Jiponye afya herbs

Jiponye afya herbs Karibu tukusaidie kutatua changamoto za afya kama uzazi , Acid, Tezi dume , Nguvu za kiume , Nk

31/08/2025
*MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAJUI KUHUSU TATIZO LA KUSIMAMISHA JOGOO KWA ULEGEVU* Mambo Muhimu  Katika  Kuufanya *Uu...
31/08/2025

*MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAJUI KUHUSU TATIZO LA KUSIMAMISHA JOGOO KWA ULEGEVU*

Mambo Muhimu Katika Kuufanya *Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.*

Ili uume uweze kusimama imara k**a msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo.
1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.

2.Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.

3.Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.

4.Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.

Unatamani kuondokana na changamoto ya UUME KUWA legevu ??

Nipigie au whatsap 0742251310

*Miwasho ukeni (vaginal itching) husababishwa na mambo mbalimbali. Hapa chini ni baadhi ya *visababishi vya kawaida*:1. ...
30/08/2025

*Miwasho ukeni (vaginal itching) husababishwa na mambo mbalimbali. Hapa chini ni baadhi ya *visababishi vya kawaida*:

1. *Maambukizi ya fangasi (yeast infection)* – *Huambatana na uchafu mweupe mzito na miwasho mikali.*

2. *Maambukizi ya bakteria (bacterial vaginosis)* – Husababisha harufu mbaya (k**a samaki), uchafu mwepesi kijivu, na miwasho.

3. *Magonjwa ya zinaa (STIs)* – K**a kisonono, chlamydia, au trichomoniasis yanaweza kuleta miwasho na maumivu.

4. *Alerji/kuvimba kutokana na sabuni, detergents, pads, au perfumes* – Vitu hivi huweza kusababisha ukavu na muwasho.

5. *Ukavu wa uke* – Mara nyingi hutokea kwa wanawake waliokaribia au waliopo kwenye kipindi cha menopause.

6. Kujikuna au kushika sana ukeni kwa mikono michafu* – Huchangia kuingiza vimelea.

7. *Nguo za ndani zisizoruhusu hewa (tight/synthetic)* – Huchangia joto na unyevu unaochochea bakteria.

Ushauri:
*Ikiwa miwasho ni ya mara kwa mara, kali, au inaambatana na uchafu, harufu, au maumivu, ni muhimu kupata msaada na ndani ya siku 3 utaona mabadiriko makubwa

0742251310

*Madhara ya kisukari (diabetes) hutokea pale sukari inapokuwa juu kwa muda mrefu bila kudhibitiwa vizuri. Hali hii huath...
28/08/2025

*Madhara ya kisukari (diabetes) hutokea pale sukari inapokuwa juu kwa muda mrefu bila kudhibitiwa vizuri. Hali hii huathiri viungo mbalimbali vya mwili na kusababisha matatizo makubwa. Madhara yake ni pamoja na:*

*1. Madhara ya muda mfupi*

*Kizunguzungu na kuchanganyikiwa*

*Uchovu usioelezeka*

*Kiu na kukojoa mara kwa mara*

*Kuishiwa nguvu na kupoteza uzito ghafla*

*Hali ya dharura ya “ketoacidosis” kwa wagonjwa wa kisukari aina ya 1 (inaweza kusababisha kifo)*

*2. Madhara ya muda mrefu*

*Ikiwa kisukari hakitadhibitiwa, kinaweza kuathiri viungo vikuu vya mwili:*

*🧠 Ubongo na mishipa ya damu*

*Hatari kubwa ya kushambuliwa na kiharusi (stroke)*

*Shinikizo la damu na kuharibika kwa mishipa midogo*

👁️ Macho

*Ugonjwa wa kisukari wa retina (diabetic retinopathy) unaoweza kusababisha upofu*

*Maono kuwa hafifu au kupotea*

*💓 Moyo*

*Hatari kubwa ya kupata magonjwa ya moyo na mshtuko wa moyo*

🦵 Miguu na mishipa ya fahamu

Ganzi mikononi na miguuni (neuropathy)

