Radio Mbiu

Radio Mbiu Karibu tushirikiane

Ni Ukurasa wa Kituo cha Radio Mbiu inayopatikana Mkoani Kagera katika masafa ya 104.9 Fm, na ukurasa huu unakupatia habari mbali mbali ya kile kinachojiri ndani na nje ya mkoa wa Kagera katika matukio ya Dini na Kijamii..

PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO Matukio picha wakati wa adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja ...
09/07/2025

PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO

Matukio picha wakati wa adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, kutoka Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu imeadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


09/07/2025

PICHA JONGEFU || HOMILIA MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO

"Hauwei kuibeba meza ukiwa umesimama juu yake, hauwezi kuibadili dunia ukiwa umetumbukia humo, unapaswa kuogelea kinyume cha mkondo, Simu isikuchukulie muda mwingi, baadae itageuka sumu"

Sehemu ya homilia ya Padre Francis Katagasa, Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Magdalena -Ngote, wakati wa adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


09/07/2025

PICHA JONGEFU || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO
Adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO - BUKOBA Matukio picha katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa D...
09/07/2025

PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO - BUKOBA
Matukio picha katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


09/07/2025

PICHA JONGEFU || MISA YA SHUKURANI UPADRE, KITENDAGURO
Maandamano kuelekea adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO - BUKOBA Maandamano kuelekea adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Da...
09/07/2025

PICHA || MISA YA SHUKRANI UPADRE, KITENDAGURO - BUKOBA

Maandamano kuelekea adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


09/07/2025

|| MISA YA SHUKURANI KITENDAGURO - BUKOBA

Karibu tushiriki pamoja Adhimisho la Misa Takatifu ya shukurani kwa Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Evodius Timanywa, wa Kigango cha Kitendaguro, Parokia teule ya Mtakatifu Paulo Miki -Kibeta , Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Padre Evodius Timanywa, nyumbani kwao Kitendaguro, Parokia ya Kibeta, Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz


Mtakatifu Veronica Giuliani, MtawaMtakatifu  Veronica alizaliwa Binasco,Milan Italia mwaka 1660.Alijiunga na shirika la ...
09/07/2025

Mtakatifu Veronica Giuliani, Mtawa
Mtakatifu Veronica alizaliwa Binasco,Milan Italia mwaka 1660.Alijiunga na shirika la watawa wakapuchini mwaka 1677 huko City de Castello ,Umbria.

Alibaki huko kwa maisha yake yote,kwa miaka 34.Alitumikia nafasi mbalimbali mwisho akawa mkuu wa wakufunzi katika shirika.

Mwaka 1697 alianza alianza kupata Stigmata( maono ya mateso ya Yesu) ,pamoja na madonda yake.Alipata maono mengine mengi.

Aliwavutia sana watawa wenzie kwa uchaji wake.Mwaka 1716 alichaguliwa kuwa mkuu wa Convent yao,kazi aliyoifanya mpaka kifo chake.Alikufa mwaka 1727.

Watakatifu wengine wa leo ni
Bl. Adrian Fortescue
Mt. Adrian Van Hilvarenbeek
Mt. Agilulfus
Mt. Anatolia
Mt. Andrew Wouters
Mt. Antonino Fantosati
Mt. Augustine Tchao
Mt. Brictus
Mt. Cornelius
Mt. Elia Facchini
Mt. Everild
Mt. Francis Rod
Mt. Godfrey
Mt. Golvinus
Mt. Gregorio Grassi
Mt. James Lacop
Mt. Jerome wa Werden
Mt. John wa Cologne
Mt. John wa Osterwick
Mt. Joseph Zhang Dapeng
Mt. Justus wa Poland
Mt. Leonard Wegel
Mt. Marie Amandine
Mt. Mary Hermina Grivot
Mt. Nicasius Jonson
Mt. Nicholas Pieck
Mt. Nicholas Poppel
Mt. Patermuthius
Mt. Paulina
Mt. Peter wa Asche
Mt. Willehad wa Denmark
Mt. Zeno
Mtakatifu Veronica, Wenyeheri na Watakatifu wengine wote wa leo, Mtuombee.
www.radiombiu.co.tz

09/07/2025

PICHA JONGEFU - MISA TAKATIFU YA UPADRISHO
▪︎ Picha jongefu ya utolewaji wa Daraja Takatifu ya Upadre kwa Padre Evodius Timanywa, kutoka Parokia Teule ya Mtakatifu Paulo Miki - Kibeta Jimbo Katoliki Bukoba.

▪︎ Misa takatifu iliadhimishwa na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba Julai 06 2025.
www.rdiombiu.co.tz

09/07/2025

PICHA JONGEFU - BARAKA YA KWANZA MISA TAKATIFU YA UPADRISHO
▪︎ Padre Evodius Timanywa, akitoa baraka ya kwanza kwa Maaskofu baada ya Misa Takatifu ya utolewaji wa Daraja Takatifu ya Upadre kwa Padre Evodius Timanywa, kutoka Parokia Teule ya Mtakatifu Paulo Miki - Kibeta Jimbo Katoliki Bukoba.

▪︎ Misa takatifu iliadhimishwa na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba Julai 06 2025.
www.rdiombiu.co.tz

SALA KABLA YA KAZI:Uje Roho Mtakatifu, uzienee nyoyo za waamini wako, uwatie mapendo yako.Peleka Roho wako, vitaumbwa up...
09/07/2025

SALA KABLA YA KAZI:
Uje Roho Mtakatifu, uzienee nyoyo za waamini wako, uwatie mapendo yako.
Peleka Roho wako, vitaumbwa upya. Na nchi itageuka.
Tuombe:
Ee Mungu, Uliyefundisha nyoyo za waamini ukiwaletea mwanga wa Roho wako Mtakatifu, tunaomba tuongozwe na yule Roho, tupende yaliyo mema, tupate daima faraja zake. Tunaomba hayo kwa Njia ya Kristo, Bwana wetu.
Amina.
www.radiombiu.co.tz

Address

Bunena
Bukoba
35101

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 16:00
Sunday 09:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Mbiu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Mbiu:

Share

Category