Mtawala Radio

  • Home
  • Mtawala Radio

Mtawala Radio Mtawala Radio "duniani k**a mbinguni"
Online Radio

Ukiwa kazi hakikisha Anyeshi Kashata haikosekani Mezani kwako maana inachangamsha Ubongo.  •Endelea Kusikiliza Mtawala R...
25/07/2025

Ukiwa kazi hakikisha Anyeshi Kashata haikosekani Mezani kwako maana inachangamsha Ubongo.

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio Kupitia www.mtawalaradio.online au kupitia App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio Popote ulipo Duniani.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"

Mtawala Radio Station....
25/07/2025

Mtawala Radio Station....

  26 July.........DIRA MEZANI "Uelekeo Wetu" on Mtawala Radio. •Every Saturday From 12:00 - 14:00 EAT Tune on www.mtawal...
25/07/2025

26 July.........
DIRA MEZANI "Uelekeo Wetu" on Mtawala Radio.

Every Saturday From 12:00 - 14:00 EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

HOST: Pastor Mangapi

GUEST: MINISTER ISAYA DUNIA (From U.K.C) .isaya

MADA: UKUAJI WA HUDUMA MAKANISANI.....

SIDE B - Apostle Kelvin Weber (Arusha)

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

📌 Kwa MAHITAJI ya Apartment Nzuri ni Villa Home Appointment DODOMA. For Booking 0767 097 770

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




**ambinguni


 . 26July....BONGO GOSPEL "Ibada Kwa Ulimwengu" On Mtawala Radio.•Every saturday From 8:00 - 10:00Am EAT Tune on www.mta...
25/07/2025

. 26July....
BONGO GOSPEL "Ibada Kwa Ulimwengu" On Mtawala Radio.

Every saturday From 8:00 - 10:00Am EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

MADA: "JINA LA YESU".

Host: Adv. Robin daywell

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000.

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

📌Dodoma: Fika Solomon Village Lodge and Bar Ujione Fursa na Sehemu nzuri kwa Mapumziko. For Booking 0693 84 95 56.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"






  25,July.....WISDOM CORNER "Kisima Cha Maarifa" On Mtawala Radio.•Mon - Fri 19:00 - 21:00 EAT Tune on www.mtawalaradio....
25/07/2025

25,July.....
WISDOM CORNER "Kisima Cha Maarifa" On Mtawala Radio.

Mon - Fri 19:00 - 21:00 EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

MADA: “FAHAMU FAIDA NA UMUHIMU WA KUISHI NA WATU VIZURI”

HOST: Malkia Anyeshi

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000.

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

📌DODOMA: Kwa Mapunziko Nje ya Mji Karibu Sana Gustina Zuzu Village 0757 48 42 34

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"






ULIYEANDIKA HII MUNGU ANAKUONA......•Anyway Endelea Kusikiliza Mtawala Radio Kupitia www.mtawalaradio.online au kupitia ...
25/07/2025

ULIYEANDIKA HII MUNGU ANAKUONA......

Anyway Endelea Kusikiliza Mtawala Radio Kupitia www.mtawalaradio.online au kupitia App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio Popote ulipo Duniani.

Follow us on Instagram

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"

Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan  Anawatakieni Jummah Mubarak....• .hmwinyi   ...
25/07/2025

Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan Anawatakieni Jummah Mubarak....

.hmwinyi .tanzania

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"



Ewe Mwanamke Hii ni Habari Njema Kwako, Kutoka  Grace Tabernacle Church Tanzania, Chini ya Ulezi wa Mama Mchungaji Lilia...
25/07/2025

Ewe Mwanamke Hii ni Habari Njema Kwako, Kutoka Grace Tabernacle Church Tanzania, Chini ya Ulezi wa Mama Mchungaji Lilian Abdulmalik.

Wanakuletea kongamano kubwa la kimataifa la mwaka 2025.

Hapa ni Rejesha Taji; Mamlaka ya Kumponda Nyoka Kichwa. K**a Isemavyo "Mwanzo 3:15".

Mnenaji Mkuu ni Mtumishi wa Mungu, Irene Mbowe anayefahamika k**a Kungwi Lao, Pia Mchungaji Juliana Kusaga na mwenyeji Pastor Lilian Abdulmalik.

Njoo upokee Neema na Hekima za Mbinguni ili uweze kusimama kwenye nafasi yako na:-

✅Kurejesha Mamlaka yako k**a Mwanamke
✅Kutunza ndoa yako.
✅kuponya ndoa yako.
✅Kutambua kusudi lako uliloitiwa na Mungu.
✅Kutimiza hatima yako hapa Duniani.

Ni Tarehe 26 mwezi Huu wa 7 mwaka 2025, kuanzia saa 4 Asubuhi hadi saa 11 jioni.

Mahali ni Kanisa la Grace Tabernacle Church Tanzania, Mbezi Beach kwa Zena, Mtaa wa Rungwe, mkabala na Barabara ya Mwai Kibaki.

