
31/07/2025
Je, unajua Serikali imejipangaje kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia?
Usikose Kipindi Maalum cha Tunza Dunia kitakachoruka Jumamosi | 2 Agosti 2025 kupitia vyombo takribani 25 vya habari kote nchini ambapo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko atafafanua kwa kina kuhusu Utekelezaji wa Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi Tanzania – akiangazia juhudi, mikakati na hatua zinazochukuliwa na Serikali.
Powered by : Mainstream Media Limited