Radio5tz

Radio5tz Radio 5 is one of Tanzania's most popular Swahili speaking radio station, broadcasting news and entertainment

News segment comprises of accurate; soft and hard local, international and national news. Entertainment segment encompasses Blues, Afro vibes and R&B, of both local (African) and international flavors that provide a rare source of relaxation in the hectic world we live in.

 inakutakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru.
09/12/2025

inakutakia maadhimisho mema ya siku ya Uhuru.

03/12/2025

We took “Unexpected” to new heights! 🚀From the rooftop view to the stage performances, the energy was unmatched all night long. 🔥

If you thought you knew what to expect, think again. 🍋✨

28/11/2025

Lock the ride to unlock the vibe. The safest way to enjoy Extra Cold refreshment. 🚘🚫🍺 ❄️

21/11/2025

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) Novemba 21, 2025, kwa ajili ya kuelekea Arusha. Ziara hiyo inatanguliwa na shughuli ya kesho, Novemba 22, 2025, ambapo atatunuku kamisheni kwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha...
21/11/2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamk**ata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo cha ukaguzi cha Pamoja kilichopo Muhalala mkoani Singida.

Dkt. Mwigulu amesema kuwa mkandarasi huyo aliaminiwa na Serikali kwa kupewa ujenzi wa mradi huo wa kimkakati uliosimama kwa zaidi ya miaka nane tangu mwaka 2016. Mradi huo unaojengwa na kampuni ya Impresa di Costruzioni Ing. E. Mantovani S.p.A ulipaswa kukamilika mwaka 2018.

Ametoa agizo hilo leo ljumaa tarehe 21 Novemba, 2025 wakati alipokagua mradi huo katika ziara yake ya kikazi mkoani Singida ambapo atakagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.

Mhe. Dkt. Mwigulu amesema kuwa jitihada zimefanyika za kuona mradi huo unaendelea lakini mkandarasi amekuwa akileta ugumu katika utekelezaji “Mkandarasi huyu alitangazwa amefilisika na hawezi kuendelea na mradi na alielekezwa ailipe fidia Tanzania kwasababu ameicheleweshea mradi”

“Naelekeza, Kamishna wa uhamiaji k**ata hati yake ya kusafiria, asitoke nje ya nchi mpaka jambo hili liishe, hii ni hujuma ya waziwazi, hii ni dharau ya waziwazi anaifanyia nchi yetu, Jeshi la Polisi mtafuteni mkandarasi huyu popote alipo, tumemuajiri, tunamlipa lakini anajiamulia K**a aendelee na kazi au asiendelee, huyu ni mhalifu ak**atwe mpaka jambo hili liishe” amesisitiza Dkt. Mwigulu
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa wakandarasi wa nje wanapaswa kufahamu kuwa wanapokuja kufanya kazi hapa nchini, watambue Tanzania imewaajiri na wasijione k**a wao ni mabosi.

“Ninaelekeza wale washirika wetu katika mradi huu, ndani ya mwezi huu jambo hili liwe limekwisha watuambie wanaendelea ama hawaendelei, na K**a hawataendelea Waziri wa Ujenzi uwapatie wakandarasi wadogo wamalizie kazi hii, hii nchi ni yetu na tunawajibu wa kuilinda, na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ametuambia hatuna mjomba, tuna mama tu anaitwa Tanzania”

20/11/2025

Dar es salaam, keep your chill… the Unlocks experience is loading.🔓
New date, same extra cold energy❄️

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amemteua Bw. Tido Mhando kuwa Mshauri wa Rais wa Habari na Maw...
19/11/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amemteua Bw. Tido Mhando kuwa Mshauri wa Rais wa Habari na Mawasiliano. Vilevile, Bw. Bakari Steven Machumu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, akichukua nafasi ya Bi. Sharifa Bakari Nyanga ambaye amepewa majukumu mengine. Aidha, Rais amemteua Bw. Lazaro Samuel Nyalandu kuwa Balozi.

19/11/2025

Tunaendelea kuenjoy na bonge la kiburudisho pamoja na wana…..!Tag na kuwakumbusha ile crew yako sm

Kufuatia taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa kiongozi (admin) wa Umoja wa Madaktari Tanzania, D...
19/11/2025

Kufuatia taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa kiongozi (admin) wa Umoja wa Madaktari Tanzania, Dkt. Kibaba Furaha Michael, ametekwa, Jeshi la Polisi mkoa wa Geita limefafanua kuwa mtuhumiwa huyo yupo chini ya ulinzi wa Polisi. Kwa mujibu wa Jeshi hilo, hatua hiyo imechukuliwa baada ya kukusanywa ushahidi unaomhusisha na tuhuma mbalimbali za kijinai.

Polisi wamesema uchunguzi uliobakia unakamilishwa ili hatua nyingine
za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yake na anaoshirikiana nao.

18/11/2025

Mabingwa wanaokunywa kistaarabu wanafahamu jibu sahihi.Chagua kati ya A,B au C Dp

17/11/2025

Tag mabingwa watatu kuwakumbusha kuwa mabingwa hula kabla ya
kunywa ! DD

Msanii wa vichekesho nchini Emmanuel Mathias MaarufuMC Pilipili amefariki dunia leo Novemba 16, 2025 mkoani Dodoma.Kwa m...
16/11/2025

Msanii wa vichekesho nchini Emmanuel Mathias Maarufu
MC Pilipili amefariki dunia leo Novemba 16, 2025 mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa
Dodoma, Dkt. Ernest Ebenzi, msanii huyo alifikishwa hospitalini hapo akiwa amefariki dunia.

Address

Njiro Block J
Arusha
P.O.BOX15883

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio5tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio5tz:

Share

Category