Tree Tv Online

Tree Tv Online Fuatana nasi kwa Habari za Uhakika

19/05/2026
19/05/2026

Ikulu Mawasiliano

19/05/2026

Arsenals raha tupu mwaka huu

19/05/2026

Msafara wa Rio Ferdinand ukielekea hotelini

19/05/2026

Msanii wa vichekesho Erick omond aongoza maandamano Nchini Kenya

RAIS SAMIA ANAENDELEA KUPELEKA KUPELEKA FURAHA NA NEEMA KWA WATUMISHI WA UMMA TANZANIA.-KIKWETENimezungumza na maafisa t...
07/05/2026

RAIS SAMIA ANAENDELEA KUPELEKA KUPELEKA FURAHA NA NEEMA KWA WATUMISHI WA UMMA TANZANIA.-KIKWETE

Nimezungumza na maafisa tawala na RasilimaliWatu , katika mkutano uliofanyika Ukumbi wa AICC, Arusha na kuwakumbusha kutekeleza wajibu wao na kuleta furaha kwa watumishi wa umma ili kwa upande mwengine nao wapeleke furaha na neema kwa Watanzania . Nimeyaeleza hayo kufuatia maamuzi mbalimbali yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha maslahi ya Watumishi wa umma nchini yanaboreka.

Uamuzi wa hivi karibuni wa Serikali kupandisha madaraja watumishi 219,042 ni hatua ya kihistoria katika kuimarisha utumishi wa umma nchini Tanzania. Hatua hii ambayo imepata ridhaa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na ongezeko la mishahara ya watumishi wa umma (2025): +35.1% , Ongezeko la kima cha chini sekta binafsi (2025/26): +33.4% , ambapo Sekta mbalimbali zinakwenda athiriwa na maboresho haya ikiwemo afya, elimu, kilimo, mawasiliano, usafirishaji, nishati, viwanda, biashara, hoteli, michezo, uvuvi, baharini, madini ,utamaduni n.k

Matokeo haya kitakwimu zinaonyesha kasi ya mageuzi ya kiutumishi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ambayo inaonyesha uongozi wa kimkakati unaoweka mbele ustawi wa watumishi na ufanisi wa taasisi za umma.

Wakati tunadiscuss Derby ya Kariakoo inayopigwa leo katika dimba la Amani almaaruf 'Guantenamo.'Hebu tujadili mapambano ...
29/04/2026

Wakati tunadiscuss Derby ya Kariakoo inayopigwa leo katika dimba la Amani almaaruf 'Guantenamo.'

Hebu tujadili mapambano ya wakubwa hawa wawili katika Soko letu la Fedha.

Nini kimemkuta NMB kuchakazwa katika kila kona katika matokeo ya robo ya kwanza ya mwaka na CRDB?

21/03/2025

RAIS DKT. SAMIA AKIMPONGEZA RAIS MTEULE WA NAMIBIA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuhutubia hafla ya uapisho iliyofanyika katika Ikulu ya nchi hiyo Windhoek tarehe 21 Machi, 2025. Mhe. Rais Nandi-Ndaitwah ni Rais wa kwanza Mwanamke kuchaguliwa katika Taifa hilo la Namibia

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Telephone

+255766660001

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tree Tv Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share