"Viongozi wa Madhehebu ya Dini niwaombe mfanye kazi ili mpate pesa tujitafakari na kisha tuwafundishe waumini kuhusu thamani ya pesa na Mungu" - Mwl. Moses Kaegele- Mkuu wa Wilaya ya Butiama
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Wilaya ya Butiama (SHIVYAWATA) James Mbatira amesema kuwa miaka ya 1980 kurudi nyuma watu wenye ulemavu walilazimika kuoana kutokana na elimu ndani ya jamii ilikuwa ndogo.
Mkurugenzi wa Shirika la Hope For Girls and Women Tanzania Rhobi Samwelly
#ukeketajibasi2030 #ukeketaji #bongo #simba #simbasc
Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa Mzee Fidelis Kisuka amewaomba wananchi wa Butiama na Mkoa wa Mara kwa ujumla kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini na Butiama Nimrod Mkono pindi mwili wake utakapofika kijijini kwao Busegwe ukitokea nchini Marekani.
Tendo la ndoa sio la starehe ni la kupata mtoto
#ndoa #jinsi #pinga #ukatiliwakijinsia #ukatili #maadili
Mhanga wa ubakaji harushusiwi kuoga mpaka atakapofika polisi au Hospitali
BABA AMTUHUMU MKE WAKE KUMPIGA KISA ADA YA SHULE
Daniel Okendo (52) Mkazi wa Kijiji cha Mika Kata ya Bukwe katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara amemtuhumu mke wake jina linahifadhiwa (37) kumpiga hadharani mbele ya watoto wake kwa kosa la kutokuwa na pesa kwa ajili ya kuwalipia watoto mahitaj ya shule.
#millardayoupdates #ireneuwoya #AzamSports2 #NguvuMoja #hajimanara #nyumbandogo #powerbreakfastcloudsfm #kingkiba #LAVIDAVI #UKATILI