Vidonda vya miguuni visivyopona, vinavyoweza kusababisha kukatwa kiungo

👂 Figo

Kushindwa kwa figo (diabetic nephropathy), ikihitaji dialysis au kupandikizwa figo

🍆 Kwa wanaume

Kupungua kwa nguvu za kiume (erectile dysfunction)

🦷 Kinywa

*Magonjwa ya fizi na kuoza kwa meno*

*OKOA MAISHA WASILIANA NASI*

*---UPEWE DOZI UPONE+255742251310*

*NJIA RAHISI YA KURUDISHA HEDHI ILIYOKOMA**VIAMBATA*  - Tangawizi  - Manjano  - Kitunguu saumu  - Karafuu *JINSI YA KUAN...
22/08/2025

*NJIA RAHISI YA KURUDISHA HEDHI ILIYOKOMA*

*VIAMBATA*
- Tangawizi
- Manjano
- Kitunguu saumu
- Karafuu

*JINSI YA KUANDAA*
Menya maganda ya viungo vyote, kisha viweke kwenye chombo safi, ongeza maji ya kawaida na acha vikae kwa siku mbili.

*NAMNA YA KUTUMIA*
Kunywa kikombe kimoja cha mchanganyiko huu asubuhi kabla ya kula chochote, na kingine usiku kabla ya kulala.

Haijalishi hedhi yako imekoma kwa muda gani, itaanza tena na kurejea katika hali ya kawaida.
Mchanganyiko huu pia unasaidia kuondoa maambukizi ukeni na kwenye mfuko wa uzazi.
Ikiwa ulifanya utoaji mimba na tangu hapo ukawa na maambukizi, hedhi hafifu au hedhi kusimama kabisa bila kuwa umefikia umri wa kukoma hedhi, au una maambukizi ya uke au mfuko wa uzazi — tumia tiba hii na utafurahia matokeo.

Kwa msaada zaidi nicheki 0742251310

“Mondia Whitei”—ndilo jina lake kisayansi,  hujulikana pia kwa jina la “Ginger white au African ginger”,wamasai wanaita ...
20/08/2025

“Mondia Whitei”—ndilo jina lake kisayansi, hujulikana pia kwa jina la “Ginger white au African ginger”,wamasai wanaita “Mkongoraa”, wengine huita “mpasheni pori”

Ni mti unaotambaa k**a ulivyo mmea wa pasheni, mizizi yake ni mitamu sana, ni mmea unaotumiwa sana katika jadi za kiafrika, matambiko na tiba za magonjwa—Leo nakupa faida zake chache kiafya.

MAJANI
Majani ya mkongora hutumika kutibu matatizo ya:-

🌿Hypertension,
🌿Stroke
🌿Anaemia,
🌿Asthma,
🌿Hurahisisha uchungu na kuondoa maumivu wakati wa kuzaa,
🌿Ni dawa nzuri ya usingizi
🌿Huondoa matatizo ya mfumo wa mkojo

MIZIZI
Mizizi ya huu mmea ni zaidi ya VI**RA! Hutumika kutibu matatizo yote ya uzazi kwa waanume na hata wanawake pia. Ukiitumia utapata faida hizi:-

✅Kuchelewa kumwaga manii wakati wa tendo
✅Huongeza wingi wa mbegu za kiume
✅Huondoa utasa kwa wanaume
✅Huleta hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake
✅Huondoa msongo wa mawazo
✅Huchochea mzunguko wa damu na kufanya uume usimame k**a msumari
✅Shinikizo la damu
✅Huleta hamu ya kula.
✅Kuondoa homa kwa watoto
✅Kuondoa maumivu ya meno
✅Huleta mikazo ya uterasi kabla ya ujauzito (hukinga mimba kuporomoka)
✅Kuboresha usagaji wa chakula
✅Hutibu shida ya akili

Unaweza kutafuna mizizi au kuchemsha, na pia unaweza kuikausha na kusaga kupata unga, ukatumia unga huo kunywa kwa maji moto chai supu maziwa au juisi.

