22/08/2024
Tuhuma dhidi ya MariaSarungi, anapaswa kuzijibu.
ashughulikie na kutupa majibu ya maswali haya kwa undani na kututosheleza.
Wito wa Uwazi na Uwajibikaji:
Ingawa ni jambo la kupongezwa kutetea haki na uhuru wa kusema, kanuni hizi lazima ziwe ni msingi katika uaminifu na uwajibikaji.
hivi karibuni ametufundisha jambo muhimu juu ya uwajibikaji:
"K**a kuna tuhuma zinazochafua taasisi na kugusa maslahi ya wengi unatakiwa kujibiwa na wanaotuhumiwa bila kujali nani amesema”
Kutokana na misingi hiyo, Shangazi MariaSTsehai anahimizwa kutoa maelezo ya wazi na ya kina kuhusiana na madai ya hivi karibuni yanayosambaa kwenye mitandao kuwa amekuwa akijipatia Mamilioni ya shilingi kutokana na harakati zake anazofanya.
Utawala wa sheria na haki una uhusiano usioweza kutenganishwa na uwazi, kwa msingi huo ni lazima na sharti muhimu kwa shangazi kuonyesha uwajibikaji
MariaSTsehai ashughulikie na kutupa majibu ya maswali yafuatayo:
➡️ Ruzuku ya Ford Foundation:
Je, ni kweli kwamba amepokea ruzuku au ufadhili kutoka kwa Ford Foundation?
➡️ Wafadhili kutoka nje:
Je, harakati zake zina wafadhili ambao si raia wa Tanzania?
➡️ Kuhamishwa hadi Nairobi:
Je, ni sahihi kwamba amehamishia makazi yake nchi jirani, jiji la Nairobi?
➡️ Maslahi Binafsi:
Je, anajibu vipi mtizamo miongoni mwa Watanzania ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiamini kwamba harakati zako zinasuk*mwa zaidi na maslahi binafsi kinyume na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wale wasio na sauti.
Ni muhimu kwa Shangazi atoe majibu ya uhakika kwa maswali haya, na kuhakikisha kwamba matendo yake yanawiana na kanuni za uwazi, uwajibikaji, na manufaa zaidi ya Watanzania.
"Tizama tuhuma zinazosambaa kwenye comment"