09/08/2026
HABARI PICHA || MISA YA UPADRISHO RUTABO- BUKOBA
Picha za makundi mbalimbali baada ya adhimisho la Misa Takatifu ya Upadrisho wa Padre Frank Rwetembura β Parokia Rutabo Jimbo katoliki la Bukoba
Misa takatifu imeadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba na kuhudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage, Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsinyori, Mapadre na Waamini wa jimbo hilo
www.radiombiu.co.tz