K**a huna muda unaweza kupata vidonge vyake vilivyoandakiwa kitaalamu kabisa na ukanufiaka kwa faida zote tajwa hapo juu

Jiponye afya herbs

*TIBA ASILIA ZA TONSILS (MAWE YA TONSILS)*Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (has...
18/08/2025

*TIBA ASILIA ZA TONSILS (MAWE YA TONSILS)*

Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (hasa chakula, ute na bakteria) vinavyokusanyika kwenye mifuko midogo ya tonsils, hasa za upande wa koo (palatine tonsils).

*Aina 3 za tonsils:*
1. Palatine – upande wa koo (ndizo wengi huziita "tonsils")
2. Pharyngeal – nyuma ya koo
3. Lingual – chini ya ulimi

*Chanzo kikuu cha mawe ya tonsils:* Ni chakula, ute na bakteria wanaonaswa kwenye mifuko midogo ya tonsils.

*Suluhisho la Asili:*
Kwa kuwa bakteria na maambukizi ndio chanzo, tiba zenye uwezo wa kuua bakteria na kupunguza uvimbe husaidia.

1. *S**i ya tufaa au s**i yoyote yenye tindikali:*
—Changanya na maji na tumia kwa gargle mara mbili kwa siku. Husaidia kuyeyusha mawe madogo.

2. *Kitunguu saumu na tangawizi*
—Pondaponda na upate paste, tumia kusukutulia

3. *Vitunguu maji:*
—Vinatajwa kuwa na uwezo wa kuua bakteria. Tumia kwenye chakula au k**a juisi mbichi ndogo kwa siku moja.

4. *Maji ya vuguvugu, chumvi na Lamao*
—Chemsha maji yenye chumvi, kamlia kipande cha limao, na tumia kusukutulia

*Tahadhari:*
- Ikiwa una mawe makubwa au yanajirudia mara kwa mara, ni vyema kuwasiliana na daktari.
- Tumia dawa hizi za asili kwa tahadhari ikiwa una matatizo ya tumbo au mzio.

Msaada piga 0742251310

Ukitaka charger yako iwe inapeleka moto vizuri —fanya urafiki na hii mizizi ya mlonge, ukiweza changanya na mbegu za har...
18/08/2025

Ukitaka charger yako iwe inapeleka moto vizuri —fanya urafiki na hii mizizi ya mlonge, ukiweza changanya na mbegu za haradali🔥

Alafu habari nzuri ni kwamba tuna vidonge vyake sasa piga nikuambie jinsi ya kuvipata

0742251310

Jiponye afya herbs

Tradescantia spathacea —ndilo jina lake la kisayansi, maarufu k**a Purple Maguey, unaojulikana pia k**a Moses-in-the-Cra...
18/08/2025

Tradescantia spathacea —ndilo jina lake la kisayansi, maarufu k**a Purple Maguey, unaojulikana pia k**a Moses-in-the-Cradle au Oyster Plant, wengi huutumia k**a mapambo ya maua majumbani.

Huu si mmea wa mapambo tu bali pia una hazina ya mali asilia ya kiafya ambayo imekuwa ikitumika kwa vizazi katika tiba za asili, ikiwemo kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na kutibu maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)

Huu mmea ni mzuri kwa kulinda na kisafisha Ini, una uwezo mkubwa wa kutoa mafuta kwenye ini. K**a umeambiwa ini lako lina mafuta basi fanya hivi;

—Chukua majani ya huu mmea, yaoshe vizuri
—Chemsha kwenye maji
—Tumia kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni kabla ya mlo

Faida zingine zitakujia hapa kuwa pamoja
Jiponye afya herbs

*CHAINIZI INAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME...? 😳* Ama ni uzushi mwingine unaotishia afya yako bila sababu...?Mtaani kumekuwa na...
15/08/2025

*CHAINIZI INAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME...? 😳*

Ama ni uzushi mwingine unaotishia afya yako bila sababu...?

Mtaani kumekuwa na mijadala moto moto ya chini chini.....

