Sunrise Radio Tz

Sunrise Radio Tz SUNRISE RADIO INAHAKIKISHA UNAPATA HABARI ZILIZO NA UHUAKIKA KUTOKA KILA KONA YA TANZANIA NA NJE YA TANZANIA

04/09/2025
Ni katika kipindi cha siku Mpya Kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 08:00 hadi saa 09:00 asubuhi atakuwepo Maximillian Iraqh...
28/08/2025

Ni katika kipindi cha siku Mpya Kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 08:00 hadi saa 09:00 asubuhi atakuwepo Maximillian Iraqhe na Mada kuu : Maisha ni yako usikose kusikiliza 94.9fm Sunrise radio na kwa njia ya mtandao andika Sunrise Radio Arusha.

Je, unajua Serikali imejipangaje kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia?‎‎Usikose Kipindi Maalum cha T...
31/07/2025

Je, unajua Serikali imejipangaje kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia?

‎Usikose Kipindi Maalum cha Tunza Dunia kitakachoruka Jumamosi | 2 Agosti 2025 kupitia vyombo takribani 25 vya habari kote nchini ambapo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko atafafanua kwa kina kuhusu Utekelezaji wa Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi Tanzania – akiangazia juhudi, mikakati na hatua zinazochukuliwa na Serikali.

‎Powered by : Mainstream Media Limited



Usikose kufuatilia mahojiano mubasha katika kipindi cha Siku mpya Jumatano hii tarehe 07/5/2025 Meya wa jiji la Arusha a...
06/05/2025

Usikose kufuatilia mahojiano mubasha katika kipindi cha Siku mpya Jumatano hii tarehe 07/5/2025

Meya wa jiji la Arusha atzungumzia miaka mitano ya Baraza la Madiwani jiji la Arusha

Host : Francis Tesha na Alphonce Kusaga

Ni ndani ya 94.9 Sunrise Radio


Tanzania, mpo tayari? Bahati Nasibu ya Taifa inakuja hivi karibuni na zawadi kubwa za pesa taslimu, michezo ya kusisimua...
25/04/2025

Tanzania, mpo tayari? Bahati Nasibu ya Taifa inakuja hivi karibuni na zawadi kubwa za pesa taslimu, michezo ya kusisimua na burudani isiyoisha. Jiandae, nafasi yako ya kushinda ipo karibu sana!



Muda wa kusubiria unafikia mwisho! Bahati Nasibu ya Taifa inazinduliwa rasmi hivi karibuni, ikikuletea michezo ya kusisi...
16/04/2025

Muda wa kusubiria unafikia mwisho! Bahati Nasibu ya Taifa inazinduliwa rasmi hivi karibuni, ikikuletea michezo ya kusisimua na zawadi za kubadilisha maisha!

Nani yuko tayari?



Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kuwa linapenda kutoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa katika Mitaandao na pi...
18/03/2025

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kuwa linapenda kutoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa katika Mitaandao na picha mjongeo ikimwonesha mwananchi mmoja aitwae Mercy Daniel Mkazi wa Arusha ambaye ameeleza kupotea kwa mmewake aitwae David Gipson Mkazi wa Arusha huku likiweka Wazi kuwa Mtu huyo ashirikiwi na Jeshi hilo.

Akitoa taarifa hiyo leo Machi 18,2025 kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Justine Masejo amesema kuwa Jeshi hilo limepokea taarifa hiyo na uchunguzi wa shauri hilo unaendelea, katika ufuatiliji huku akibainisha kuwa uchunguzi wa awali ukibaini kuwa David Gipson amehusishwa na upotevu wa fedha uliotokea katika benki moja hapa jijini Arusha jina akisema jina wanalihifadhi.

SACP Masejo ameongeza kuwa Jeshi la Polisi Mkoani humo linaendelea na ufuatiliaji wa shauri hilo ili kubaini mtu huyo yuko wapi na taarifa kamili itatolewa.

Akatoa wito kwa wananchi kusaidia Jeshi la Polisi kutoa taarifa za mtu huyo popote atakapoonekana. Pia kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili Mkoa wetu uendelee kuwa shwari.

Address

P. O. Box 11064
Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sunrise Radio Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sunrise Radio Tz:

Share

Category

TANZANIA BILA CORONA INAWEZEKANA

TANZANIA SALAMA