Mtawala Radio

Mtawala Radio Mtawala Radio "duniani k**a mbinguni"
Online Radio

17 JANUARI 2026 •SHOW: DIRA MEZANI "Uelekeo Wetu"•TIME: 12:00 - 14:00 EAT | EVERY SATURDAY •Tune on www.mtawalaradio.onl...
16/01/2026

17 JANUARI 2026

SHOW: DIRA MEZANI "Uelekeo Wetu"

TIME: 12:00 - 14:00 EAT | EVERY SATURDAY

Tune on www.mtawalaradio.online na App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

MADA: "KIJANA NI TUNU"

HOST: Mr Mangapi

GUEST: Balthazar Siprian (Present: Youth Grouth Organization)
Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




16/01/2026

HAKUNA MBEGU INAYOZAA BILA KUOZA

16/01/2026

MWEE MWEE MWEE🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿....KUNA SIKU VIPINDI HAVITAFANYIKA SABABU YA STUDIO KUJAA DAMU.

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio Kupitia www.mtawalaradio.online au kupitia App's Zote za Online Radio Search Mtawala Radio Popote ulipo Duniani.

Follow us on Instagram

Call&WhatsApp +255 758 555 000.

Guest: Pius Mpenda.

Host's: Edgar Mtawala & Aweso Zingo.


**ambinguni


MHE. MAKONDA KUWASILISHA UJUMBE MAALUM WA TANZANIA  CAF•✍🏿na Mtawala Edison. •Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Mich...
16/01/2026

MHE. MAKONDA KUWASILISHA UJUMBE MAALUM WA TANZANIA CAF

✍🏿na Mtawala Edison.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda anatarajiwa kuwasilisha ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwenda kwa Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe wa kuthibitisha dhamira ya Tanzania kuwa moja ya nchi mwenyeji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Januari 16, 2026 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam, saa chache kabla ya kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya ujumbe huo, Mhe. Makonda amesema
kuwa, hatua hiyo ni matokeo ya juhudi kubwa za Serikali katika kuimarisha sekta ya michezo hususan miundombinu ya viwanja, usafiri, malazi na maandalizi ya kiufundi yanayokidhi viwango vya kimataifa.

Ameongeza kuwa, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 itakuwa ni fursa adhimu ya kutangaza sekta ya utalii, kuimarisha diplomasia ya michezo, pamoja na kukuza uchumi kupitia ajira na biashara zitakazotokana na mashindano hayo.

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, tunasikika Duniani kote.

Follow us on Instagram



UCHAGUZI MKUU NCHINI UGANDA •“Wananchi wa Uganda ndiyo wenye kauli ya mwisho kuhusu matokeo ya uchaguzi usio na uhalali....
16/01/2026

UCHAGUZI MKUU NCHINI UGANDA

“Wananchi wa Uganda ndiyo wenye kauli ya mwisho kuhusu matokeo ya uchaguzi usio na uhalali.”

Baada ya kutangaza kuwa alikuwa amewekwa chini ya kifungo cha nyumbani, Bobi Wine amepinga matokeo ya uchaguzi akisema hayana msingi wowote na kwamba kulikuwa na wizi wa kura.

Bobi Wine, ambaye hivi karibuni alikuwa amewaomba wafuasi wake waandamane endapo hatashinda, ameongeza kuwa baada ya matokeo hayo kutangazwa, wananchi wa Uganda ndiyo wenye kauli ya mwisho.

Hadi sasa, matokeo ya awali ya uchaguzi yanaonyesha kuwa Museveni anaongoza kwa kupata zaidi ya asilimia 70 ya kura.

Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, tunasikika Duniani kote.

Follow us on Instagram




16/01/2026

2026 NI MWAKA WA MABALOZI WETU.

Januari 16/2026 tumepiga Stori na kijana aliyeibeba akili ya upambanaji na hakika huyu ni Balozi wetu wa kwanza.




TANGAZO TANGAZO TANGAZO Unatafuta kiwanja bora, salama na chenye thamani ya baadaye?Basi Lanta Estates ndiyo jibu lako!T...
16/01/2026

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Unatafuta kiwanja bora, salama na chenye thamani ya baadaye?

