Meridian Sport

Meridian Sport Ukurasa wako namba moja wa habari za michezo Tanzania na kimataifa!

MANCHESTER UNITED YAMTIMUA AMORIMKlabu ya Mnachester United imeamua kumfuta kazi kocha wao Ruben Amorim baada ya kuwa na...
06/01/2026

MANCHESTER UNITED YAMTIMUA AMORIM

Klabu ya Mnachester United imeamua kumfuta kazi kocha wao Ruben Amorim baada ya kuwa na matokeo ambayo hayaridhi kwenye ligi kuu ya Uingereza.

Amorim ameiacha United kwenye nafasi ya 6 wakishinda mechi 8, sare 7 na kupoteza michezo 5 hadi sasa. Je United watamaliza nafasi ya ngapi msimu huu?. Vipi kushiriki UEFA msimu ujao?

Na je Manchester Inahitaji kocha wa aina gani pale Old Trafford ili aweze kuwapatia makombe?.

Endelea kubashiri na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa.

ACF FIORENTINA YAPATA USHINDI WAKE WA KWANZA SERIE AKlabu ya Fiorentina ambayo inashiriki ligi kuu ya Italia yaani SERIE...
22/12/2025

ACF FIORENTINA YAPATA USHINDI WAKE WA KWANZA SERIE A

Klabu ya Fiorentina ambayo inashiriki ligi kuu ya Italia yaani SERIE A hatimaye siku ya jana imeweza kupata ushindi wake wa kwanza baada ya michezo 16.

Ushindi huo wameupata wakiwa nyumbani baada ya kuifunga timu ya Udinese kwa mabao 5-1 huku timu wenyeji wakicheza pungufu toka dakika ya 9 baada ya kupata adhabu ya kadi nyekundu dakika ya 8.

Lakini licha ya ushindi mkubwa ambao wameupata vijana hao wa Paolo Vanoli bado wanashikilia mkia kwenye msimamo wa ligi hiyo wakifikisha pointi 9 hadi sasa huku wakiwa nyuma pointi 23 dhidi ya kinara wa ligi.

Leo hii endelea kufanya ubashiri na Meridianbet ujiweke kwenye nafasi ya kuwa Milionea, lakini pia kwa wale wanaoutumia vitochi piga *149*10 #.

MOROCCO YAANZA KIBABE AFCONTimu ya Taifa ya Morocco imeanza kibabe michuano ya AFCON hapo jana baada ya kuichapa Comoros...
22/12/2025

MOROCCO YAANZA KIBABE AFCON

Timu ya Taifa ya Morocco imeanza kibabe michuano ya AFCON hapo jana baada ya kuichapa Comoros mabao 2-0 kwenye mechezo ambao ulikuwa ni wa ufunguzi katika dimba la Prince Moulay Abdella.

Mabao hayo ya ushindi yalitupiwa kimyani na El Kaabi na Brahim Diaz huku wenyeji hao wa michuano hii wakiutawala mchezo huo kwa 70% kwa 30%.

Je Morocco itafiika hatua gani kwenye michuano hii mikubwa baranai Afrika?. Leo hii endelea kubashiri na Meridianbet ujiweke kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni. Wale wa kitochi piga *149*10 #.

MBAPPE AENDELEA KUWEKA REKODIMshambuliaji wa Real Madrid ameendelea kuweka rekodi hadi sasa akiwa Real baada ya kufikish...
15/12/2025

MBAPPE AENDELEA KUWEKA REKODI

Mshambuliaji wa Real Madrid ameendelea kuweka rekodi hadi sasa akiwa Real baada ya kufikisha mabao na assist 55 kwenye mechi 51 alizocheza hadi sasa.

Pia Mbappe amefikisha mabao 70 kwenye mwaka mmoja na nusu ambao ameitumikia Madrid.

Vilevile Kylian msimu huu amefikisha mabao 31 na assist 7 kwenye mechi 26 alizocheza msimu huu.

Je mshambuliaji huyo wa Kifaransa ataondoka na mabao mangapi msimu huu?. Je ataweza kutetea kiatu chake alichochukua msimu uliopita?

Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni k**a vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.

ARSENAL YAZIDI KUFANYA VIZURI UEFAKlabu ya Arsenal chini ya kocha mkuu, Mikel Arteta imeendelea kufanya vizuri baada ya ...
27/11/2025

ARSENAL YAZIDI KUFANYA VIZURI UEFA

Klabu ya Arsenal chini ya kocha mkuu, Mikel Arteta imeendelea kufanya vizuri baada ya hapo jana kufikisha pointi 15 kwenye mechi 5 ambazo wamecheza.

Si kufikisha pointi 15 pekee, bali kumfunga na Bayern Munich kwa mabao 3-1, huku klabu hiyo inayoongozwa na Kompany ikipoteza kwa mara ya kwanza kwenye mashindano yote toka msimu uanze.

