CnZ Media

CnZ Media Burudani Mchanganyiko
KARIBU SANA

Nimeishi na mke wangu kwenye nyumba tuliyojenga pamoja miaka mitano sasa na kuna mdogo wake wa k**e alikuja tukaishi nae...
27/08/2026

Nimeishi na mke wangu kwenye nyumba tuliyojenga pamoja miaka mitano sasa na kuna mdogo wake wa k**e alikuja tukaishi nae hapo vizuri tu

Siku moja mimi nikawa nimeenda kijijini kwa baba na mama kuwasalimia siku nataka kurudi mama na wadogo zangu wawili waliniambia kuwa watakuja kututembelea

Mimi k**a utani nikampigia simu mke wangu nikamwambia andaa chumba cha wageni mama na wadogo zangu nakuja nao wanakuja kukusalimia

Baada ya kuongea na mke wangu nikakata simu lakini mama akasema hawataenda na mimi, wao watabaki waandae pia na zawadi za kumpelekea mwenga wao

Mimi nikiwa safarini kurudi nyumbani simu yangu ikazima chaji nikawa nimefika usiku sana nyumbani kiasi kwamba nikakuta mke wangu na mdogo wake wamelala

Kwasababu nilikua na funguo nikaamua kuingia bila kuwaamsha nikawa nimepitiliza mpaka chumba cha wageni nikakuta chakula kimeandaliwa

Mimi nikala kwasababu nilikua na njaa na nilivorudi sebleni nikakuta chakuka kingine inaonekana ndo kilikuwa chakwangu nikawa nimekiacha hapo

Cha ajabu nikiwa nimelala nikasikia mke wangu ananyenyuka kwa kunyata akijua nimesinzia na mimi nikataka nijue anafanya nini nikaona anaelekea kwenye chumba cha wageni

Alivyofika mlangoni akachungulia hakuona mtu akaingia na kukagua chakula alichokua amekiacha hakukikuta nikaona amekuwa na hofu akamuamsha mdogo wake

Anamuuliza k**a ndo kala kile chakula na yeye akakataa mke wangu akaogopa mimi nae nikataka nijitokeze kuuliza shida nini ghafla nikadondoka chini k**a mzigo

Asubuh napata fahamu nipo hospital majibu yanakuja inaonekana nimekula chakula cha sumu sasa nashindwa kumuelewa mke wangu alikuwa na lengo gani

Nawaza nimfukuze au nimuache tu tuendelee na maisha nichukulie tu k**a changamoto za ndoa?

Mwanaume akioa tunasema amepata jiko, je kwa upande wa mwanamke akiolewaTunasema amepata nini?
25/08/2026

Mwanaume akioa tunasema amepata jiko, je kwa upande wa mwanamke akiolewa

Tunasema amepata nini?

25/08/2026

Nakuangalia Dakika Kumi Lakini Sikuoni🤣

Kuna mwanajeshi mmoja amekua anamazoea sana na mke wangu nimefanya uchunguzi nimegundua anatoka na mke wanguNifanyeje il...
25/08/2026

Kuna mwanajeshi mmoja amekua anamazoea sana na mke wangu nimefanya uchunguzi nimegundua anatoka na mke wangu

Nifanyeje ili nilidhibiti hilo?

25/08/2026

Wewe Ungefanya Nini?

Kabla mke wangu hajabeba mimba tulikua tunaishi kwa amani tu tunaongea vizuri tunafurahi pamojaLakini baada tu yakubeba ...
25/08/2026

Kabla mke wangu hajabeba mimba tulikua tunaishi kwa amani tu tunaongea vizuri tunafurahi pamoja

Lakini baada tu yakubeba mimba mke wangu kabadirika sna anaonekana kunichukia sana hataki hata niwe nakaa karibu yake anadai anajisikia kichefu chefu

Inafikia muda hataki tulale kitanda kimoja anasema mtoto anataka mimi nilale chini mimi kiukweli nilichukia ikabidi nitoke nikalale sebleni mpaka asubhi

Nimeamka asubuhi ninahasira sana sijui kwanini huyu mwanamke baada tu yakubeba mimba ananichukia sana nawaza hadi kumrudisha kwao kwanza nisije nikampiga nikamuuliza

25/08/2026

Nikatie Kidogo Nipokee Simu🤣

Hivi SALOON kwakiswahili ni nini?
25/08/2026

Hivi SALOON kwakiswahili ni nini?

Hivi kwanini siku hizi wanawake kuzaa imekuwa bahati sana tofauti na miaka ya nyuma mpaka walikuwa wanakimbilia uzazi wa...
24/08/2026

Hivi kwanini siku hizi wanawake kuzaa imekuwa bahati sana tofauti na miaka ya nyuma mpaka walikuwa wanakimbilia uzazi wa mpango wa asili?
Vyakula tunavyokula au shida ni nini haswa?šŸ¤”

24/08/2026

Ukiwa Sawa Utaniambia🤣

Address

Cheka Na Zephiline
Chato
30301

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CnZ Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category