Big Bros Media

Big Bros Media πŸ“» Welcome to Big Boss Radio, where the heartbeats of Tanzania unite! πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ΅ No worries! And the best part?
(1)

"Welcome to Big Boss Radio (BBR), your vibrant community radio station and online TV hub, right here in the heart of Dar es Salaam! πŸ“»πŸ“ΊπŸŒ†

Since our inception in 2018, BBR has become the heartbeat of the youth, delivering a unique blend of news, information, sports, and lifestyle content that resonates with our dynamic audience. πŸŽ™οΈπŸ“°πŸ€πŸŒŸ

We're not just about music; we're your go-to source for staying

in the know. Our programming is enhanced with timely news reports, traffic updates, and weather forecasts, ensuring you're always ahead of the game. πŸš—πŸŒ¦οΈ

Can't be with us in person? We beam our broadcast to Dar es Salaam and beyond via live online streaming, making it easy for you to tune in from anywhere on the planet. You can catch up on all your favorite shows with our free podcasts available on our website. 🌍🎧

Our lineup of shows is designed to entertain, inform, and inspire. Dive into the sounds of 'Asubuhi Yetu,' experience the thrill of 'Sports Center,' explore the local scene with 'Tash*titi za Mtaa,' and savor 'Quality Time' on air. πŸŽΆπŸŽ€πŸŽ‰

Meet the friendly faces behind the microphone:
- Teddy Mzirai
- Fadhili Rashid
- Rashidi Hassan Mzee
- Flora Lugongo

BBR is more than just a radio station; it's a vibrant community that celebrates the spirit of Tanzania. Join us on this exciting journey, where every day is a new adventure in sound and stories! πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ΅πŸ“» "

13/01/2026
Hatimaye mwimbaji wa Bongofleva, Dayna Nyange ameachia picha za harusi yake ambayo imefanyika hivi karibuni. Picha zaidi...
13/01/2026

Hatimaye mwimbaji wa Bongofleva, Dayna Nyange ameachia picha za harusi yake ambayo imefanyika hivi karibuni.

Picha zaidi kwenye comments.


Mwigizaji na mfanyabiashara, Faiza Ally amesema Diamond Platnumz hajaja duniani kutatua tu matatizo ya watu, hivyo anapo...
13/01/2026

Mwigizaji na mfanyabiashara, Faiza Ally amesema Diamond Platnumz hajaja duniani kutatua tu matatizo ya watu, hivyo anapotoa msaada usigeuzwe kuwa ni wajibu wake.

"Nawakumbusha tu Watanzania, Nasib Abdul (Diamond Platnumz) hajaja duniani kutatua matatizo ya watu. Na akifanya msaada ni kwa sababu amependa ametaka sio lazima, msijisahaulishe ana maisha yake haishi kwa ajili ya watu".

"Ninaamini asinge kuwa lolote asingekua na lawama yoyote. Naamini yoyote anae msogelea kwa namna yoyote anajua kuna chochote, kwa hiyo ni biashara zake , nguvu zake uwezo wake ndio umeleta wote kwa karibu".

"Sasa Baada ya kazi ikitokea chochote sio jukumu lake kutatua kila issue itakayo mpata alie fanya nae iwe kazi au chochote. Tuwafundishe watoto kuwa msaada sio haki, ukinyimwa usilalamike," - Faiza Ally.


ALICHOKISEMA ALIYEKUWA MKE WA MANARA RUSHAYNAAliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushayna amesema katika maisha yake hawapendi...
10/01/2026

ALICHOKISEMA ALIYEKUWA MKE WA MANARA RUSHAYNA

Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushayna amesema katika maisha yake hawapendi wanaume wasio na fedha!.

"Sipendi wanaume ambao hawana fedha, kwanza hawa wakaka siwapendi," amesema na kuongeza.

"Mimi nawapenda wababa, washachoka zao, hawana mambo mengi, wao ni kukupa tu fedha" amesema Rushayna.

