R Kay

R Kay Welcome to R Kay. Shabiki Mwandamizi wa . Mpira ni sehemu ya maisha pia.🀝 R Kay Yanga Sc Fan Page
(1)

TRUE MEANING OF HAPPINESS
18/09/2025

TRUE MEANING OF HAPPINESS

Dar es Salaam, Ile kariakoo Derby hatimaye imepigwa na kumalizika dimbani mwa Mkapa na Wananchi Young Africans Sports Cl...
16/09/2025

Dar es Salaam,
Ile kariakoo Derby hatimaye imepigwa na kumalizika dimbani mwa Mkapa na Wananchi Young Africans Sports Club wakifanikiwa kuwabwaga watani wao Simba SC Tanzania kwa bao 1-0 lililofungwa na Pacome Zouzoua na Wana wa Jangwani hao kunyakua Ngao ya Jamii ikiwa ndio taji Lao la kwanza msimu wa ligi ukifunguliwa rasmi.

Mwananchi jipongeze hapo πŸ‘‡ kwa makopa ya kijani na njano.

πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›
πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š

πƒπ„π‘ππ˜ πƒπ€π˜πŸ”°  πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ†  πŸ†š Simba SCπŸ—“οΈ 16 September 2025🏟️ Benjamin Mkapa⏱️ 5:00PMKale kapaka kanakufa tena Leo.
16/09/2025

πƒπ„π‘ππ˜ πƒπ€π˜πŸ”° πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

πŸ†
πŸ†š Simba SC
πŸ—“οΈ 16 September 2025
🏟️ Benjamin Mkapa
⏱️ 5:00PM

Kale kapaka kanakufa tena Leo.


Msitununie kesho
15/09/2025

Msitununie kesho

Duh
15/09/2025

Duh

Dah hawa tff sasa
15/09/2025

Dah hawa tff sasa

Nimechelewa lakini NAWALETEEEEAAAA KAGAME CUP CHAMPIOOOOOONS CUP  .
15/09/2025

Nimechelewa lakini NAWALETEEEEAAAA KAGAME CUP CHAMPIOOOOOONS CUP .

Nawashauri tuangalie na kipindi cha pili. Hivyo tu.
12/09/2025

Nawashauri tuangalie na kipindi cha pili. Hivyo tu.

Baada ya mechi ya mazombi kwisha hivi punde, Pacome ameuliza, hiyo ndiyo timu atakutana nayo tar 16 sept?
10/09/2025

Baada ya mechi ya mazombi kwisha hivi punde, Pacome ameuliza, hiyo ndiyo timu atakutana nayo tar 16 sept?

🚨🚨 BREAKING: Mchana wa leo Yanga wamepokea ofa ya $1m  (tsh 2,485,000,000) kutoka Espérance Sportive de Tunis,ili kumpat...
10/08/2025

🚨🚨 BREAKING: Mchana wa leo Yanga wamepokea ofa ya $1m (tsh 2,485,000,000) kutoka Espérance Sportive de Tunis,ili kumpata Mzize.

De Tunis wanamtaka Mzize haraka sana,ila k**a watamkosa basi watagonga hodi Simba kuulizia huduma ya Dese Mukwala.

Chaguo namba moja ni Mzize na chaguo namba mbili ni Mukwala.

Hans Raphael Mchambuzi wa Soka

 Kwa trend ya ushindi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya Chan, je, kuna umuhimu Kibu Denis?
10/08/2025


Kwa trend ya ushindi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya Chan, je, kuna umuhimu Kibu Denis?

 : Hatimaye Timu ya Taifa ya boli ya Tanzania almaarufu k**a "Taifa Stars" imetinga hatua ya robo fainali ya mashindano ...
10/08/2025

: Hatimaye Timu ya Taifa ya boli ya Tanzania almaarufu k**a "Taifa Stars" imetinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya CHAN baada ya jana kushinda kwa 2-1 dhidi ya Madagascar katika mchezo uliopigwa dimba la Benjamin Mkapa aka Lupaso.
Magoli yalifungwa na Clement Mzize kunako kipindi cha kwanza.

Hongera kwa wachezaji wote na bench zima la ufundi bila kumsahau mchezaji namba 12 yani mshabiki.

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255676783387

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when R Kay posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share