!["Kuna kipindi nilipotea hapa mjini nikiwa mkuu wa mkoa [wa Arusha], na nikaanza kutafutwa, na wengine mlinitafuta kwa ng...](https://img3.medioq.com/938/147/1192208049381479.jpg)
21/09/2025
"Kuna kipindi nilipotea hapa mjini nikiwa mkuu wa mkoa [wa Arusha], na nikaanza kutafutwa, na wengine mlinitafuta kwa nguvu kubwa, ukweli nilikuwa naumwa, nililishwa sumu, yasingekuwa maombi ya Watanzania na Mungu kumuinua Rais Dkt. Samia Suluhu Haasan kusimamia matibabu yangu, nilitakiwa nife mwaka jana...
..ninapokuja mbele yenu kwa unyenyekevu mkubwa nikiwambia nahitaji maombi, mengine sina nafasi yakuyaeleza, lakini wako watu walitamani kuondoa uhai wangu katika nyakati tofauti tofautiā Mgombea Ubunge jimbo la Arusha Mjini (CCM), ndugu Paul Makonda akizungumza kwenye ukumbi wa Huduma ya Mbingu Duniani, Septemba 21, 2025.