ZOTE TV

ZOTE TV Updates | Entertainment | Sports News | Comedy
**aHaijavumaHaijatokea"

๐Ÿšจ MAMBO NI MAZITO! WALE WA MOROCCO WANARUDI TENA NA SHINIKIZO LA PESA! ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆMatajiri wa FAR Rabat hawana mchezo kabisa! Nd...
13/08/2026

๐Ÿšจ MAMBO NI MAZITO! WALE WA MOROCCO WANARUDI TENA NA SHINIKIZO LA PESA! ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Matajiri wa FAR Rabat hawana mchezo kabisa! Ndani ya siku mbili tu, wameshusha OFA YA PILI ya kiasi cha $1,000,000 (TSh Biliationi 2.6) kwenda Yanga SC ili wainase saini ya kiungo fundi, Allan Okello! ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅ
Ila Wananchi wamesimamia kucha zote! Baada ya kugonga 'No' kwenye ofa ya kwanza ya $700,000, Yanga wameweka msimamo wao wazi:

๐Ÿ‘‰ "K**a mnamtaka Okello, leteni $1.5 Million (TSh Bilioni 3.9) mezani!" ๐Ÿ™…โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ˜
Sasa mpira uko kwa Morocco... Je, FAR Rabat watakubali kutoa hii Billion 3.9 au Okello ataendelea kusalia Jangwani? ๐Ÿคฏ๐Ÿ‘€

๐Ÿ’ญ Unadhani Yanga watafanya biashara au wambakishe fundi huyu? Dondosha maoni yako hapa chini! ๐Ÿ‘‡

๐“๐”๐…๐”๐€๐“๐ˆ๐‹๐ˆ๐„ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Œ๐ˆ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐‰๐€๐Œ๐ˆ๐ˆ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐ˆ๐ง๐ฌ๐ญ๐š๐ ๐ซ๐š๐ฆ| ๐…๐š๐œ๐ž๐›๐จ๐จ๐ค| ๐˜๐จ๐ฎ๐“๐ฎ๐›๐ž| ๐“๐ข๐ค๐“๐จ๐ค | ๐’๐„๐€๐‘๐‚๐‡ ๐™๐Ž๐“๐„ ๐“๐•

VitandawiliVyetu

๐–๐„๐Œ๐€ ๐’๐„๐๐„๐“๐” & ๐™๐”๐‚๐‡๐” ๐Œ๐ฌ๐š๐ง๐ข๐ข ๐ฐ๐š ๐…๐ข๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐š๐ฆ๐›๐š๐ž ๐ง๐ข ๐ƒ๐ž๐š ๐— ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐š ๐™๐”๐‚๐‡๐” ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐ž....
13/08/2026

๐–๐„๐Œ๐€ ๐’๐„๐๐„๐“๐” & ๐™๐”๐‚๐‡๐”

๐Œ๐ฌ๐š๐ง๐ข๐ข ๐ฐ๐š ๐…๐ข๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐š๐ฆ๐›๐š๐ž ๐ง๐ข ๐ƒ๐ž๐š ๐— ๐ฐ๐š ๐Š๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐š ๐™๐”๐‚๐‡๐” ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐ž....

๐”๐Œ๐„๐‰๐ˆ๐…๐”๐๐™๐€ ๐๐ˆ๐๐ˆ ๐‡๐€๐๐€ ๐”๐Š๐ˆ๐€๐‚๐‡๐€ ๐”๐๐„๐๐ƒ๐Ž....???

๐“๐”๐…๐”๐€๐“๐ˆ๐‹๐ˆ๐„ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Œ๐ˆ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐‰๐€๐Œ๐ˆ๐ˆ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐ˆ๐ง๐ฌ๐ญ๐š๐ ๐ซ๐š๐ฆ| ๐…๐š๐œ๐ž๐›๐จ๐จ๐ค| ๐˜๐จ๐ฎ๐“๐ฎ๐›๐ž| ๐“๐ข๐ค๐“๐จ๐ค | ๐’๐„๐€๐‘๐‚๐‡ ๐™๐Ž๐“๐„ ๐“๐•

09/08/2026

"๐“๐”๐Œ๐๐„๐๐ˆ ๐Œ๐”๐ƒ๐€ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐Š๐ˆ๐‹๐€ ๐Š๐ˆ๐“๐” ๐Š๐ˆ๐“๐€๐Š๐€๐€ ๐’๐€๐–๐€ ๐–๐€๐๐€๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚"