“Eti ukila sana Chainizi (au Spinach), Unashuka nguvu za kiume...!” 😲

*Hebu ngoja kwanza..!*

JE... Kuna ukweli katika hili au ni hadithi za mitaani tu zinazoogopesha wanaume kupika mboga.?🤔

Uzuri Mimi ni mtaalamu wa Lishe *"Nutritionist"* sasa wacha niichambue Chainizi kitaalamu...👇

*Oxalic Acid kwenye Chainizi, Inashusha nguvu..?*

↳ Ni kweli, Chainizi ina oxalic acid, Asidi inayoweza kuzuia ufyonzwaji wa madini k**a, Kalsiamu, Zinki na Magnesiamu mwilini...

Haya madini ni muhimu sana kwa afya ya uzazi na homoni za Mwanaume...

Lakini... kiwango hicho cha oxalic kwenye Chainizi ni cha chini, na huwezi kupungukiwa kwa kula Chainizi pekee— Hasa k**a unakula mlo kamili.

*Phytoestrogens,Homoni za k**e kwenye Chainizi..?*

↳ Ndiyo, Chainizi ina phytoestrogens, Lakini kiwango ni kidogo Mno...

Hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba unaweza kupata matokeo ya *"kupoteza nguvu"* kwa kula Chainizi...

Kwa lugha nyingine, huna sababu ya kuogopa mboga hii kwa sababu ya maneno ya mtaani...

*Nitrati za Spinach, Adui au Rafiki wa Mzunguko wa Damu..?*

↳ Hapa ndipo ukweli unapokuja kinyume kabisa na madai...

Chainizi ina nitrates, ambazo huongeza upana wa mishipa ya damu na kusaidia mzunguko mzuri wa damu,

Jambo la msingi kabisa katika kudumisha nguvu za kiume, Kwa kifupi, inaweza hata kuwa msaada badala ya tatizo ...!

*NB:* Chainizi ni chanzo bora cha virutubisho k**a Iron, Folate, Vitamin C na K, vyote hivi ni msaada mkubwa kwa afya ya mwanaume — *Si adui..!*

Jiponye afya herbs

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗢𝗡𝗗𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗢 (𝗨𝗹𝗰𝗲𝗿𝘀)👇NA GERD🍀 Kichefu chefu hasa Wakati wa kula au baada ya kula🍀 Kupoteza Hamu ya kula ...
05/08/2025

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗢𝗡𝗗𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗢 (𝗨𝗹𝗰𝗲𝗿𝘀)👇NA GERD
🍀 Kichefu chefu hasa Wakati wa kula au baada ya kula
🍀 Kupoteza Hamu ya kula na kubagua Vyakula
🍀 Tumbo Kuwaka Moto
🍀 Tumbo Kuunguruma
🍀 Gesi nyingi Tumboni
🍀 Kiungulia Mara Kwa Mara
🍀 Tumbo Kuuma Ukichelewa kula au baada ya kula na hasa ukila vyakula vya Mafuta, kukaanga na fast food zote au vyenye viungo sana
🍀 Kucheua sana hasa vitu vichachu au Vichungu
🍀 Kukaukiwa sana maji kwenye Koo
🍀 Kuishiwa Nguvu Unapokosana na vitu Fulani
🍀 Kupoteza fahamu
🍀 Kuumwa Kichwa mara kwa mara
🍀 Macho kuuma na kupoteza uono
🍀 Vichomi kifuani na kuumwa kifua
🍀 Kubanwa pumzi
🍀 Kukosa choo na kupata choo kigumu (Constipation)
🍀 Kumwa Mgongo Upande wa Kushoto na Mbavu
🍀 Moyo Kulipuka, Kuchoma, na Mapigo ya Moyo kwenda Mbio
🍀 Kupata Hofu isiyo na Sababu Yoyote hasa Usiku
🍀 Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa na Kushindwa Kuhimili vizuri Tendo kwa Jinsia Zote

Tupigie au whatsap 0742251310

KUMBUKA DALILI ZA GERD NA VIDONDA VYA TUMBO NYINGI ZINAFANANA

Address

Makumbusho
Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jiponye afya herbs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jiponye afya herbs:

Share