Kibaoni, Wilaya ya Arumeru.

Kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu ni: “Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, kwa Amani na Utulivu.”

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Arusha
05/07/2025

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Arusha

Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM
04/07/2025

Sikiliza TBC Arusha 92.1MHz FM

Crazy Tuesday kwenye   leo tupo na  &  tunasepa na kijiji keep it lock!Host: 🎙
01/07/2025

Crazy Tuesday kwenye leo tupo na & tunasepa na kijiji keep it lock!

Host: 🎙

Mbunge wa Jimbo la Monduli aliyemaliza muda wake, Fred Lowassa, leo Juni 28, 2025 amechukua fomu ya kuwania tena ubunge ...
28/06/2025

Mbunge wa Jimbo la Monduli aliyemaliza muda wake, Fred Lowassa, leo Juni 28, 2025 amechukua fomu ya kuwania tena ubunge wa jimbo hilo kwa awamu nyingine kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, Rukia Mbasha, katika ofisi za chama wilayani humo, huku tukio hilo likishuhudiwa na wanachama pamoja na wakazi wa Jimbo la Monduli.

Hatua Yetu leo tutazungumzia Ni nini Kifanyike kuelekea Uchaguzi Mkuu Tutakuwa na Bwana Joseph Mwaiselo Mkurugenzi wa El...
04/06/2025

Hatua Yetu leo tutazungumzia Ni nini Kifanyike kuelekea Uchaguzi Mkuu

Tutakuwa na Bwana Joseph Mwaiselo Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma Kutoka .tz

Host: &

Mwanamuziki  amekuja na hii kupitia insta story yake “EP2027” akimaanisha  na  2027 Tutegemee ndoa au wanachangamsha mit...
02/06/2025

Mwanamuziki amekuja na hii kupitia insta story yake “EP2027” akimaanisha na 2027

Tutegemee ndoa au wanachangamsha mitandao?

✍️:
🌄:

Leo kwenye   tutakuwa na mastori mob na mwanetu   ana mengi ya ku-share na sisiHost:
02/04/2025

Leo kwenye tutakuwa na mastori mob na mwanetu ana mengi ya ku-share na sisi

Host:

Address

Arusha Chini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TBCArusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TBCArusha:

Share