Blessing boy

Blessing boy sports News habari za michezo na burudani
na huduma ya matangazo inapatikana karibu DM

01/09/2025
Leo  mnyama Simba SC anaenda ku*indua u*i wake mpyaa kwa msimu wa 2025/2026.Ni u*i wa kwanza wa mnyama chini ya chapa ya...
31/08/2025

Leo mnyama Simba SC anaenda ku*indua u*i wake mpyaa kwa msimu wa 2025/2026.

Ni u*i wa kwanza wa mnyama chini ya chapa ya kimataifa Diadora.

Tazama u*indu*i huu mbashara kupitia AzamSports1HD kuanzia saa 1:00 usiku.

Hongera Rais Wallace Karia kwa kuchaguliwa tena kuongoza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kipindi kingine...
16/08/2025

Hongera Rais Wallace Karia kwa kuchaguliwa tena kuongoza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kipindi kingine cha miaka minne.


Kwa habari za michezo na burudani follow Blessing boy

Hongera Taifa stars kwa ushindi.
07/08/2025

Hongera Taifa stars kwa ushindi.

“Tumeingia Simba sababu ni timu kubwa Afrika, ni timu ambayo inajulikana pande zote za bara hili na hilo ndio tunaangali...
29/07/2025

“Tumeingia Simba sababu ni timu kubwa Afrika, ni timu ambayo inajulikana pande zote za bara hili na hilo ndio tunaangalia zaidi kwenye biashara. Tulikuwa tukiifatilia kwa miaka karibu sita lakini sasa imekuwa kweli. Tunafuraha kufanikisha jambo hili.”

“Huu ni zaidi ya ushirikiano na inatakiwa klabu zote zifaidike na jambo hili. Tunashirikiana na timu nyingi kubwa ambazo tunadhamini hivyo uzoefu huo utatusaidia kufanikisha jambo hili.”

“Nina furaha kwa ushirikiano huu lakini tutafanya kazi kuangalia namna gani ya kufanikisha ushirikiano na vilabu vingine vikubwa ambavyo tunashirikiana navyo.”- Mkuu wa Udhamini wa BetWay Afrika, Jason Shield. NguvuMoja

28/07/2025

Historia kubwa inakwenda kuandikwa hapo kesho ✍️

Tukio lote litakuwa LIVE kuanzia saa 4 asubuhi kupitia YouTube - Simba SC Tanzania na Simba App.
Kwa habari za michezo na burudani follow Blessing boy

Mnyama anamaliza kwa ushindiKwa Habari za michezo na burudani Follow 👉 Blessing boy
22/06/2025

Mnyama anamaliza kwa ushindi
Kwa Habari za michezo na burudani Follow 👉 Blessing boy

Round ya mwisho match zote MATOKEO JUMLA ..Bingwa kuamuliwa jumatano kwe derby.  Kwa habari za michezo na burudani Follo...
22/06/2025

Round ya mwisho match zote
MATOKEO JUMLA ..Bingwa kuamuliwa jumatano kwe derby.

Kwa habari za michezo na burudani Follow 👉 Blessing boy

Mechi zote za mwisho kuchezwa June 22Fainali iko pale pale au vp ... Kwa habari za michezo na burudani Follow 👉 Blessing...
20/06/2025

Mechi zote za mwisho kuchezwa June 22
Fainali iko pale pale au vp ...

Kwa habari za michezo na burudani Follow 👉 Blessing boy

Kikosi cha TaifaStars kitakachoingia kambini Juni 2,2025 kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) n...
31/05/2025

Kikosi cha TaifaStars kitakachoingia kambini Juni 2,2025 kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) na mashindano ya COSAFA dhidi ya Eswatini na Madagascar


Tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Mei, 2025 imekwenda kwa Fadlu Davids.
30/05/2025

Tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Mei, 2025 imekwenda kwa Fadlu Davids.

Address

Arusha

Telephone

+255762636447

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Blessing boy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Blessing boy:

Share