27/05/2026
: Ripoti mpya kutoka Global Statistics Wire imezitaja klabu 10 zenye thamani kubwa zaidi barani Afrika kwa kuzingatia wingi wa mashabiki pamoja na nguvu ya uwepo wa kidijitali (digital footprint).
Katika orodha hiyo, Al Ahly SC ya Misri imeongoza kwa kuwa na mashabiki takribani milioni 59, ikifuatiwa na Zamalek SC yenye mashabiki milioni 17.
Klabu ya Simba SC imek**ata nafasi ya tatu Afrika ikiwa na mashabiki takribani milioni 13.3, mbele ya Raja Casablanca ya Morocco yenye mashabiki milioni 12.1.
Kwa upande wa Young Africans SC, wao wameorodheshwa nafasi ya nane barani Afrika wakiwa na mashabiki takribani milioni 6.
Powered by Fian Security