Mtawala Radio

Mtawala Radio Mtawala Radio "duniani k**a mbinguni"
Online Radio

RAIS SAMIA APEWA TUZO YA HESHIMA. •✍🏾Na Dr. Mtawala. •Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt Samia Suluhu Hass...
31/05/2025

RAIS SAMIA APEWA TUZO YA HESHIMA.

✍🏾Na Dr. Mtawala.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt Samia Suluhu Hassan Amepewa Tuzo ya Heshima Mei 31,2025.

Hafla hiyo Imefanyika Jijini Dodoma Nchini Tanzania. Tuzo hiyo ya Heshima Imetolewa na Spika Wa Bunge la Tanzania Mhe, Tulia Ackson akiwawakilisha Watanzania Wote.

Mhe, Rais Samia amepewa Tuzo hiyo kwa kuthamini na kutambua mchango wake wa Kuleta Maendeleo Kijamii, Kiuchumi na Kidiplomasia Nchini.

Viongozi mbalimbali wameshiriki Hafla hiyo akiwemo Rais wa Zanzibar Mhe, Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

hmwinyi

tanzania ackson

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Call | WhatsApp | SMS 0758 555 000.

Instagram | Facebook | X

✍🏿na wa Mtawala Radio.

📌TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU 0
+255 758 555 000.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"



Ahsante sana Kwa Kuja  •Kupitia kipindi cha Wanawake kiitwacho Mama Dunia.  Tulipata Wasaa wa Kuwa Na Mgeni ambaye ni mt...
31/05/2025

Ahsante sana Kwa Kuja

Kupitia kipindi cha Wanawake kiitwacho Mama Dunia. Tulipata Wasaa wa Kuwa Na Mgeni ambaye ni mtengenezaji wa Bidhaa za Ngozi za Asili Bi. Jamila.

Kipindi hiki kinakujia Siku za Jumamosi kuanzia Saa nane mchana hadi Saa Kumi Jioni kwa Saa Za Afrika Mashariki (14:00 - 16:00EAT). Na Mtangazaji wako ni

Tusikilize kupitia www.mtawalaradio.online au kupitia App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio Popote ulipo Duniani.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"

MIAKA 6 YA HAPPYCHARITY MINISTRIES. •✍🏿Na Dr. Mtawala. •Happycharity Ministries ni Huduma yenye misingi ya Imani, lengo ...
31/05/2025

MIAKA 6 YA HAPPYCHARITY MINISTRIES.

✍🏿Na Dr. Mtawala.

Happycharity Ministries ni Huduma yenye misingi ya Imani, lengo la Huduma hiyo ni kugusa maisha ya Watu wenye Mahitaji ikiwa ni pamoja na kuwapa Huduma za Kiroho, Mahitaji muhimu k**a Vile Chakula, Mavazi n.k.

Pamoja na Hayo Huduma Hii inajikita zaidi kusadia Watoto haswa wale wanaoishi katika Mazingira hatarishi.

Taasisi hii isiyo ya Kiserikali ilianzishwa na Nabii Happy Rebman mnamo mwaka 2019 Nchini Tanzania. Nabii huyo alibahatika kuwa na Watu wapatao watano (5) wanaosimama naye kuhakikisha Wanasonga mbele.

Timu hiyo imekuwa ikishirikia na Wadau mbalimbali Wakiwemo Viongozi wa Kiroho, Huduma za Kiroho, Makanisa, Vituo Vya Redio, Vituo vya Watoto wenye Mahitaji pamoja na Taasisi mbalimbali.

Nabii Happy ametoa Shukrani kwa Wadau mbalimbali pamoja na Kushukuru Viongozi wa Dini na Serikali kwa Kuendelea kuwapa Ushirikiano.

Aidha amewaomba Wadau kuendelea kujitokeza na kuwaunga Mkono katika Safari hii ya kuwatunza na Kuwafikia Watu wote Wenye Mahitaji maalumu haswa Watoto.

Kwa Mawasiliano zaidi, Wasiliana nao kupitia ukrsa wao rasmi wa Instagram au kupitia Simu namba +255626749178

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Call | WhatsApp | SMS 0758 555 000.

Instagram | Facebook | X

✍🏿na wa Mtawala Radio.

📌TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU 0
+255 758 555 000.

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




HAYA SASA.....•HII NI HABARI NJEMA KWAKO EWE MWANAMKE.•HUDUMA YA UWEZO WA MUNGU NDANI YA MWANAMKE.•WANAKULETEA KONGAMANO...
31/05/2025

HAYA SASA.....

HII NI HABARI NJEMA KWAKO EWE MWANAMKE.

HUDUMA YA UWEZO WA MUNGU NDANI YA MWANAMKE.

WANAKULETEA KONGAMANO KUBWA LA MAOMBI. Kwa Pamoja Tunasema Mwanamke Inuka Tena!.