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

08/08/2026

๐๐€๐ƒ๐Ž ๐€๐Œ๐‰๐€๐€๐Œ๐ˆ๐๐ˆ ๐ˆ๐‹๐ˆ ๐˜๐”๐๐Ž ๐“๐„๐๐€ ๐Œ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐‡๐”๐”:

MSHAMBULIAJI Selemani Mwalimu, amewaondoa hofu mashabiki wa Simba kuhusu hatma yake baada ya video yake kuonyeshwa kwenye skrini iliyowekwa Uwanja wa Uhuru wakati wa kilele cha Simba Day, akithibitisha kuwa ataendelea kuwepo msimu wa 2026-2027.

Mwalimu, ambaye msimu uliopita aliitumikia Simba kwa mkopo akitokea Wydad Casablanca ya Morocco, amekuwa kwenye sintofahamu baada ya klabu hizo mbili kutofautiana kuhusu makubaliano ya kuendelea kwa mshambuliaji huyo kubaki Msimbazi.

Baada ya msimu wa 2025-2026 kumalizika, Simba ilitangaza kuwa imefikia makubaliano ya kuendelea na Mwalimu, lakini Wydad baadaye ilikanusha taarifa hizo.

Katika kipindi hicho, Mwalimu alirejea Morocco na kuonekana akifanya mazoezi na Wydad, jambo lililozua maswali kuhusu iwapo angebaki Casablanca au kurejea Tanzania.

Akizungumza kupitia video hiyo, Mwalimu aliwatumia ujumbe mashabiki wa Simba na kuthibitisha kuwa bado ni sehemu ya kikosi hicho.

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚ ๐Š๐”๐Œ๐‘๐„๐‰๐„๐’๐‡๐€ ๐’๐„๐‹๐„๐Œ๐€๐ ๐Œ๐–๐€๐‹๐ˆ๐Œ๐”:Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Selemani...
08/08/2026

๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚ ๐Š๐”๐Œ๐‘๐„๐‰๐„๐’๐‡๐€ ๐’๐„๐‹๐„๐Œ๐€๐ ๐Œ๐–๐€๐‹๐ˆ๐Œ๐”:

Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Selemani Mwalimu 'Gomez', ni sehemu ya kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kuelekea msimu wa 2026/27.Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC amethibitisha taarifa hiyo leo, Agosti 8, 2026, katika tamasha la Simba Day 2026, akieleza kuwa klabu imefikia makubaliano na Wydad Casablanca ya Morocco kuhusu mchezaji huyo.

Gomez, mwenye umri wa miaka 20, kwa sasa anatajwa kuwa tayari yupo angani akirejea Tanzania kutoka Morocco baada ya kukamilikakwa taratibu za makubaliano kati ya klabu hizo.
Usajili huo unaongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji ya Simba kuelekea msimu mpya.

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

๐Š๐„๐’๐‡๐Ž ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐–๐€๐๐€๐‰๐€๐Œ๐๐Ž ๐‹๐€๐Ž ๐Œ๐–๐€๐๐€๐๐‚๐‡๐ˆ ๐ƒ๐€๐˜ ๐“๐”๐’๐”๐๐ˆ๐‹๐ˆ ๐“๐”๐Ž๐๐„ ๐…๐„๐ˆ ๐“๐Ž๐“๐Ž ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐHatima ya Feisal Salum 'Fei Toto' imeendelea kuwa moja...
08/08/2026

๐Š๐„๐’๐‡๐Ž ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐–๐€๐๐€๐‰๐€๐Œ๐๐Ž ๐‹๐€๐Ž ๐Œ๐–๐€๐๐€๐๐‚๐‡๐ˆ ๐ƒ๐€๐˜ ๐“๐”๐’๐”๐๐ˆ๐‹๐ˆ ๐“๐”๐Ž๐๐„ ๐…๐„๐ˆ ๐“๐Ž๐“๐Ž ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐ

Hatima ya Feisal Salum 'Fei Toto' imeendelea kuwa moja ya gumzo kubwa katika soko la usajili nchini Tanzania, huku Yanga SC na Simba SC zikihusishwa na harakati za kumnasa kiungo huyo.Kwa mujibu wa taarifa zinazozunguka, Fei Toto na Yanga SC wanadaiwa kuwa wamefikia makubaliano binafsi wiki kadhaa zilizopita, huku kukiwa na madai kwamba Yanga pia imetuma wawakilishi kwenda Zanzibar kuzungumza na familia ya mchezaji huyo.

