Smart media

Waziri mkuu Mhe: Majaliwa  Kassim Majaliwa amewasili mkoani Arusha na anatarajiwa kufunga mkutano wa 73 wa Baraza la kim...
28/04/2025

Waziri mkuu Mhe: Majaliwa Kassim Majaliwa amewasili mkoani Arusha na anatarajiwa kufunga mkutano wa 73 wa Baraza la kimataifa la viwanja vya ndege kwa kanda ya Afrika (ACI Afrika) unaofanyika katika Hotel ya Mount Meru.

17/04/2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekuwa likifuatilia matamko mbalimbali na mipango ya baadhi ya Viongozi wa Chama cha CHADEMA kikihamasisha Watu kukusanyika April 24, 2025 eneo la Mahakama ya Kisutu huku katika mipango yake kikilenga kufanya vurugu kwa lengo la kushinikiza mamlaka za kisheria kumwachia mmoja wa mtuhumiwa Tundu Lissu atakayepelekwa siku hiyo Mahakamani hapo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro kwenye taaarifa aliyoitoa leo April 17,2025 amesema “Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawakumbusha Wahusika kuwa Mahakama ni Mamlaka za kisheria zilizo huru na hazipaswi kutishwa au kuingiliwa wakati wa utekelezaji wa majukumu yake”

16/04/2025

Gambo aibua tuhuma nzito Arusha

Address

ARUSHA
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Smart media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Smart media:

Share