Kwa mawasiliano zaidi, Piga Simu Nambari
0755 81 15 57.

Ni siku moja tu iliyojaa Neema, Uvuvio na Kufunguliwa.

HAKUNA KIINGILIO.

Usikose! Usikiapo tangazo hili mtaarifu na Mwenzio.

Sasa Ni Zamu yako Ewe Mwanamke wa Tanzania, Africa Mashariki na Dunia nzima. Vinywaji na Chakula vitakuwepo.
•......Nyote Mnakaribishwa.......

WAZIRI MKUU AZURU CHUO KIKUU CHA KILIMO BELARUS.•✍🏿Na Dr. Mtawala. •Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametembelea ...
25/07/2025

WAZIRI MKUU AZURU CHUO KIKUU CHA KILIMO BELARUS.

✍🏿Na Dr. Mtawala.

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametembelea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Belarus (Belarusian State Agrarian Technical University - BSATU) na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chuo hicho wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Bw. Romaniuk Nikolai.
• 
Mazungumzo hayo yamefanyika Julai 23, 2025 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Chuo hicho Jijini Minsk ambapo masuala ya ushirikiano baina ya Vyuo Vikuu vya Tanzania vikiwemo vya Sokoine na DIT yalijadiliwa.

Waziri Mkuu aliwaeleza Viongozi wa Chuo Kikuu hicho jinsi Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilivyoboresha Sera ya Elimu ambayo inataka Elimu ya Amali na stadi za Ufundi ziwe sehemu muhimu katika mitaala ya mafunzo yanayotolewa Nchini kote.
• 
Aliwaeleza viongozi hao juu ya hati ya makubaliano kwenye Sekta ya Elimu iliyosainiwa Julai 23, 2025 mbele ya Waziri Mkuu wa Belarus na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kuangalia namna ya kuandaa ziara za mafunzo, kubadilishana Wanafunzi na wahadhiri ili kujengeana uwezo kwa pande zote mbili.

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BSATU, Bw. Romaniuk Nikolai alimhakikishia Waziri Mkuu kwamba Chuo hicho kipo tayari kuanza majadiliano na Viongozi kutoka Wizara ya Elimu ambao wamefuatana na Mheshimiwa Waziri Mkuu ili waone ni kwa namna gani wanaweza kuanza kutekeleza mambo yaliyojadiliwa.

Alimweleza Waziri Mkuu kwamba Chuo Kikuu hicho ambacho kilianzishwa mwaka 1954, kinaongoza Nchini humo kwa kutoa mafunzo kwenye fani za Uhandisi, Uchumi na Utawala na kinashirikiana na Taasisi na Mashirika rafiki 39 (affiliate organisations) yanayojihusisha na masuala ya Kilimo na uundaji wa Mitambo ya Kilimo na zana za kisasa.

Alisema wanalenga zaidi fani za kitaalamu kwenye ufugaji wa wanyama na mitambo ya kilimo (animal husbandry and agricultural mechanisation) ambapo asilimia 70 ya mafunzo yanayotolewa chuoni hapo, hufanyika kwa vitendo (practicals) na kisha Mwanafunzi anapewa wiki 28 za kwenda nje ya chuo kufanya mafunzo kwa vitendo (internship).





✍🏿Na wa Mtawala Radio.

CHAI YA MANENO ✍🏿Na Dr. Mtawala.  ☆☆☆☆☆☆☆☆☆"Maisha Magumu Sana kwa Mtu Aliyekata Tamaa Akilini."Maisha hayawezi kuwa mep...
25/07/2025

CHAI YA MANENO ✍🏿Na Dr. Mtawala.
☆☆☆☆☆☆☆☆☆
"Maisha Magumu Sana kwa Mtu Aliyekata Tamaa Akilini."

Maisha hayawezi kuwa mepesi, ila unaweza kuwa na akili imara ya kuyamudu.”

Its A New Day. Nendeni Kazini.

SAMIA ATIKI MEI MOSI.•✍🏿Na Dr. Mtawala. •Mhe, Rais Samia Suluhu Hassan  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atimiza ...
24/07/2025

SAMIA ATIKI MEI MOSI.

✍🏿Na Dr. Mtawala.

Mhe, Rais Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atimiza Ahadi ya Mei Mosi.

Rais Samia aliahidi kupandisha Mshahara kima cha Chini cha Mshahara wa Watumishi wa Umma kuwa asilimia 35.1.

Uamuzi huo ulitangazwa Mei 1, 2025 kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi huko Mkoani Singida Nchini Tanzania.

Upatikanaji wa nyongeza hiyo tayari Kuanzia Julai 2025, Mshahara mdogo kwa watumishi wa Umma umeongezeka hadi Sh500,000.

Mafao ya wengine. Ngazi nyingine za Mishahara pia zitaongezwa kulingana na bajeti ya Serikali.



tanzania

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Instagram | Facebook | X

✍🏿Na wa Mtawala Radio

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"





Address


Telephone

+255758555000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtawala Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtawala Radio:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share