25/07/2025
Ewe Mwanamke Hii ni Habari Njema Kwako, Kutoka Grace Tabernacle Church Tanzania, Chini ya Ulezi wa Mama Mchungaji Lilian Abdulmalik.
•
Wanakuletea kongamano kubwa la kimataifa la mwaka 2025.
•
Hapa ni Rejesha Taji; Mamlaka ya Kumponda Nyoka Kichwa. K**a Isemavyo "Mwanzo 3:15".
•
Mnenaji Mkuu ni Mtumishi wa Mungu, Irene Mbowe anayefahamika k**a Kungwi Lao, Pia Mchungaji Juliana Kusaga na mwenyeji Pastor Lilian Abdulmalik.
•
Njoo upokee Neema na Hekima za Mbinguni ili uweze kusimama kwenye nafasi yako na:-
•
✅Kurejesha Mamlaka yako k**a Mwanamke
✅Kutunza ndoa yako.
✅kuponya ndoa yako.
✅Kutambua kusudi lako uliloitiwa na Mungu.
✅Kutimiza hatima yako hapa Duniani.
•
Ni Tarehe 26 mwezi Huu wa 7 mwaka 2025, kuanzia saa 4 Asubuhi hadi saa 11 jioni.
•
Mahali ni Kanisa la Grace Tabernacle Church Tanzania, Mbezi Beach kwa Zena, Mtaa wa Rungwe, mkabala na Barabara ya Mwai Kibaki.
•
Kwa mawasiliano zaidi, Piga Simu Nambari
0755 81 15 57.
•
Ni siku moja tu iliyojaa Neema, Uvuvio na Kufunguliwa.
•
HAKUNA KIINGILIO.
•
Usikose! Usikiapo tangazo hili mtaarifu na Mwenzio.
•
Sasa Ni Zamu yako Ewe Mwanamke wa Tanzania, Africa Mashariki na Dunia nzima. Vinywaji na Chakula vitakuwepo.
•......Nyote Mnakaribishwa.......