
31/05/2025
RAIS SAMIA APEWA TUZO YA HESHIMA.
•
✍🏾Na Dr. Mtawala.
•
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt Samia Suluhu Hassan Amepewa Tuzo ya Heshima Mei 31,2025.
•
Hafla hiyo Imefanyika Jijini Dodoma Nchini Tanzania. Tuzo hiyo ya Heshima Imetolewa na Spika Wa Bunge la Tanzania Mhe, Tulia Ackson akiwawakilisha Watanzania Wote.
•
Mhe, Rais Samia amepewa Tuzo hiyo kwa kuthamini na kutambua mchango wake wa Kuleta Maendeleo Kijamii, Kiuchumi na Kidiplomasia Nchini.
•
Viongozi mbalimbali wameshiriki Hafla hiyo akiwemo Rais wa Zanzibar Mhe, Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
•
hmwinyi
tanzania ackson
•
Endelea Kusikiliza Mtawala Radio, Mtawala Radio tunasikika Duniani kote.
•
Call | WhatsApp | SMS 0758 555 000.
•
Instagram | Facebook | X
•
✍🏿na wa Mtawala Radio.
•
📌TANGAZA BIASHARA YAKO NA MTAWALA RADIO KWA BEI NAFUU 0
+255 758 555 000.
•
Mtawala Radio "Duniani K**a Mbinguni"
•