Maasai Channel

Maasai Channel ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ถ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ป๐—ฒ๐—น
๐‘ป๐’†๐’๐’†๐’ƒ๐’ ๐‘ด๐’‚๐’•๐’†๐’”๐’‰๐’†๐’• ๐‘ถ๐’๐’๐’”๐’‰๐’ ๐‘ณ๐’‚๐’๐’ˆ

ENTUMO ENABOISHU | ORMAREI LOORPASINGO
24/08/2026

ENTUMO ENABOISHU | ORMAREI LOORPASINGO

15/08/2026

OSIRWA LE OKOTO E KULE | ALAIGWANANI Maasai Channel, OLE SEYIAL| IRKIRUMUN, SIHA

26/07/2026

IJUE KVWA UPANA MAANA YA ORKITENG LE SIRIT AU ORKITENG LORBAA NA Ole Njiday ITAKUJIA HIVI KARIBUNI KUPITIA MAASAI CHANNEL

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YOTE YA KIJAMII

15/07/2026

OSIRWA LE MAYIAN OO NGERA

23/06/2026

EOKOTO E KULE IRKIMAYIANA TE NGANG' E KIPUTUTU SEMBETA | INDEPES, NGAGE, SIMANJIRO

"Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Longido, Papaa Nakuta, amewasihi Wakristo kumtegemea Mungu katika kil...
05/06/2026

"Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Longido, Papaa Nakuta, amewasihi Wakristo kumtegemea Mungu katika kila jambo, huku akishuhudia kuwa yeye mwenyewe amepata nafasi hiyo ya uenyekiti kwa kumtegemea Mungu pekee. Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa Semina na Mkutano wa Neno la Mungu katika Kata ya Mundarara, ambapo yeye na marafiki zake wamechangia zaidi ya Shilingi Milioni Mbili, ng'ombe mmoja, na mbuzi wanne."

"Semina hiyo ya kiroho inafanyika katika Kanisa la Free Pentecostal Church Tanzania (FPCT) lililopo Kata ya Mundarara wilayani Longido.

โ€‹Akizungumza kwa hisia mbele ya waumini na watumishi wa Mungu, Mwenyekiti Papaa Nakuta amewashukuru viongozi hao wa dini kwa kumpa heshima na nafasi ya kipekee ya kufungua semina hiyo kubwa.
โ€‹Katika hotuba yake, Papaa Nakuta ametumia nafasi hiyo kutoa ujumbe mzito wa kiimani kwa kuwasihi Wakristo kusimama imara na kumtegemea Mungu kwa kila jambo. Ameshuhudia wazi kuwa, mafanikio yake na nafasi ya Uenyekiti wa CCM Wilaya anayoishikilia hivi sasa, ni matokeo ya kumtegemea Mungu pekee na si kwa nguvu za kibinadamu.

โ€‹Katika kuunga mkono huduma hiyo kwa vitendo, Mwenyekiti huyo akishirikiana na marafiki alioambatana nao, wametoa mchango wa fedha taslimu na wanyama hao kwa ajili ya kugharamia semina. Ametumia fursa hiyo kuwashukuru kwa dhati marafiki zake kwa kukubali kuambatana naye na kuonyesha moyo mkubwa wa kusupport kazi ya Mungu.

โ€‹Kuhitimisha hotuba yake, Mwenyekiti Papaa Nakuta amewasilisha salamu za viongozi wakuu wa wilaya hiyo. Amewafikishia waumini hao salamu za upendo kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Longido ambaye pia ni Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Lemomo Kiruswa, pamoja na salamu kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Ndugu Salum Kalli, zikionyesha jinsi viongozi hao wanavyojali na kushirikiana karibu na jamii ya Mundarara."

โ€‹"Ushuhuda na mchango huo wa viongozi unazidi kuonyesha umuhimu wa mshikamano kati ya viongozi wa kijamii na taasisi za kidini katika kujenga jamii yenye maadili na maendeleo wilayani Longido.

04/06/2026

Osirua le mayianata Alaigwanani Lormarei LEMARITE OO KAIPAI tenebo oo ngopir Enyena | Loika Noosek Lendanai

Habari katika Picha, Tukio la kusimikwa kwa Pastor JOSEPH MALULU OLEMORONGO kuwa Askofu Mkuu Mkoa wa Arusha ukanda wa Ru...
04/06/2026

Habari katika Picha, Tukio la kusimikwa kwa Pastor JOSEPH MALULU OLEMORONGO kuwa Askofu Mkuu Mkoa wa Arusha ukanda wa Ruby chini ya Kanisa la CHARISMATIC EPISCOPAL CHURCH OF TANZANIA

Ibada hii ilifanyika Kata ya Mundarara Wilaya ya Longido na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali.

03/06/2026

Emayianata Alaigwanani Lormarei LEMARITE OO KAIPAI tenebo oo ngopir Enyena | Loika Noosek Lendanai

31/05/2026

EMPUTOTO ALAIGWANANI KITOK LE MAA EAST AFRICA SINANDEI MAKKO | TAYIOLO NKUMOK

Address

Longido
Arusha
23501

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maasai Channel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category