Ndagotv Entertainment

Ndagotv Entertainment Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ndagotv Entertainment, Broadcasting & media production company, Sakina, Arusha.

Baada ya Kuondoka Konde Gang, rapa Country Boy  amefungua Record label na Music Company, imepewa jina IAMMUSIC  ,Ameconf...
23/04/2022

Baada ya Kuondoka Konde Gang, rapa Country Boy amefungua Record label na Music Company, imepewa jina IAMMUSIC ,Ameconfirm On Ig nakusema "Kutokana na jitihada anazozionesha Rais wetu mpendwa,Mama etu kipenzi MH. kuhakikisha Nchi yetu inasonga mbele mimi k**a kijana sijataka kubaki nyuma Nimefungua kampuni iitwayo Ambayo itahusika katika kusaidia vijana Mtaani ambao wengi wanataman kutimiza ndoto zao lakin wanashindwa kutimiza kutokana Na changamoto wanazokutana nazo hvyo basi Nakuja mbele yenu Watanzania na serikali kwa ujumla kuipokea KAMPUNI hii...".
-
Country, "Hatuna pesa nyingi lakin Tunaamin katika kidogo tulichonacho Kitatuvusha kutoka sehem Moja kwenda Nyingne.
-
-

Katika Kuadhimisha siku ya mwanamke Duniani   Kushirikiana na  Pamoja na Halmashauri ya Arusha DC Tunajambo letu-Endelea...
07/03/2022

Katika Kuadhimisha siku ya mwanamke Duniani Kushirikiana na Pamoja na Halmashauri ya Arusha DC Tunajambo letu
-
Endelea kufuatilia Channel yetu pendwa Ndago Channel na kurasa zetu za kijamii kupata taarifa zaidi
-

"Kipindi natoa album yangu ya Quest for Legacy mwanzoni kabisa hard copies,nilipata support ya kutosha kwa wasanii wenza...
05/03/2022

"Kipindi natoa album yangu ya Quest for Legacy mwanzoni kabisa hard copies,nilipata support ya kutosha kwa wasanii wenzangu wa Hip Hop k**a na nikapata interviews Dar-es-salaam, later on akaja Arusha nikata show ya kupeform Fiesta,tukashoot ngoma yetu pamoja na My City...."
ndani ya E-FOLDER ya , unaweza kifuatilia Exclusive hii kupitia YouTube channel yetu ya
https://youtube.com/channel/UCslQ7aqg4JNt4UGaKy7hnzQ

https://youtu.be/xjWWMYITtts
04/03/2022

https://youtu.be/xjWWMYITtts

Endelea kufuatilia channel yetu ya ndago channel Startimes 127 King'amuzi cha Anntena ili kuweza kukupasha Dondoo mbalimbali za Maisha ABOVE & BEYOND MIAKA 100

Mvua ya burudani inatarajiwa kumiminika mjini Miami Gardens katika ukumbi wa Hard Rocks kwa siku tatu mfululizo,huku wak...
03/03/2022

Mvua ya burudani inatarajiwa kumiminika mjini Miami Gardens katika ukumbi wa Hard Rocks kwa siku tatu mfululizo,huku wakali wa hip hop kutokea nchini Marekani Kendrick Lamar,Future pamoja na Ye(Kanye West) wakitarajiwa kulinogesha tamasha hilo.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika mwezi Julai mwaka huu kuanzia tarehe 22-24 ambalo pia litanogeshwa na wakali wengine k**a Lil U*i, Gucci Mane, Kodak Black nk.


-
-

Mkongwe wa Hip Hop kutokea nchini Marekani Curtis James Jackson III aka 50cent, hivi karibuni ametishia kuonoka katika k...
03/03/2022

Mkongwe wa Hip Hop kutokea nchini Marekani Curtis James Jackson III aka 50cent, hivi karibuni ametishia kuonoka katika kampuni ya kutengeneza filamu ya "Starz" alioingia nao mkataba mwaka 2018.