KONGAMANO HILO LITAANZA TAREHE 26 HADI 28 JUNI, MWAKA 2025, SAA 3 ASUBUHI HADI 12 JIONI. NI SIKU 3 ZA KUKUINUA TENA EWE MWANAMKE.

MAHALI: SUMA JKT, MWENGE - UKUMBI WA UHURU, DAR ES SALAAM.

TUTAHUDUMIWA NA WATUMISHI WA MUNGU: MCH BROWN KYANDO | MCH FLORA KAGUO | MCH MWIPILE ISMAIL NA MTUMISHI WA MUNGU BOAZ DANKEN ATATUPITISHA KATIKA SIFA NA KUABUDU KATIKA ROHO NA KWELI.

NA MWENYEJI WETU NI MWL. BETTY ZANNY!

WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBARI 0715 60 44 77 AU KUPITIA UKRASA WETU WA INSTAGRAM

USIPANGE KUKOSA, NA MUNGU ANA MAJIBU YAKO.

HAKUNA KIINGILIO NI BUREE KABISAA....NYOTE MNAKARIBISHWA....

"MWANAMKE, INUKA TENA"

KID'S CORNER  On Mtawala Radio.•Every Saturday From 16:00 - 17:00EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online ...
31/05/2025

KID'S CORNER On Mtawala Radio.

Every Saturday From 16:00 - 17:00EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

Host: Lameck E. Bagumya

Guest: Beatus Rwekaza


MADA KUU: Malezi ya mtoto kipindi Cha likizo .

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




**ambinguni

MAMA DUNIA "Kesho Imara" On Mtawala Radio.•Every Saturday  From 14:00 - 16:00 EAT tune on www.mtawalaradio.online Au kup...
31/05/2025

MAMA DUNIA "Kesho Imara" On Mtawala Radio.

Every Saturday From 14:00 - 16:00 EAT tune on www.mtawalaradio.online Au kupitia App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio.

Host: Mc Angel.


UBUNIFU ZONE:-

MADA. "Kazi Ya Mikono Ni Fursa".

Guest: Jamila Hamad Ally







Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




**ambinguni


DIRA MEZANI "On Mtawala Radio.....•Every Saturday From 12:00 - 14:00 EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Onl...
31/05/2025

DIRA MEZANI "On Mtawala Radio.....

Every Saturday From 12:00 - 14:00 EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

*HOST*: Pastor Mangapi

*MADA*: HOW TO MAINTAIN YOUR FOCUS___🏹



*SIDE B* - TRUSTGOD SIMBILA___

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




**ambinguni


BONGO GOSPEL ''Ibada Kwa Ulimwenguni'' On Mtawala Radio.•Every saturday From 08:00 - 10:00 EAT Tune on www.mtawalaradio....
30/05/2025

BONGO GOSPEL ''Ibada Kwa Ulimwenguni'' On Mtawala Radio.

Every saturday From 08:00 - 10:00 EAT Tune on www.mtawalaradio.online na App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio.

Host: Robin Daywell

MADA: EMOTIONAL INTELLIGENCE

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"

📍 Kwa huduma za mc karibu@kingdomeventhosts utapata mc wa k**e au wa kiume




**ambinguni


HAPPY BIRTHDAY KWAKO MADAM HR.•Uongozi wa Mtawala Radio Tunakutakia Kheri na Baraka Nyingi. Uongozi wako Umetukuka. MUNG...
30/05/2025

HAPPY BIRTHDAY KWAKO MADAM HR.

Uongozi wa Mtawala Radio Tunakutakia Kheri na Baraka Nyingi. Uongozi wako Umetukuka. MUNGU AMEKUAMINI.

Happy Birthday kwako

"Ishi, Tuishi"

HAYA SASA.....•HII NI HABARI NJEMA KWAKO EWE MWANAMKE.•HUDUMA YA UWEZO WA MUNGU NDANI YA MWANAMKE.•WANAKULETEA KONGAMANO...
30/05/2025

HAYA SASA.....

HII NI HABARI NJEMA KWAKO EWE MWANAMKE.

HUDUMA YA UWEZO WA MUNGU NDANI YA MWANAMKE.

WANAKULETEA KONGAMANO KUBWA LA MAOMBI. Kwa Pamoja Tunasema Mwanamke Inuka Tena!.

KONGAMANO HILO LITAANZA TAREHE 26 HADI 28 JUNI, MWAKA 2025, SAA 3 ASUBUHI HADI 12 JIONI. NI SIKU 3 ZA KUKUINUA TENA EWE MWANAMKE.

MAHALI: SUMA JKT, MWENGE - UKUMBI WA UHURU, DAR ES SALAAM.

TUTAHUDUMIWA NA WATUMISHI WA MUNGU: MCH BROWN KYANDO | MCH FLORA KAGUO | MCH MWIPILE ISMAIL NA MTUMISHI WA MUNGU BOAZ DANICK ATATUPITISHA KATIKA SIFA NA KUABUDU KATIKA ROHO NA KWELI.

