Big Bros Media

Big Bros Media ๐Ÿ“ป Welcome to Big Boss Radio, where the heartbeats of Tanzania unite! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŽต No worries! And the best part?
(1)

"Welcome to Big Boss Radio (BBR), your vibrant community radio station and online TV hub, right here in the heart of Dar es Salaam! ๐Ÿ“ป๐Ÿ“บ๐ŸŒ†

Since our inception in 2018, BBR has become the heartbeat of the youth, delivering a unique blend of news, information, sports, and lifestyle content that resonates with our dynamic audience. ๐ŸŽ™๏ธ๐Ÿ“ฐ๐Ÿ€๐ŸŒŸ

We're not just about music; we're your go-to source for staying

in the know. Our programming is enhanced with timely news reports, traffic updates, and weather forecasts, ensuring you're always ahead of the game. ๐Ÿš—๐ŸŒฆ๏ธ

Can't be with us in person? We beam our broadcast to Dar es Salaam and beyond via live online streaming, making it easy for you to tune in from anywhere on the planet. You can catch up on all your favorite shows with our free podcasts available on our website. ๐ŸŒ๐ŸŽง

Our lineup of shows is designed to entertain, inform, and inspire. Dive into the sounds of 'Asubuhi Yetu,' experience the thrill of 'Sports Center,' explore the local scene with 'Tash*titi za Mtaa,' and savor 'Quality Time' on air. ๐ŸŽถ๐ŸŽค๐ŸŽ‰

Meet the friendly faces behind the microphone:
- Teddy Mzirai
- Fadhili Rashid
- Rashidi Hassan Mzee
- Flora Lugongo

BBR is more than just a radio station; it's a vibrant community that celebrates the spirit of Tanzania. Join us on this exciting journey, where every day is a new adventure in sound and stories! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŽต๐Ÿ“ป "

DROO YA CAF: Klabu za soka za Tanzania Simba na Yanga zimepelekwa Botswana na Angola baada ya kufanyika droo ya michuano...
09/08/2025

DROO YA CAF: Klabu za soka za Tanzania Simba na Yanga zimepelekwa Botswana na Angola baada ya kufanyika droo ya michuano ya CAF ngazi ya klabu (CAF CL na CAF CC).

Simba SC itacheza na Gaborone United ya Botswana huku Yanga ikipangwa kucheza dhidi ya Wiliete Benguela ya Angola.

Klabu zote mbili zitaanzia ugenini na kumalizia nyumbani.

Ni droo ya hatua za awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC).



DROO YA CAF: Gwiji wa soka nchini Sunday Manara ni sehemu ya wanaochezesha droo ya michuano ya CAF ngazi ya klabu (CAF C...
09/08/2025

DROO YA CAF: Gwiji wa soka nchini Sunday Manara ni sehemu ya wanaochezesha droo ya michuano ya CAF ngazi ya klabu (CAF CL na CAF CC).

Ni droo ya hatua za awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) ambayo inafanyika leo katika studio za Azam TV, hapa Tabata Dar es Salaam

Tayari imeshafanyika droo ya Kombe la Shirikisho Afrika na sasa inafuatia droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizindua maabara kuu ya kisasa ya kilimo iliyop...
08/08/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizindua maabara kuu ya kisasa ya kilimo iliyopo Mtumba, jijini Dodoma, tarehe 08 Agosti, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu, akitembelea maabara kuu ya kisasa ya kilimo iliyopo Mtu...
08/08/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu, akitembelea maabara kuu ya kisasa ya kilimo iliyopo Mtumba, jijini Dodoma, tarehe 08 Agosti, 2025.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Willium Lukuvi akimpa pole Dkt. Fatma Mganga, Mjane w...
07/08/2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Willium Lukuvi akimpa pole Dkt. Fatma Mganga, Mjane wa Marehemu Spika Mstaafu Mheshimiwa Job Ndugai baada ya kufika nyumbani kwake Jijini Dodoma kwa ajili ya kuhani msiba huo.


Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax Nchi, amefika nyumbani kwa Spika Mstaafu Mare...
07/08/2025

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax Nchi, amefika nyumbani kwa Spika Mstaafu Marehemu Job Ndugai Jijini Dodoma na kumpa pole mjane wa marehemu Dkt. Fatma Mganga leo tarehe 7 Agosti, 2025.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo...
07/08/2025

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 7 Agosti 2025, amefika Mbezi, Jijini Dar es Salaam, kuhani msiba wa Marehemu Mzee Peter Partson Makakala, Baba Mzazi wa Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania, CGI Dkt. Anna Makakala.

Marehemu Mzee Makakala alifariki dunia tarehe 2 Agosti, 2025 katika Hospitali ya Mloganzila, ambako alikuwa akipatiwa matibabu, na alizikwa tarehe 5 Agosti 2025 katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.


Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa an...
06/08/2025

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla.

Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa nafasi ambayo ameendelea kuitetea kwa kuchukua fomu tena mwaka huu ambapo ameshinda kwenye kura za maoni.

Ndugai ambaye amezaliwa January 22,1960 alishinda kura za maoni za Ubunge wa Jimbo la Kongwa kwa kupata kura 5690.


Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Dk Samwel Shel...
05/08/2025

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Dk Samwel Shelukindo imeeleza kwamba, imepokea barua kutoka kwa Katibu Mkuu, Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka ikitaarifu kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyo nayo chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametengua uteuzi wa Hamphrey Polepole, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba na kumuondolea hadhi ya ubalozi.

Aidha, Rais Samia, kwa mamlaka aliyonayo chini ya sheria ya utumishi wa umma amemuachisha kazi Polepole kwa manufaa ya umma.

Kwa mujibu wa barua hiyo, uamuzi huo umeanza tangu Julai 16, 2025.


Polisi wa Uganda wameanzisha msako wa kumsaka mpiga picha wa Kenya ambaye alinasa picha ya Rais Museveni akiwa karibu bi...
03/08/2025

Polisi wa Uganda wameanzisha msako wa kumsaka mpiga picha wa Kenya ambaye alinasa picha ya Rais Museveni akiwa karibu bila kibali.


Total Energies CHAN 202465โ€™ Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1๏ธโƒฃ - 0๏ธโƒฃ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซBurkina Fasoโšฝ๏ธSopu
02/08/2025

Total Energies CHAN 2024

65โ€™ Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1๏ธโƒฃ - 0๏ธโƒฃ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซBurkina Faso
โšฝ๏ธSopu




Matukio mbalimbali katika picha kutoka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ambapo mechi ya kwanza ya ...
02/08/2025

Matukio mbalimbali katika picha kutoka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ambapo mechi ya kwanza ya Kundi B, kati ya Tanzania na Burkina Faso inaendelea, ikiwa ni ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024, leo Agosti 02, 2025.


Address

Namanga
Dar Es Salaam
14111

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Big Bros Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Big Bros Media:

Share