01/12/2025
#“Serikali inajua idadi ya vituo vya Mwendokosi vilivyochomwa, inajua idadi ya magari, pikipiki na majengo ambayo yamechomwa lakin haijui Idadi ya watu waliouwawa kwenye maandamano Oktoba 29". , Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania(TEC), Padre Charles Kitima