15/11/2019
HELLOW HABAR ZENU!!
➡Ewe ndugu yangu unaekaa mjini kwa kazi ngumu ya kutafuta kazi, muda huu ni muda wako wa kubadili utamaduni huu.
➡Acha kuishi kwa kuwaiga watu, Wengi wetu tumekimbilia mijini tukidhani ya kwamba mijini ndiyo kuna maisha ya kuteremka. Lakin ulielewa ukweli pindi ulipomwona MH Jakaya aliporudi Msoga.najua bado hujanielewa lakin utanielewa ukikumbuka MH magu alipohasisha USAFI alishika chepe. Ukweli ni kwamba viongozi wetu wanachoka kutuelekeza kwa maneno na ndiyo maana wanatumia vitendo.
➡kaa mjini kwa malengo.
➡Siyo kila mwenye kumiliki nyumba mjini, amepata kwa kuuza unga na mchele kwa kilo kilo, najua hunielewi lakin ukijaribu kumchnguza yule jamaa utajua kila weekend anatoweka, sas mimi na wewe tulivyo wapumbavu hua tunadhani kaenda sehem za starehe, kumbe anakua RUVU kuangalia mpunga.
➡jamaa flani alisema kuwa tajiri bongo ni bora kuwa mbwa ulaya, lakin kasahau kua ulaya mpaka kuku huna mamlaka ya kufuga ispokua kampuni ndizo zenye mamlaka. Wakati bongo unafuga Mbuzi mpaka mjini. Nitakua sujamtendea haki k**a sijamwita mpumbavu. Najua hujanielewa lakin utakapofik uwanja wa ndege na kuona Ngozi nyeupe zimeenea utanielewa.
➡mtaani kwako kuna jamaa anafanya kazi ngumu ya kutafuta kazi, Halaf anasema maisha magumu, hivi wewe tunawez kusem hata wew unajua ugum wa maisha kweli....??
Ni sawa na kusema jua kali halafu muda huo ni saa nane usiku, inakubidi ufanyiw uchunguzi wa akili.
Huu ni muda mwafaka kwako ewe dada kaka, kuangalia fursa.
Usiseme maisha magumu halafu kila siku tunaona wazungu wakiingia na kuwekez, maisha yangekua magumu wasingekua wakija bongo. ... Hussen modu.....
Enjoy each step
Happier is really success.