Radio Mbiu

Radio Mbiu Karibu tushirikiane

Ni Ukurasa wa Kituo cha Radio Mbiu inayopatikana Mkoani Kagera katika masafa ya 104.9 Fm, na ukurasa huu unakupatia habari mbali mbali ya kile kinachojiri ndani na nje ya mkoa wa Kagera katika matukio ya Dini na Kijamii..

HABARI PICHA || MISA YA UPADRISHO RUTABO- BUKOBAPicha za makundi mbalimbali baada ya adhimisho la Misa Takatifu ya Upadr...
09/08/2026

HABARI PICHA || MISA YA UPADRISHO RUTABO- BUKOBA

Picha za makundi mbalimbali baada ya adhimisho la Misa Takatifu ya Upadrisho wa Padre Frank Rwetembura – Parokia Rutabo Jimbo katoliki la Bukoba

Misa takatifu imeadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba na kuhudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage, Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsinyori, Mapadre na Waamini wa jimbo hilo

www.radiombiu.co.tz

HABARI PICHA || MISA YA UPADRISHO RUTABO- BUKOBAMapadre wa jimbo Katoliki la Bukoba wakimtakia amani Padre Frank Rwetemb...
09/08/2026

HABARI PICHA || MISA YA UPADRISHO RUTABO- BUKOBA

Mapadre wa jimbo Katoliki la Bukoba wakimtakia amani Padre Frank Rwetembura, baada ya kupatiwa Daraja Takatifu ya Upadre na Mhashamu Methodius Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

Misa takatifu imeadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, katika Parokia ya Mtakatifu Yosefu- Rutabo, na kuhudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage, Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsinyori, Mapadre na Waamini wa jimbo hilo

www.radiombiu.co.tz

HABARI PICHA|| PAROKIA YA MTAKATIFU JOSEPH RUTABO YAMKABIDHI ZAWADI YA GARI PADRE MPYAHabari picha, akionekana Padre Fra...
09/08/2026

HABARI PICHA|| PAROKIA YA MTAKATIFU JOSEPH RUTABO YAMKABIDHI ZAWADI YA GARI PADRE MPYA
Habari picha, akionekana Padre Frank Rwetembura akikabidhiwa gari na Mhashamu Methodius Kilain Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoriki la Bukoba lililotolewa na Parokia ya Rutabo baada ya kupata Daraja ya Upadre.
Misa takatifu imeadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, imeudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsenyori, Mapadre na Waumini wa jimbo hilo
www.radiombiu.co.tz

HABARI PICHA|| PADRE FRANK RWETEMBURA AANZA RASMI MAJUKUMU YA UPADREHabari picha, akionekana Padre Frank Rwetembura akit...
09/08/2026

HABARI PICHA|| PADRE FRANK RWETEMBURA AANZA RASMI MAJUKUMU YA UPADRE
Habari picha, akionekana Padre Frank Rwetembura akitekeleza majukumu yake muda mfupi baada ya kupatiwa Daraja la upadre katika Parokia ya Mtakatifu Joseph Rutabo jimbo katoliki la Bukoba.
Misa takatifu imeadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, imeudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsenyori, Mapadre na Waumini wa jimbo hilo
www.radiombiu.co.tz

HABARI PICHA|| ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA UTOLEWAJI WA DARAJA YA UPADRE PAROKIA RUTABO JIMBO KATORIKI LA BUKOBAHabari...
09/08/2026

HABARI PICHA|| ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA UTOLEWAJI WA DARAJA YA UPADRE PAROKIA RUTABO JIMBO KATORIKI LA BUKOBA

Habari picha, Maandamano kuelekea sehemu ya adhimisho la Misa Takatifu ya utolewaji wa Daraja ya Upadre kwa Shemasi Frank Rwetembura Parokia ya Mtakatifu Joseph Rutabo jimbo katoliki la Bukoba.

Misa takatifu inaadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, imeudhuriwa na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa jimbo katiliki la Bukoba, Mamonsenyori, Mapadre na Waumini wa jimbo hilo
www.radiombiu.co.tz

09/08/2026

MISA TAKATIFU YA UPADRISHO RUTABO - BUKOBA

Karibu tushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Upadre kwa Shemasi Frank Rwetembura wa Parokia ya Mtakatifu Joseph Rutabo Jimbo Katoliki Bukoba.

Misa Takatifu inaadhimishwa na Mhashamu Methodius Kilaini Askofu msaidizi mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika Parokia ya Mtakatifu Joseph-Rutabo Jimbo Katoliki Bukoba.

Endelea kusikiliza Radio Maria Tanzania popote ulipo kupitia masafa ya:

πŸ“» Bukoba 104.9 FM
πŸ“» Geita 106.1 FM
πŸ“» Rulenge Ngara 102.5 FM
πŸ“» Bunda 92.9 FM
πŸ“» Mwanza 104.1 FM
πŸ“» Musoma 92.9 FM
πŸ“» Shinyanga 99.9 FM
πŸ“» Kayanga 102.5 FM
πŸ“» Bariadi 95.5
www.radiombiu.co.tz



.kampuni100200
(15)

09/08/2026

PAROKIA YA KYANSHENGE JIMBO LA BUKOBA YAKABIDHI ZAWADI YA GARI KWA PADRE MPYA CICELIUS BUBERWA

09/08/2026

RATIBA YA MAPOKEZI YA SANAMU YA BIKIRA MARIA JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA

Karibu tufungue Matangazo ya Dominika ya 19, Mwaka A wa Kanisa kwa kusali Sala za Asubuhi, Tafakari ya Masomo ya Dominik...
09/08/2026

Karibu tufungue Matangazo ya Dominika ya 19, Mwaka A wa Kanisa kwa kusali Sala za Asubuhi, Tafakari ya Masomo ya Dominika , Sala ya Malaika wa Bwana na Masifu ya Asubuhi kisha adhimisho la Misa Takatifu.

Studio upo na Brigitha Msasalaga

HABARI PICHA|| MISA TAKATIFU YA UTOLEWAJI WA DARAJA YA UPADRE KWA SHEMASI CICELIUS BUBERWA -BUKOBAMatukio picha Maaskofu...
08/08/2026

HABARI PICHA|| MISA TAKATIFU YA UTOLEWAJI WA DARAJA YA UPADRE KWA SHEMASI CICELIUS BUBERWA -BUKOBA
Matukio picha Maaskofu, Mamonsenyori na Mapadre wakimpongeza Padre Cicelius Buberwa baada ya kupatiwa Daraja Takatifu la Upadre
www.radiombiu.co.tz

Address

Bunena
Bukoba
35101

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 16:00
Sunday 09:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Mbiu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Mbiu:

Shortcuts

Share

Category