05/08/2024
"๐๐ช๐ฎ๐ฆ๐ง๐ถ๐ณ๐ข๐ฉ๐ช ๐ฌ๐ธ๐ข ๐ฎ๐ข๐ฑ๐ฐ๐ฌ๐ฆ๐ป๐ช ๐ฎ๐ข๐ป๐ถ๐ณ๐ช, ๐ญ๐ข๐ฌ๐ช๐ฏ๐ช ๐ฏ๐ช๐ฎ๐ฆ๐ง๐ถ๐ณ๐ข๐ฉ๐ช ๐ป๐ข๐ช๐ฅ๐ช ๐ฌ๐ถ๐ฌ๐ถ๐ต๐ข ๐ค๐ฉ๐ข๐ฎ๐ข ๐ณ๐ข๐ง๐ช๐ฌ๐ช (๐๐๐๐๐๐๐) ๐ฌ๐ช๐ฎ๐ฆ๐ฏ๐ช๐ธ๐ฆ๐ฌ๐ฆ๐ข ๐ฃ๐ฆ๐ฏ๐ฅ๐ฆ๐ณ๐ข ๐ฎ๐ฑ๐บ๐ข ๐ช๐ฏ๐ข๐ฑ๐ฆ๐ฑ๐ฆ๐ข ๐ฉ๐ช๐ท๐ช, ๐ช๐ฏ๐ข๐ฏ๐ช๐ข๐ฎ๐ฃ๐ช๐ข ๐๐ข๐ช๐ด ๐ธ๐ฆ๐ต๐ถ ๐ฌ๐ข๐ณ๐ช๐ฃ๐ถ".
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na mapokezi aliyopewa na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati wa ziara yake ya uzinduzi wa miradi mbali mbali Agosti 4 Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro.
Akizungumza na wananchi wa Mikumi wakati wa uzinduzi wa daraja la Ruaha na barabara ya Kidatu- Ifakara Rais Samia amesema, "Nimefurahi kwa mapokezi mazuri, lakini nimefurahi zaidi kukuta chama rafiki (CHADEMA) kimeniwekea bendera mpya inapepea hivi, inaniambia Rais wetu karibu".
.ilala