TBCArusha

TBCArusha TBC Arusha 92.1MHz FM owned by

OUR LIVE STREAM LINKS

tbcarusha921.radiostream321.com

tbcarusha921.radiostream12345.com

tbcarusha921.radiostream123.com

20/12/2025

Zaidi ya watoa huduma 90 kutoka katika vituo mbalimbali vya afya nchiniwamepatiwa mafunzo yaliyoandaliwa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzani (TAEC)jijini Arusha kwa lengo la kuwajengea uwezo zaidi katika kuhudumia wagonjwa na wateja wao ili kuwapa vipimo sahihi vya mionzi na kuepuka madhara pale vinapozidishwa.

17/12/2025

Wataalamu wa dawa na vifaa tiba katika halmashauri mbalimbali nchini wametakiwa kutumia utaalamu wao katika kufanya ukaguzi na kuhakikisha kuwa wanaendelea kuwa na soko la bidhaa bora na salama ili kuhakikisha wanapambana na utandawazi ambao unatajwa kuwa janga kubwa duniani   linalochangia uwepo wa dawa duni na bandia.

 

Akifungua kikao kazi cha wataalamu hao jijini Arusha ,mwakilishi wa mganga mkuu wa mkoa wa Arusha, Dkt. Revocatus Ndyekobora amesema ushirikiano wa kiutendani uliopo kati ya mamlaka ya dawa na vifaa tiba(TMDA) na TAMISEMI  hususani mkoa wa Arusha kwa kuzingatia  mwongozo wa kutekeleza kanuni za kukasimu baadhi ya madaraka na majukumu ya TMDA na Halmashauri  kumechangia kusogeza huduma bora kwa wananchi.

16/12/2025

Taasisi ya moyo ya JKCI ya jijini Dar es salaam inatarajia kuanzisha huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo kwa kutumia teknolojia ya akili unde sambamba na tiba utalii inayotarajiwa kuanza rasmi january 1,2026 baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center ya jijini Arusha.

Akizungumza na waandishi wa habari jijin Arusha, mkurugenzi mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge amesema taasisi hiyo imengia makubaliano ya ushirikiano na Hospitali hiyo kwa miaka ishirini ya kuanzia ambapo watahidumia wagonjwa wa aina zote ikiwa ni kengo la kufikisha huduma kwenye jamii ambapo mpaka sasa wamefungua matawi matano katika mikoa mbalimbali

Taasisi ya  kwa kushirikiana na wauzaji wa soko la kilombero mkoani Arusha wamefanya zoezi la usafi sokoni ikiwa ni sehe...
12/12/2025

Taasisi ya kwa kushirikiana na wauzaji wa soko la kilombero mkoani Arusha wamefanya zoezi la usafi sokoni ikiwa ni sehemu ya kuimarisha usalama wa chakula na kutoa elimu juu ya utunzaji wa mazingira

Mkuu wa soko Jeremiah Katemi alisisitiza wauzaji wa soko kuzingatia usafi kila mara wanapofika katika biashara zao kwa manufaa ya afya zao na wanunuzi.

20/11/2025

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hasan, anatarajia kuwasili mkoani Arusha November 21,2025 kwa lengo la ziara ya kikazi kwenye sherehe ya kutunuku kamisheni maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania katika chuo cha kijeshi Wilayani Monduki itakayofanyika November 22.

 

Akizungumza na waandishi wa habari,mkuu wa mkoa wa Arusha ,Amos Makala amesema Rais  Dkt.Samia atakuwa mkoani hapo kwa siku mbili,hivyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupokea ugeni huo .

  leo tutazungumzia Madhara ya Tatizo la Dawa za Kulevya Kwa JamiiTutakuwa na Dokta  Paschal Kang'iria Mratibu wa Afya y...
12/11/2025

leo tutazungumzia Madhara ya Tatizo la Dawa za Kulevya Kwa Jamii

Tutakuwa na Dokta Paschal Kang'iria Mratibu wa Afya ya Akili Arusha DC pamoja na Shambani Miraji Afisa Elimu Jamii (DECA) Kanda ya Kaskazini.

Karibu Msikilizaji wa Watangazaji ni David Daniel, Wankyo Ghati, Suzan Moleli, pamoja na Mariam Mubiru saa kumi jioni hadi saa kumi na moja

Usikose!!

🇹🇿

28/10/2025

Wananchi wa jiji la Arusha wamejiandaa kwenda kupiga kura

27/10/2025

Jumuiya ya maridhiano ya Amani kutoka wilaya ya Meru Mkoani Arusha wamewasisitiza watanzania kuendelea kudumisha Amani wakati Taifa likielekea kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema octoba 29.

Hii si ya kukukosa, Endelea kusikiliza 92.1 Tbc Arusha. 🇹🇿
25/10/2025

Hii si ya kukukosa, Endelea kusikiliza 92.1 Tbc Arusha.

🇹🇿

24/10/2025

Waumini wa dini ya kiislamu nchini wameaswa kuwa mfano katika kuitunza amani ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika octoba 29 mwaka huu.

Akitoa hotuba kwenye sala ya ijumaa iliyofanyika kwenye msikiti wa Patandi uliopo tengeru wilaya ya Arumeru mkoani Arusha,Shekhe Ally L***a amesema jamii inapaswa kulinda amani kwani ikitokewa haichagui mkubwa wala mdogo na hakuna jambo lolote litakaloendelea nchini

23/10/2025

Sikiliza 92.1 Tbc Arusha.

Tuambie kwenye comment Wimbo gani wako bora wa muda wote

21/10/2025

Mwanetu anatuambia hawezi kuchangia Birthday Party, wewe ni mchango gani huwezi kuchanga?

Host: &

Address

Arusha Chini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TBCArusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TBCArusha:

Share