R Kay

R Kay Welcome to R Kay. Shabiki Mwandamizi wa . Mpira ni sehemu ya maisha pia.🤝 R Kay Yanga Sc Fan Page
(1)

16/07/2025
🟩🟨⬛️HILI JAMBO LA SHABIKI WA MTANI NI K**A LINACHEKESHA HIVI ILA PIA LINAUMIZA.🔰...Afisa Habari wa klabu ya Young Africa...
16/07/2025

🟩🟨⬛️HILI JAMBO LA SHABIKI WA MTANI NI K**A LINACHEKESHA HIVI ILA PIA LINAUMIZA.

🔰...Afisa Habari wa klabu ya Young Africans, Alikamwe amescreenshot na kupost kwenye ukurasa wake wa Instagram ujumbe aliotumiwa na shabiki wa Simba SC uliosomeka hivi...👇

"Assalamualaikum Shekhe. K**a mkikamilisha usajili wa Mohamed Hussen Zimbwe Tshabalala niandalieni kadi ya uanachama, nimechoka mateso nakuja na watu wangu... Simba nguvu moja"

◇KUWA MKWELI, HII HABARI UMEIPOKEAJE?

Ubaya Ubwela mliwafundisha wenyewe nao wanatekeleza kwa vitendo
12/07/2025

Ubaya Ubwela mliwafundisha wenyewe nao wanatekeleza kwa vitendo

Washafunga midomo yao. Walivokuwa wakimsema sasa.
10/07/2025

Washafunga midomo yao. Walivokuwa wakimsema sasa.

UVUMIKuna baadhi ya wanahabari za michezo wanaoendelea kuwaaminisha wananchi kuwa wapo baadhi ya wachezaji pale YangaSc ...
06/07/2025

UVUMI
Kuna baadhi ya wanahabari za michezo wanaoendelea kuwaaminisha wananchi kuwa wapo baadhi ya wachezaji pale YangaSc wameleta utata wa kusaini mikataba mipya. Kwamba wanadai nyongeza ya mishahara na signing fee. Na wameenda mbali zaidi kwa kuwahusisha kuhamia kwa mahasimu wao. Akitajwa sana Mudathir Yahaya na Pacome Zouzoua.

Ngoja nikwambie kitu. Viongozi wa mabingwa wa kihistoria wakiongozwa na rais wao Injinia sio wajinga k**a wengi wanavyolazimisha. Wanafahamu umuhimu wa hawa wachezaji na hakuna jambo linaloshindikana.

DEAL DONE✅Yanga wamekamisha usajili wa mshambuliaji wa Zoman Fc,Célestin Ecua✅Kıla kitu kimekamilika,Ecua is green & Yel...
05/07/2025

DEAL DONE✅

Yanga wamekamisha usajili wa mshambuliaji wa Zoman Fc,Célestin Ecua✅

Kıla kitu kimekamilika,Ecua is green & Yellow.

Msimu uliopita Ecua aligunga goli 15 na assists 12 kwenye michuano yote.

Yanga wamezipiku Simba na Azam kwa Ecua✍️

Follow ili kujua zaidi

Hans Raphael

Machapisho mengine ni mikurupuko na makasiriko tu. Mtu anatakiwa afanye utafiti wa mambo kwa nini watu hufanya vitu fula...
03/07/2025

Machapisho mengine ni mikurupuko na makasiriko tu. Mtu anatakiwa afanye utafiti wa mambo kwa nini watu hufanya vitu fulani.

Kwa kumsaidia tu huyu ndugu ni kwamba. Barcelona na Real Madrid sio watani wa jadi. Hivyo mmoja akimfunga mwenzake hawawezi kufanyiana masimango. Ila Young Africans Sports Club na Simba SC Tanzania ni watani wa jadi na wanatokea eneo moja kijiografia na ndiyo maana inaitwa Kariakoo Derby au Dar Derby. Hivyo kitendo cha ushangiliaji wa YangaSc mbele ya SimbaSc mtani wake ni kumfanyia masimango k**a ambavyo SimbaSc wangefanya endapo wangemfunga YangaSc.

Dah RIP Diego Jota. Kifo ni fumbo la dunia.
03/07/2025

Dah RIP Diego Jota. Kifo ni fumbo la dunia.

KOCHA MPYA YANGASC AMEPATIKANAKwa mujibu wa msemaji wa Young Africans Sports Club Ali Shaban Kamwe ni kwamba kocha ataka...
03/07/2025

KOCHA MPYA YANGASC AMEPATIKANA

Kwa mujibu wa msemaji wa Young Africans Sports Club Ali Shaban Kamwe ni kwamba kocha atakayechukua mikoba ya Miloud Hamdi ameshapatikana.

Akisikika sauti yake asubuhi hii kupitia kipindi cha cha Wasafi FM amesema kwamba ilikuwa ni lazima apatikane haraka kwa ajili ya kuiandaa timu na kuhusika moja kwa moja na usajili utakaohitajika. Lakini hakuwa tayari kutaja jina lake.

Je, wadhani atakuwa nani?

Takwimu zinaonesha kuwa timu zilizofungwa mabao mengi na Young Africans Sports Club ni zile ambazo hazidhaminiwi na GSM....
03/07/2025

Takwimu zinaonesha kuwa timu zilizofungwa mabao mengi na Young Africans Sports Club ni zile ambazo hazidhaminiwi na GSM.
Ebu fanya kufwatjlia ujiridhishe
💛💚💯

DEAL DONE ✅ Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa Mlandege maarufu K**a “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitat...
03/07/2025

DEAL DONE ✅

Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa Mlandege maarufu K**a “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu.

Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida.

Yanga wameopoa kipaji kikubwa kutoka Zanzibar na mpango wao ni kumtoa kwa mkopo ili apate uzoefu zaidi.



Hans Raphael

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255676783387

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when R Kay posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share