R Kay

R Kay Welcome to R Kay. Shabiki Mwandamizi wa . Mpira ni sehemu ya maisha pia.🀝 R Kay Yanga Sc Fan Page
(1)

Oooooh YesssssPira Ulaya limeonekana leo. Magoli mawili ya Mohamed Hussein Zimbwe Jr na Ecua kwa mara ya kwanza yamefung...
28/10/2025

Oooooh Yesssss
Pira Ulaya limeonekana leo. Magoli mawili ya Mohamed Hussein Zimbwe Jr na Ecua kwa mara ya kwanza yamefungwa bara la Afrika, Tanzania, Dar es Salaam, KMC Complex.

FT: Young Africans Sports Club 2-0 Mtibwa Sugar

NB: Maombi pori yao yote yameshindwa πŸ˜‚

MARUNGU YA BODI YA LIGI YATEMBEZWAK**ati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imeipa ...
28/10/2025

MARUNGU YA BODI YA LIGI YATEMBEZWA

K**ati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imeipa Pamba Jiji ushindi wa magoli matatu na alama tatu katika mchezo wake dhidi ya Dodoma Jiji.

Dodoma Jiji imepoteza mchezo huo ambao wao walikuwa wenyeji kutokana na kushindwa kuandaa mchezo huo kikamilifu jambo lililosababisha mtanange huo kuvunjika.

Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi, mchezo huo ulivunjika dakika ya sita (6) wakati ambao Dodoma Jiji ilikuwa inaongoza kwa goli 1-0 baada ya taa za uwanjani kuzima na wenyeji kushindwa kufanya jitihada zozote za kurejesha mwanga.

Kwa upande mwingine, TPLB imeitoza faini ya shilingi milioni 20, klabu ya Mtibwa Sugar kwa kosa la kuanza msimu wa NBC Premier League na kucheza michezo minne (4) bila kuwa na kocha mkuu mwenye ujuzi stahiki.

Nao TRA United wametozwa faini ya shilingi milioni 15, kwa kosa la kuanza Ligi Kuu na kucheza michezo mitatu (3) bila kuwa na kocha mkuu wemye ujuzi stahiki.

Imeandikwa na kusambazwa na R Kay

28/10/2025

Hivi Mchizi Vunga yuko wapi. Mbn haimbwi tena na akina dada?

 ⚽⚽⚽ YangaSc v Mtibwa Sugar 28.10.202510:00 JioniKMC Complex, Mwenge, DarKocha Mabedi leo kukiongoza tena kikosi cha You...
28/10/2025

⚽⚽⚽ YangaSc v Mtibwa Sugar

28.10.2025
10:00 Jioni
KMC Complex, Mwenge, Dar

Kocha Mabedi leo kukiongoza tena kikosi cha Young Africans Sports Club lakini leo ni kwenye mpambano wa dhidi ya Mtibwa Sugar.

Wakiwa wametoka kutinga hatua ya makundi ya kwa agg ya 2-1, leo macho na masikio ya wananchi yatategwa kwa wachezaji na bench la ufundi ili kujionea ifikapo dk ya 90 watakuwa wamevuna nini.

Inaeleweka Mtibwa Sugar sio timu lelemama bali wanajimudu na wanatarajiwa kuleta upinzani mzuri japokuwa watakuwa ugenini.

NB: Dube leo asiwekwe hata sub. Sio kwamba hajui bali kumpunguzia presha kwa sababu wakimwona tu watayakumbuka yale ya dhidi ya Silver Strikers.

Unampa YangaSc ushindi wa magoli mangapi?
Unadhani Mtibwa Sugar watafurukuta kwa YangaSc?

twende kazi hapo kwenye comment section πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Our four teams which qualified for Caf competitions group stage
27/10/2025

Our four teams which qualified for Caf competitions group stage

Coming up nextπŸ”°πŸ†   πŸ†š Mtibwa Sugar (H)πŸ—“οΈ 28 October 2025🏟️ KMC Complex⏱️ 10:00 Jioni    Wenye miwa yenu mjipange
27/10/2025

Coming up nextπŸ”°

πŸ†
πŸ†š Mtibwa Sugar (H)
πŸ—“οΈ 28 October 2025
🏟️ KMC Complex
⏱️ 10:00 Jioni




Wenye miwa yenu mjipange

20/10/2025

MAKOCHA WOTE HAWA WAMEMLA SIMBA🀣🀣🀣🀣.
Na kibaya Zaidi Simba kaliwa na Kocha Mdogo zaid na Mbovu zaidi Kuwahi kutokea kwenye historia ya YangaπŸš΄β€β™€οΈπŸš΄β€β™€οΈπŸ€£

Hatuna viongozi, hatuna kocha, hatuna wachezaji
18/10/2025

Hatuna viongozi, hatuna kocha, hatuna wachezaji

Maneno ya kuambiwa na kusemwasemwa tumeyaweka pembeni. Tumeyatupilia kule na mengine mtayameza wenyewe. Sisi tumerudi ma...
06/10/2025

Maneno ya kuambiwa na kusemwasemwa tumeyaweka pembeni. Tumeyatupilia kule na mengine mtayameza wenyewe. Sisi tumerudi mazozini kumkabili yeyote anayekuja mbele yetu.

Kosi linaendelea na mazoezi na kocha wao Romain Folz. Mwenye kusema sema na aseme mwishowe atalala. Sisi haoooooooo

Young Africans Sports Club Daima Mbele, Nyuma Mwiko

04/10/2025

Watch, follow, and discover more trending content.

Ufike wakati Kocha Seleman Matola apewe heshima kamilifu. K**a anao uzoefu na anayo leseni inayofaa basi asiitwe tu koch...
04/10/2025

Ufike wakati Kocha Seleman Matola apewe heshima kamilifu.

K**a anao uzoefu na anayo leseni inayofaa basi asiitwe tu kocha mkuu bali ayafanye na majukumu yote.

Au niwaulize swali wale mnaofahamu, Hivi kwani Matola hana uwezo wa kuifundisha Simba SC Tanzania na wakapata mafanikio?

We ukitukana shauri yako

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255676783387

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when R Kay posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share