Basi Lanta Estates ndiyo jibu lako!

Tunauza viwanja katika maeneo bora kabisa ya Kigamboni k**a vile Dege, Cheka, Kimbiji na Buyuni.

Maeneo yanayokua kwa kasi, yenye fursa kubwa za makazi na uwekezaji.

■Viwanja vyote vimepimwa rasmi

■Unaruhusiwa kulipa kidogo kidogo

■Ndani ya miezi 18 tu, unapewa hati yako

Tunakwenda kila siku kuanzia Jumatatu hadi Jumapili yaani siku zote za Wiki.

Wasiliana nasi sasa kwa simu nambari
0714 905 722 au 0659 308 250

Na mitandao yetu ya kijamii ni:-
Mama Lanta, Dada Lanta na Lanta Estates

Usikose nafasi hii ya kumiliki ardhi yako leo,
kwa sababu ardhi haisubiri, thamani inapanda kila siku!

Lanta Estates kwa pamoja tunasema "Ardhi ni Mali. Nunua Wekeza"

Nyote mnakaribishwa.

MAPROMOTA WALETE MABONDIA WAKALI•✍️Aweso Zingo.•Bondia Pius Mpenda aliyeweka rekodi nyingi ikiwemo kupanda kwenye ring y...
16/01/2026

MAPROMOTA WALETE MABONDIA WAKALI

✍️Aweso Zingo.

Bondia Pius Mpenda aliyeweka rekodi nyingi ikiwemo kupanda kwenye ring yenye hadhi kubwa Duniani ya Promota Frank Warren mmiliki wa QueenBerry Promotion inayomsimamia Tyson Fury, amesema ili Boxing ya Tanzania iweze kukua mapromota wanatakiwa kuleta wapinzani ambao wataongeza rank kwa mabondia wetu.

Mfano mimi nahitahi kupigana na Canelo Alvarez, hata baada ya kucheza na yule Mmexico kule Saudi Arabia, nilibainisha kutaka Fight na Saul "Canelo" Alvarez, lakini siwezi kupata hiyo nafasi mpaka nipandishe level yangu.

"Canelo ana nyota tano, ni bondia mkubwa sana Duniani, ili nicheze nae nahitaji nipandishe rank yangu, mimi nina nyota mbili, yeye (Canelo) ana nyota tano, nataka kupigana kwanza game za ndani ambazo zitaniongezea rank.

Nitapigana na nani k**a wakina Twaha Kiduku wananikimbia? Kwahiyo mapromota k**a wanaleta mabondia basi walete mabondia wenye uwezo ambao watatuongezea rank".

Mpenda atapanda ulingoni hivi karibuni kuendelea kujiweka sawa, huku tetesi zikihusisha huenda akapanda ulingini na Gwiji mmoja kwenye uzito wa Middle na Super Middle weight.

Endelea kusikiliza Mtawala radio, tunasikika duniani kote.

Follow us on Instagram
+255 758 555 000

✍️ Na | Mhariri wa Mtawala Radio.

CC: |

Mtawala Radio “Duniani k**a mbinguni”




January.17.2026SHOW: "KATIKA ROHO"•TIME: 10:00 - 12:00 EAT - Every Saturday •Tune on www.mtawalaradio.online au kupitia ...
16/01/2026

January.17.2026
SHOW: "KATIKA ROHO"

TIME: 10:00 - 12:00 EAT - Every Saturday

Tune on www.mtawalaradio.online au kupitia App's za Online Radio Search Mtawala Radio.

MADA: "MSAMAHA WA DHAMBI (DAMU YA YESU)

Host's: Pastor Robert Mwaisaka@pastor_robert_mwaisaka

Changia Mada hii Kupitia 📞WhatsApp 📲 SMS
+255 758 555 000.

Angalizo Ujumbe Wako utasomwa Live kupitia Mtawala Radio.

Follow us on Instagram | Facebook | X

Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"




16/01/2026

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758555000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtawala Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtawala Radio:

Share