Ikumbukwe kuwa Arsenal haijwahi kushinda taji hili na hueda huu ukawa ndio msimu wao endapo wataendelea kufanya vizuri. Je wewe unaiona wapi The Gunners msimu huu kwenye EPL na UEFA.

Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni k**a vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.

KYLIAN MBAPPE AFIKISHA MAGOLI 9 UEFAMshambualiji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe hatimaye ndiy...
27/11/2025

KYLIAN MBAPPE AFIKISHA MAGOLI 9 UEFA

Mshambualiji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe hatimaye ndiye anayeongoza kwa ufungaji bora wa michuano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) ambapo mpaka sasa ana mabao 9.

Mbappe amefikisha mabao hayo jana baada ya kufunga magoli 4 kwenye mchezo wao dhidi ya Olympiacos ambao ulimalizika kwa wao kupata ushindi wa 4-3.

Je Kylian atachukua kiatu cha ufungaji bora UEFA msimu huu?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya1000 unayapata Meridianbet. Ingia na ubashiri sasa.

LIVERPOOL YAANGUKIA PUA ANFIELDKlabu ya Liverpool chini ya kocha mkuu Arne Slot imeshindwa kupata ushindi kwenye Ligi ya...
27/11/2025

LIVERPOOL YAANGUKIA PUA ANFIELD

Klabu ya Liverpool chini ya kocha mkuu Arne Slot imeshindwa kupata ushindi kwenye Ligi ya Mabingwa jana dhidi ya PSV baada ya kupigika kwa mabao 4-1.

Huu ni mwendelezo wa matokeo mabaya ambayo wameendelea kuyapata Liver baada ya kupoteza pia mechi mbili zilizopita kwenye ligi.

Baada ya hapo watasafiri kwenda London kwaajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya West Ham United.

Je Liverpool msimu huu itashika nafasi ya ngapi kwenye ligi?. Na je huku kwenye Ligi ya Mabingwa watafika hatua gani?

Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni k**a vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.

Kocha wa England, Thomas Tuchel, ametuma ujumbe mzito kwa kiungo wake nyota Jude Bellingham, akisisitiza kuwa mchezaji h...
17/11/2025

Kocha wa England, Thomas Tuchel, ametuma ujumbe mzito kwa kiungo wake nyota Jude Bellingham, akisisitiza kuwa mchezaji huyo lazima aheshimu maamuzi ya benchi la ufundi hata pale yanapomkera

Kocha mkuu wa Brazil, Carlo Ancelotti, ameibua mjadala baada ya kutoa sifa nzito kwa kijana wa Chelsea, Estevão, kufuati...
17/11/2025

Kocha mkuu wa Brazil, Carlo Ancelotti, ameibua mjadala baada ya kutoa sifa nzito kwa kijana wa Chelsea, Estevão, kufuatia kiwango chake cha juu katika ushindi wa 2–0 dhidi ya Senegal kwenye uwanja wa Emirates. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 18 aliendelea kung’ara kwa kufunga bao lake la nne katika mechi kumi tu za kikosi cha wakubwa cha Selecão.

Mabingwa wa Euro 2016, Ureno, wametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao baada ya kuichapa Armenia 9–1 na kutinga Kombe la ...
17/11/2025

Mabingwa wa Euro 2016, Ureno, wametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao baada ya kuichapa Armenia 9–1 na kutinga Kombe la Dunia 2026 kwa kishindo. Wakati huo huo, Norway imeandika historia baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza tangu 1998, ikiichapia Italia nyumbani kwao kwa ushindi wa mabao 4–1 katika uwanja wa San Siro.

Safari ya kuelekea Kombe la Dunia 2026 imechukua sura mpya baada ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) kuiondoa...
17/11/2025

Safari ya kuelekea Kombe la Dunia 2026 imechukua sura mpya baada ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) kuiondoa Nigeria kwenye hatua za mchujo kwa ushindi wa mikwaju ya penalti. Katika mchezo uliopigwa Rabat, Morocco, Wacongo walionyesha ubora wa hali ya juu na kushinda 4–3 kwenye mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1–1 ndani ya dakika 120.

NORWAY YAFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA TANGU 1998Timu ya Taifa ya Norway hatimaye imefuzu kushiriki michuano ya Kombe la D...
17/11/2025

NORWAY YAFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA TANGU 1998

Timu ya Taifa ya Norway hatimaye imefuzu kushiriki michuano ya Kombe la Dunia 2026 ambayo itapigwa huko Barani Ulaya.

Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho Norway kushiriki Kombe la Dunia Erling Haaland alikuwa bado hajazaliwa.

Ni Erling Haaland nidye aliyefanikisha kuipeleka Norway huko Amerika mwakani hapo jana baada ya kufanikiwa kufunga mabao 2 kwenye mchezo wao dhidi ya Italia ambao ulimalizika kwa wao kupata ushindi wa mabao 4-1.

Mpaka sasa mshambuliaji huyo wa Manchester City na Norway amefikisha mabao 30 kwenye mechi 20 alizocheza.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Meridian Sport posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Meridian Sport:

Share