
24/07/2025
Rasmi sasa Kylian Mbappe atavaa jezi namba 10 pale Real Madrid kwa msimu ujao. Ikumbukwe kuwa namba hiyo ilikuwa inavaliwa na Luca Modric ambaye alidumu kalbuni hapo miaka 10.
Mbappe alipotua Real alikabidhiwa jezi namba 9, huku akiondoka k**a mfungaji bora wa msimu uliopita. Je Kylian msimu ujao atapata mafanikio gani mbele ya kocha mkuu Xabi Alonso?
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni k**a vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.