AMEANDIKA JACKLINE WOLPER"Binafsi sioni k**a ni dhambi au usaliti kwa mwanamke aliye kwenye ndoa kuweka wazi hisia zake,...
10/01/2026

AMEANDIKA JACKLINE WOLPER

"Binafsi sioni k**a ni dhambi au usaliti kwa mwanamke aliye kwenye ndoa kuweka wazi hisia zake, maana ni bora ubebe mzigo kichwani kuliko kubeba kitu moyoni wanawake wamekaa kwenye ndoa k**a masanamu wanateseka kihisia na kimwili lakini wapo kimya tu, uo ni utumwa.
Binafsi natamani sana nipate mwanaume sio wakunioa hapana maana Mume ninaye ambaye yupo bize na biashara zake huko china. Sasa hapa nataka nipate mwanaume wakulala naye, anisumbue kitandani mpaka nitoe jasho. Huwezi amini mwandishi nimesahau kabisa halufu ya jasho la kitandani inanukiaje."

~Jacklin Wolper

WANAUME MPOO? KAZI KWENU

KUTOKA KWA MDAUKuna mwanamke alikuja getto kwangu kunitembelea, ikabidi nitoke nikamchukulie chochote kitu, mfukoni nili...
10/01/2026

KUTOKA KWA MDAU

Kuna mwanamke alikuja getto kwangu kunitembelea, ikabidi nitoke nikamchukulie chochote kitu, mfukoni nilikuwa na buku tu ambayo nilikuwa na mpango ndio nitakula mchana, kwa kuogopa aibu nikasema ngoja nimfatie soda ya miasita na biscuit za mia nne, basi nikatoka.
Ile nafika ndani nikampa, akaniuliza wewe mbona hauli? Nikamwambia umekuta ndio nimetoka kula kwa mama ntilie, bado nimeshiba, ila kiukweli nilikuwa na njaa sana.

Akaniambia naomba unisaidie kunifatia vocha hata ya buku nataka niongee na mama, daah moyoni nikajisemea hii sasa ndio balaa, nikatoka k**a naenda dukani halafu nikazunguka nikaenda kukaa mlango wa nyuma kimyaa, k**a baada ya dakika 3 nikarudi, nikamwambia vocha wameishiwa, hawako serious wauzaji wa mtaani hapa, nitakutumia baadae nikienda mjini wala usijali, hilo likapita.

Ikafika muda akawa anaondoka, nimemsindikiza, akaniambia "Ukweli humuweka mtu huru" hilo neno ni dogo lakini lina maana katika maisha.
Nikamwambia sijaelewa labda ufafanue, akasema siwezi kufafanua mi nishamaliza. Basi akaondoka,
Ile narudi home sina hili wala lile, nikaja kukuta 20k chini ya mto wa kulalia, sikuamini macho yangu, maana nilikuwa naenda kulala njaa kabisa, nilishukuru sana Mungu, nikamtafuta kwa simu kumuuliza akasema ni mimi nimeziacha maana nilikuona ulivyozunguka kukaa nyuma ya nyumba. Daah nilipata hisia fulani hivi, anyway to make a story short huyo mwanamke ndio mke wangu kwa sasa, na tunaishi vizuri tu, shetani tunazidi kumkemea kwa nguvu zote. πŸ˜€


WANAUME KINONDONI WANAONGOZA KUWA NA MABUSHAWanaume 127 kati ya 165 waliofanyiwa uchunguzi mkoani Dar es Salaam kuanzia ...
09/01/2026

WANAUME KINONDONI WANAONGOZA KUWA NA MABUSHA

Wanaume 127 kati ya 165 waliofanyiwa uchunguzi mkoani Dar es Salaam kuanzia Januari 05 hadi 08, mwaka huu, wamepatikana na ugonjwa wa mabusha.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Mohamed Mang'una amesema Wilaya ya Kinondoni imeongoza kwa ugonjwa huo.