Hata hivyo, changamoto kubwa bado inaonekana kuwa kwenye mazungumzo kati ya Azam FC na Yanga SC, ambayo kwa mujibu wa taarifa hizi bado hayajafikia makubaliano ya mwisho kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo.Fei Toto kwa sasa yupo Serena Hotel, Kigali, akiendelea na pre-season ya Azam FC, huku kikosi hicho kikitarajiwa kurejea Tanzania Agosti 12.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Agosti 13 inatajwa kuwa siku muhimu katika kujua mustakabali wa Fei Toto iwapo ataondoka Azam FC au ataendelea kubaki na klabu hiyo.Wakati huo huo, Simba SC pia imetajwa kuwa bado iko kwenye mbio za kumshawishi Fei Toto, jambo linaloongeza ushindani mkubwa katika sakata hili.

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

08/08/2026

๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐–๐€๐“๐€๐€๐‹๐€๐Œ๐” ๐–๐€ ๐Œ๐€๐†๐€๐‹๐ˆ ๐ˆ๐•๐ˆ ๐‡๐ˆ๐ˆ ๐ˆ๐๐€๐–๐„๐™๐€ ๐ˆ๐Š๐€๐–๐€ ๐’๐‡๐ˆ๐ƒ๐€ ๐๐ˆ๐๐ˆ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐†๐€๐‹๐ˆ ๐˜๐„๐“๐” ๐ƒ๐€๐€๐€๐‡ ๐€๐ˆ๐๐” ๐”๐“๐€๐Ž๐๐€ ๐–๐„๐–๐„....!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

07/08/2026

๐”๐Š๐–๐„๐‹๐ˆ ๐‡๐”๐” ๐‡๐€๐๐€ ๐Š๐”๐‡๐”๐’๐” B๐€๐‘๐”๐€ ๐˜๐€ ๐…๐ˆ๐…๐€:

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

๐•๐ˆ๐†๐Ž๐†๐Ž ๐–๐€๐–๐ˆ๐‹๐ˆ ๐–๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚ ๐•๐ฌ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐‚๐’ ๐–๐€๐“๐” ๐–๐€๐Œ๐„๐•๐”๐๐‰๐€ ๐๐€๐๐Š ๐”๐Š๐Ž ๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐“๐”๐‹๐ˆ๐Ž ๐ˆ๐๐€๐“๐€ ๐…๐„๐ˆ ๐“๐Ž๐“๐Ž ๐€๐๐€๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐–๐„๐๐ƒ๐€ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐‡๐ˆ๐•๐˜๐Ž ๐’...
06/08/2026

๐•๐ˆ๐†๐Ž๐†๐Ž ๐–๐€๐–๐ˆ๐‹๐ˆ ๐–๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐’๐‚ ๐•๐ฌ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐‚๐’ ๐–๐€๐“๐” ๐–๐€๐Œ๐„๐•๐”๐๐‰๐€ ๐๐€๐๐Š ๐”๐Š๐Ž ๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐“๐”๐‹๐ˆ๐Ž ๐ˆ๐๐€๐“๐€ ๐…๐„๐ˆ ๐“๐Ž๐“๐Ž ๐€๐๐€๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐–๐„๐๐ƒ๐€ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐‡๐ˆ๐•๐˜๐Ž ๐’๐‡๐ˆ๐ƒ๐€ ๐ˆ๐๐Ž ๐€๐™๐€๐Œ ๐…๐‚ ๐Œ๐๐€๐Š๐€ ๐’๐€๐’๐€:

TUFUATILIE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

03/08/2026

USIKU WA SALMA YESSE LEO KWETU:

Tazama Alivyo Enda Kumpatia Udugu wake HONGERA YA KUZALIWA

Tufuatilie Kwenye MITANDAO YA KIJAMII TV ๐Ÿ™

Instagram | YouTube | TikTok | Facebook | ZOTE TV

TUFOLLOW

Address

Buza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ZOTE TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category