Mtawala Radio

Mtawala Radio Mtawala Radio "duniani k**a mbinguni"
Online Radio

06/06/2026

MTAWALA ESTATE CENTRE "Ardhi ni uwekezaji"

TIME:19:00 –20:00 EAT -Fri.

Tune on www.mtawalaradio.online
au kupitia App’s za Online Radio, tafuta Mtawala Radio.

Topic: "Dira ya Uwekezaji wa ardhi na majengo"

Host:




06/06/2026

JUNE.08/2026
!!!

"Kutoka MORNING CENTER Mpaka BIG UP SHOW"

TIME:14:00 - 16:00 EAT - Mon - Fri.
Tune on www.mtawalaradio.online au kupitia App’s za Online Radio Search Mtawala Radio.

Topic:”Kwanini JIFUNZE KUJIFUNZA?"

HOST'S: | Mr. Leo Leo &

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000.

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

📌TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU.

Mtawala Radio “duniani k**a mbinguni”




06/06/2026

JUNI.08/202
!!!

"Kutoka WISDOM CORNER Mpaka POWER POINT"

TIME: 16:00 - 19:00 EAT - Mon - Thurs.
Tune on www.mtawalaradio.online au kupitia App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

MADA: "Kwanini JIFUNZE KUJIFUNZA?"

Host's: &

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000.

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

📌 TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




06/06/2026

JUNI.08/2026
!!!

"Kutoka POWER POINT & SPORTS KIJIJI Mpaka WISDOM CORNER"

TIME: 19:00– 21:00 EAT - MON- WED.
Tune on www.mtawalaradio.online
au kupitia App’s za Online Radio, tafuta Mtawala Radio.

MADA: "Kwanini JIFUNZE KUJIFUNZA?"

Host's: & Modesta Mapunda

📞 Changia mada hii kupitia WhatsApp / SMS
+255 758 555 000

Ujumbe wako utasomwa Live Kupitia Mtawala Radio.

📲 Follow us: Instagram | Facebook | X

📌TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU.

Mtawala Radio “duniani k**a mbinguni"




06/06/2026

WISDOM CORNER "kisima cha maarifa"

"Tofauti inakuja Kupenda nachokifanya"

TIME: 19:00– 21:00 EAT - MON- WED.
Tune on www.mtawalaradio.online
au kupitia App’s za Online Radio, tafuta Mtawala Radio.

MADA: "Ni mambo gani yanayomfanya mtu aweze kukaa na kufanikiwa sokoni?"

Guest: Gust : HILARY SAANANE

Host's: Ayo Phd & Gabriel Deogratius





06/06/2026

TOTO STARS FESTIVAL2026!!!!!!!!

HII NI ZAIDI YA FESTIVAL, NAFASI NA SIKU YA MZAZI/MLEZI KUONA KIPAJI CHA MTOTO WAKO

Likizo hii ya Juni, watoto wote wenye umri wa miaka 1–17 wanakaribishwa kwenye festival ya kipekee yenye burudani, vipaji na furaha isiyo na mwisho ,Jukwaa hili ni fursa kwa Mzazi/mlezi kuona na kukuza kipaji cha Mtoto wako Ni Ndani Ya Viwanja Vya Bahari Beach Dar es salaam Tanzania.

Face Painting
Jumping Castle
VR, AI & Robots
Karaoke
Dancing
Fashion Show
Ball Games
Painting
Swimming

…na mengi zaidi!

Saturday, 20th June 2026

Bellavista Park, Bahari Beach
Kiingilio: TZS 40,000

Age 1–3 FREE
📞 Booking & Inquiries: 0765 666 001
Mtoto wako ni STAR… mpe nafasi ya kung’aa!





BALOZI WETU WA KWANZA MAZOEZINI  Hakuna kustaafu kwenye Afya, Afya ni uwekezaji ,Afya Ndo Mtaji wa kwanza. Akiungana na ...
06/06/2026

BALOZI WETU WA KWANZA MAZOEZINI

Hakuna kustaafu kwenye Afya, Afya ni uwekezaji ,Afya Ndo Mtaji wa kwanza.

Akiungana na dunia katika maadhimisho ya wiki ya usafiri wa baiskeli na faida zake ,Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameendelea kuonesha mfano kwa kutumia baiskeli kufanya mazoezi ya asubuhi

Mstaafu Majaliwa ameonekana mapema leo asubuhi akiendesha baiskeli katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es salaam, ikiwa ni sehemu ya utaratibu wake wa kila siku wa kujenga afya na kuimarisha mwili.

Bima Yetu ni Mazoezi ,Kwa mujibu wa Wataalamu wa Afya na Wadau wa Mazoezi, wanatujuza kuwa kuendesha baiskeli ni aina ya mazoezi ya mwili ambayo husaidia kuimarisha moyo , mifupa , mwili kuwa strong na mapafu, kuboresha mzunguko wa damu pale unapokuwa unanyonga pedeli .

Asante Balozi Wetu kwa hamasa hii kubwa ya kulinda Afya zetu kwa kuheshimu mazoezi






06/06/2026

UKITAKA KUFANIKISHA MAHUSIANO YAKO YAWE IMARA DAIMA, CHUKUA HII "CODE" NA UTAKUJA NA USHUHUDA.

THIS IS KINGDOM PLATE "Ufalme Uko Hapa......✍️

06/06/2026

TUSIPUUZE WALA KUKANYAGA HAKI ZA WANANCHI

Na Mtawala Edison.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia utoaji wa haki kwa wananchi na kuimarisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma ili kuhakikisha huduma za Serikali zinatolewa kwa ufanisi, kwa wakati na kwa kuzingatia maslahi ya wananchi.

Waziri Mkuu ameseyasema hayo katika Mkutano wa hadhara uliyofanyika Katika Viwanja vya Isimani Tarafani Mkoani Iringa.

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, tunasikika Duniani kote.

Follow us on Instagram

Call&WhatsApp +255 758 555 000

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"





Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758555000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtawala Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtawala Radio:

Share