Daladala newz

Daladala newz the best online television

21/04/2023

TAASISI ISIYO YAKISERIKALI INAYOFAAMIKA KWA JINA LA ELIMU FOUNDATION LEO TAR 21 MWEZI WA 4 WAMEFANYA ZOEZI LA KUGAWA MITI KATIKA SHULE ZA SECONDARY PAMOJA NA MSINGI KATIKA KATA YA OLDONYOSAMBU PAMOJA NA KITUO CHA AFYA CHA OLDONYOSAMBU

AKIZUNGUMZA KATIKA ZOEZI HILO MKURUGENZI WA TAASIIS HIYO MOSES NGEREZA ALISEMA HATO ISHIA HAPO BALI ITAKUA NI MUENDELEZO KWA AJILI YA KUKABIKIANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI

MKURUGENZI HUYO AMESEMA SI KWAMBA ANAPANDA MITI K**A WENGINE WALIVYO ZOEYA YEYE ATAWEKA NGUVU NA KUWAHIMIZA WATANZANIA KUPANDA MITI KWAAJILI YA MATUNDA NA KUPATA LISHE ILIYO BORA

KWA UPANDE MWINGINE VIONGOZI WAKIMILA PAMOJA NA WANANCH MBALIMBALI WALIPONGEZA HATUA HYO NA KUIOMBA TAASISI YA ELIMU FOUNDATION ISIISHIE HAPO BALI IWE MUENDELEZO

WANANCHI WAMEAHIDI KUA MABALOZI WA ZURI NA WATAFIKISHA ELIMU HII KWA WATU WANAOWAZUNGUKA NA KUHAIDI HATA WATATOA ENEO KWAAJILI YA ELIMINATED DARASA NA KUHAKIKISHA TANZANIA INAKUWA YAKIJANI NA WATU WENYE AFYA NJEMA.

ZOEZI HILO LILIFANIKIWA KUHUDURIWA NA VIONGOZI MBALI MBALI AKIWEMO DIWANI NA MTENDAJI WA KATA AMBAPO NAO WALIHUSIKA KATIKA ZOEZI HILO LA KUOTESHA MITI

PRAYGOD MARTIN - DALA DALA TV

11/04/2023
07/04/2023

WANAO LETA USHOGA WANAOFANYA USHOGA BASTOLA KICHWANI UVCCM VAA GWANDA TWENDE VITANI......

07/04/2023

the best online television

news:Aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ameachiliwa huru leo April 05 2023.Mahaka...
05/04/2023

news:
Aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ameachiliwa huru leo April 05 2023.

Mahaka ya Moshi mkoani Kilimanjaro imefikia uamuzi wa kumuachia huru Sabaya baada ya kukiri makosa yaliyokuwa yakimkabiri Kwa njia ya plea bargaining

 : Ndege ya Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria Bukoba, Kagera asubuhi ya leo ambapo Mashuhuda wanasema aja...
06/11/2022

: Ndege ya Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria Bukoba, Kagera asubuhi ya leo ambapo Mashuhuda wanasema ajali hii imetokana na Ndege hiyo kupata hitilafu wakati ikitua,

04/11/2022

VIJANA UVCCM ARUMERU WATIA HESHIMA MAZISHI YA KADA NA BABA WA MWENYEKITI VIJANA KATA YA TARAKWA
Wananch wa kata ya tarakwa wafurahi nakusema umoja wa vijana wa chama chamapinduzi wamefanya jambo lilo wapa furaha kwa ushirikiano wao katika mazishi ya baba wa kijana mwenzao ambaye pia ni kiongozi kwenye jumuiya ya vijana kata ya tarakwa
Pamoja na hayo mwenyekiti wa umoja wa vijana wilaya ya Arumeru mw LEMPAPA LIARINI ametaka vijana wawe na umoja huo huo katika shuhuli mbali mbali ya maendeleo na kuonyesha ushirikiano katika shida hata katika raha na pale panapotokea tatizo tuzidi kutiana moyo
Pamoja na hayo mwenezi wa chama cha mapinduzi mw NIKOLAS SAWA kasema huu ndo utu na ndo umoja na ndo umoja wa vijana aliyokuwa anauhitaji kwanzia zamani na kuhaidi kuzidi kutia nguvu katika umoja huu wa vijana na kuomba ushirikiano zaidi

Address

Arusha
NEWZ

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daladala newz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Daladala newz:

Share