10/08/2026
Ameandika Haji Manara
ππππππ
Ilikuwa Weekend Bomba sana kwa Watu wa football na Burudani kwa ujumla.
Itβs was amazing na tulienjoy kwa kila kitu, no matter team zote tulifungwa nyumbani !!! kwangu yalikuwa majaribio ya kirafiki zaidi kujiandaa na next season.
Pia Level ya utambulisho wa Wachezaji wa juzi na jana haijawahi kufikiwa before,natamani niwape zawadi hata ya maua ya asumini!!
Simba na Yanga mnastahili pongezi nyingi na binafsi mmenipa furaha kubwa kwa kila nukta nilipokuwa nikiangalia Matamasha yenu yaliyomalizika weekend iliyoipita!!
Hongereni sana Wadogo zangu wapendwa Ahmed Ally na Ally Kwmwe, hakika mmeweza nyie na Clubs zenu,Good performance Guys !!
Am proud of you my young brothers
ππππππππππππ
Na K**a Msemaji wa Team za Taifa nawatakia kila la Kheri Team zote zitakazowakilisha Nchi kwenye msimu huu wa 2026/27.
Maslahi ya Tanzania yatatanguliwa kuliko Clubs zetu pendwa,INSHA'ALLAH
πππππππππππ π
Young Africans Sports Club
Simba SC Tanzania