"Power" ni tamthilia ambayo ilimpatia rapa huyo mafanikio makubwa sana chini ya kampuni hiyo ya Starz, ambayo rapa 50cent aliingia nao mkataba wa dola za kimarekani 150 kwa lengo la kutengeneza tamthilia mbalimblai.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rapa 50cent amewataka wafanyakazi wa kampuni yake ya G-Unit Film & Television kuanza kujiandaa kuondoka, huku sababu rasmi ya wao kuondoka kampuni ya Starz ikiwa bado haijawekwa wazi.


-
-

Nyota wa muziki kutokea nchini Nigeria Ayodeji Ibrahim Balogum aka Wizkid hivi karibuni ameonekana kutajwa kwenye orodha...
03/03/2022

Nyota wa muziki kutokea nchini Nigeria Ayodeji Ibrahim Balogum aka Wizkid hivi karibuni ameonekana kutajwa kwenye orodha ya wasanii watakao tumbuiza kwenye tamasha la msanii J Cole kutokea nchini Marekani mwezi April mwaka huu.

Tamasha hilo la msanii J Cole lililopewa jina la "Dreamville Festival" linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili mfululizo kuanzia tarehe 2-3 huko mjini North Carolina.

List ya wakali wengine watakaopanda kutumbuiza ni pamoja na Lil Wyne, Lil Baby, Wale, T Pain nk
-
-

Kibonzo cha Leo...πŸ€ͺ--
02/03/2022

Kibonzo cha Leo...πŸ€ͺ
-
-

Mkongwe wa muziki kutokea nchini Marekani Madonna Louise Ciccone maarufu k**a Madona (63) hivi karibuni kupitia ukurasa ...
02/03/2022

Mkongwe wa muziki kutokea nchini Marekani Madonna Louise Ciccone maarufu k**a Madona (63) hivi karibuni kupitia ukurasa wake wa Instagram,ametudokeza juu ya ujio wa remix ya wimbo wake akimpa shavu hit maker wa rekodi ya Peru, Fireboydml.

Nyota huyo wa muziki kutoka Nigeria hivi karibuni anaonekana kuzidi kung'ara kimataifa, na hii ni mara baada ya mwishoni mwa mwaka 2021 Kumshirikisha Ed Sheeran kwenye remix ya wimbo wake wa "Peru".

Frozen ni rekodi iliyowahi kutoka mwaka 2009, na sasa mwanamama Madona anatarjia kuachia remix ya wimbo huo March 3 2022.

Msanii wa Bongofleva na Mtangazaji wa Wasafi FM  Amesema yupo Tayari Kwenda Nchini Ukraine, Kupitia ukurasa wake wa Inst...
01/03/2022

Msanii wa Bongofleva na Mtangazaji wa Wasafi FM Amesema yupo Tayari Kwenda Nchini Ukraine, Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ameandika πŸ‘‡

"Nipo Tayari Kwenda Ukraine πŸ‡ΊπŸ‡¦ K**a Wakitangaza Dau ..!!"
-
-

Msanii  Ameamua Kuwaachia Mashabiki Zake Nafasi Ya Wao Kumwambia K**a Wapo Tayari Ili Waachie Wimbo Wao Yeye Na Rapper  ...
01/03/2022

Msanii Ameamua Kuwaachia Mashabiki Zake Nafasi Ya Wao Kumwambia K**a Wapo Tayari Ili Waachie Wimbo Wao Yeye Na Rapper Ambao Upo Tayari Bado Siku Tu Ambayo Kimsingi Wameombwa Kupendekeza Mashabiki.

Maua Sama Kwenye IG Yake Ameandika.............''πŸ–€ Mkiwa Tayari Mtuambie tuwape Jambo letu 🚨 πŸ˜‚πŸ˜‚β˜ΊοΈ and I πŸ‘Έ ''

26/02/2022
26/02/2022
25/02/2022

Address

Sakina
Arusha
23124

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ndagotv Entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ndagotv Entertainment:

Share