13/12/2025
"Tumeondokewa na kiongozi mahiri, aliyependa nchi yake na kazi zake, niwaombe familia msiba huu ni mtihani na ni mzito sana, shik**aneni, pendaneni, msisikilize maeno yakuwagawa, mmepata bahati ya kuwa na mama mwenye wema, endelezeni wema wake...
..Mungu amjalie amuweke pema, amuondolee adhabu zote na safari yake yakwenda peponi iwe nyepesi" Spika wa Bunge la Tanzania, M***a Azzan Zungu akizungumza katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma, wakati wa ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Marehemu Jenista Mhagama, Disemba 13, 2025.