NA MWENYEJI WETU NI MWL. BETTY ZANNY!

WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBARI:-
0715 60 44 77 AU KUPITIA UKRASA WETU WA INSTAGRAM

USIPANGE KUKOSA, NA MUNGU ANA MAJIBU YAKO.

HAKUNA KIINGILIO NI BUREE KABISAA....NYOTE MNAKARIBISHWA....

•••••••••••••"MWANAMKE, INUKA TENA"••••••••••••••

MAPAMBANO DHIDI YA MATAMSHI YA CHUKI MTANDAONI.•✍️ Na Faith Kelvin.•Kituo cha Kikanda cha Levy Mwanawasa cha Demokrasia ...
30/05/2025

MAPAMBANO DHIDI YA MATAMSHI YA CHUKI MTANDAONI.

✍️ Na Faith Kelvin.

Kituo cha Kikanda cha Levy Mwanawasa cha Demokrasia na Utawala Bora (ICGLR) kiliandaa warsha ya kitaalamu ya kikanda ili kuchambua Changamoto za Matamshi ya Chuki Mitandaoni yanayolenga Jinsia.

Warsha hii ililenga kutoa Maarifa na Mbinu Madhubuti kwa Ajili ya Kutambua, Kufuatilia, na Kupunguza Athari za Matamshi haya, huku ikihusisha Wataalamu Mbalimbali kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu.

Matamshi ya chuki yanayolenga Jinsia yameendelea kuwa Tishio kwa Mshik**ano wa Kijamii, Usawa wa Kijinsia na Usalama wa Wanawake na Wasichana katika Majukwaa ya Kidijitali.

Ufuatiliaji wa kina uliojadiliwa katika Warsha umeonyesha Jinsi Lugha zenye Mwelekeo wa Kibaguzi na Chuki zinavyoweza kuenea haraka na kuathiri Jamii kwa Upana wake. Hili linahitaji Mikakati Madhubuti ya Kisheria, Kijamii, na Kiteknolojia ili kukabiliana nalo kwa Ufanisi.

Kupitia Ushirikiano wa Kitaifa na Kikanda, pamoja na ukusanyaji wa Misamiati ya Matamshi ya Chuki kutoka Nchi Mbalimbali, Warsha hii imetoa Msingi wa Kuimarisha Juhudi za Pamoja katika Kujenga Mazingira Salama, Jumuishi, na yenye Haki sawa kwa Wote, Mtandaoni na hata katika Maisha ya kila siku. Hii ni Hatua Muhimu kuelekea Kutokomeza kabisa Matamshi ya Chuki yanayolenga Jinsia katika Ukanda huu.




Endelea kusikilizia Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Call 📞 | 📲 | WhatsApp | SMS 📩
+255 758 555 000

Instagram | Facebook | X

✍🏿Na Faith K. Njige Wa | Mhariri Dr. Mtawala wa

TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO +255 758 555 000






**ambinguni

MAKUMBUSHO SANAA ZA AFRIKA KUZINDULIWA MAREKANI.•✍️Na Faith Kelvin.•Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Tanzan...
30/05/2025

MAKUMBUSHO SANAA ZA AFRIKA KUZINDULIWA MAREKANI.

✍️Na Faith Kelvin.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Tanzania, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amefanya Ziara katika Jumba la Makumbusho ya Sanaa la Metropolitan Jijini New York Marekani, kwa lengo la kunadi kazi za Sanaa za Tanzania katika Makumbusho hayo.

Mhe. Prof. Kabudi amefanya Ziara hiyo Mei 28, 2025, ambapo alipata Nafasi ya Kutazama Kazi za Sanaa kutoka Afrika ambazo Zipo katika Makumbusho hayo, ikiwemo Filamu Fupi inayoelezea Usanifu wa Mji wa Kilwa Kisiwani iliyoandaliwa kati ya Makumbusho ya Metropolitan na Wadau kutoka Tanzania.

Waziri Kabudi yupo Nchini humo kumuwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Ufunguzi Rasmi wa Makumbusho hayo utakaofanyika tarehe 30 Mei, 2025.

Makumbusho ya Sanaa ya Metropolitan ni Miongoni mwa Makumbusho Makubwa Duniani ambayo Hutembelewa na Watu Zaidi ya Milioni Tatu kila Mwaka na yamehifadhi Kazi Mbalimbali za Sanaa takribani Milioni Moja na Nusu, zikiwemo Kazi Elfu nne zinazo Wakilisha Mataifa 39 ya Afrika na Tamaduni 206 za Kiafrika.

kabudipjam

tanzania

Endelea kusikilizia Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.

Call 📞 | 📲 | WhatsApp | SMS 📩
+255 758 555 000

Instagram | Facebook | X

✍🏿Na Faith K. Njige Wa | Mhariri Dr. Mtawala wa

TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO +255 758 555 000






**ambinguni

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758555000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtawala Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtawala Radio:

Share