Chanzo: Habari Leo


Muigizaji  ametangaza rasmi kuondoka kwenye redio ya Crown FM, ambako alikuwa sehemu ya kipindi cha Jirani. Kupitia ukur...
09/01/2026

Muigizaji ametangaza rasmi kuondoka kwenye redio ya Crown FM, ambako alikuwa sehemu ya kipindi cha Jirani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Riyama Ameandika....

"KINA SIE TUPO MAJUMBANI MWETU SASA … NA TUNA FANYA SHUGHULI NYENGINE ZA KIJAMII TULISHATOKA MUDA DAMWANI (TULI TII SHERIA BILA SHURUTI)πŸ‘πŸ™ŒπŸ”₯πŸ˜‚ VIPENZI VYANGU NA WALE WOTE MNAONILUIZA MBONA HATUKUSIKII CROWN πŸ‘‘ SHABIKI YANGU RAFIKI YANGU HII NDIO SABABU MIMI KUA SIONEKANI KAZINI MIMI NI MSHEHERESHAJI WA KIPINDI SIO MUANDISHI WALA SIO MTANGAZAJI KWA KIFUPI SINA TAAALUMA YA UWANDISHI WALA UTANGAJI NATAMANI KUSOMEA ILA KIUKWELI HILI NDONGA KWA SASA MWALIMU ATAONA K**A NAMDHARAU KWAKUA SITAKUA NAELEWA BICHWA LIMEJAA MAMBO BICHWA LINAWAKA MOTO UDUGU ASIKWAMBIE MTU ELIMU NA UMRI INATEGEMEA UNATAKA KUSOMEA NINI ??? VIPENZI VYANGU SASA TUKUTANE KTK MAJUKUMU YETU YA KΔ°LA SIKU NIMERUDI RASMI KUWAPA MLICHO KIKOSA KWA MUDA MREFU SANA KARIBU UPATE BURUDANI NA ELIMU ISIO UMIZA KARIBU UBURUDIKE KARIBU UELIMIKE SHABIKI YANGU WA MUDA WOTE .

NAPATIKANA KTK TAMTHILIA YA HUBA DSTV MASHABIKI ZANGU USIKOSE KUANGALIA HUBA KUANZIA J3–J5 SAA 3:00 USIKU MAISHA MAGIC BONGO CHANNEL 160 πŸ€²πŸ™πŸ½β€ - RIYAMA

Unalipi La Kumshauri Riyama?


02/01/2026




Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Phina, amewashangaza mashabiki wake baada ya kufunguka kuhusu safari yake ya kifahari mji...
02/01/2026

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Phina, amewashangaza mashabiki wake baada ya kufunguka kuhusu safari yake ya kifahari mjini Dubai mwezi Desemba 2025. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Phina ameeleza jinsi safari hiyo ilivyomfanya aelewe maana halisi ya neno "Vacation."

"Yani Msukuma nimetolewa ushamba! Get ready, nitakuwa nikishare experience yangu katika siku zinazokuja," aliandika Phina huku akicheka.
amewalenga mashabiki wake kuendelea kumfuatIlia kwenye mitandao yake ya kijamii k**a TikTok, Instagram, na Snapchat, ambapo ameahidi kushare picha, video, na vlogs zinazoonyesha kila hatua ya matembezi yake.

Kwa kauli yake ya "Mambo ni mengi," ni wazi kuna mengi ya kufurahisha yanayotarajiwa kutoka kwake.


31/12/2025

Timu ya Simba upande wa mashabiki wa Mipeko wilayani Mkuranga mkoa Pwani,wamefanikiwa kushinda Gori mbili kwa sifuri dhidi ya Timu ya Yanga upande wa mashabiki,mchezo uliochezwa katika kushereheka sikukuu ya Christmas.


Address

Namanga
Dar Es Salaam
14111

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Big Bros Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Big Bros Media:

Share