Meridian Sport

Meridian Sport Ukurasa wako namba moja wa habari za michezo Tanzania na kimataifa!

TFF imepiga marufuku kwa wale wote wanaojihusisha na ukusanyaji pamoja na usambazaji wa takwimu pamoja na data nyingine ...
01/05/2026

TFF imepiga marufuku kwa wale wote wanaojihusisha na ukusanyaji pamoja na usambazaji wa takwimu pamoja na data nyingine za mechi bila idhini maalumu.

CAF YAINYANG'ANYA SENEGAL UBINGWA WA AFCON 2025Hapo jana kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika ( CAF) i...
18/03/2026

CAF YAINYANG'ANYA SENEGAL UBINGWA WA AFCON 2025

Hapo jana kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika ( CAF) imetangaza kuwa kwa mujibu wa Kifungu cha 84 cha Kanuni za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), Timu ya Taifa ya Senegal imepoteza mechi ya fainali iliyochezwa Januari 18, 2026 na matokeo ya mechi hiyo kuwa ushindi wa mabao 3–0 kwa Morocco.

Mpaka sasa timu hiyo ya Senegal ambayo inanolewa na kocha mkuu Pape Thiaw hawajatoa tamko lolote kufuatia kauli hiyo ya CAF ya kuwanyang'anya ubingwa, licha ya kuweka picha mtandaoni kule Instagrama na kusindikiza na maneno ya "Forever the First".

LAPORTA ASHINDA KUWA RAIS WA BARCELONA HADI 2031Aliyekuwa Rais wa FC Barcelona Joan Laporta ameshinda kuwa Rais wa timu ...
16/03/2026

LAPORTA ASHINDA KUWA RAIS WA BARCELONA HADI 2031

Aliyekuwa Rais wa FC Barcelona Joan Laporta ameshinda kuwa Rais wa timu hiyo tena hadi mwaka 2031.

Rais huyo alikuwa akiwania kiti hicho pamoja na Victor Font ambaye amepigwa chini na sasa Barca ipo mikono salama wa Laporta.

Chini ya kocha Hans Flick klabu hiyo hadi sasa imeendelea kufanya vyema kweye michuano yote ikiwa ni vinara wa LALIGA, na tayari wanapewa asilimia kubwa ya kusonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali UEFA.

Je Barca msimu huu itachukua vikombe vingapi?. Meridianbet inakwambia hivi endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

CHELSEA YAANGUKIA PUA NYUMBANIKlabu ya Chelsea imeshindwa kupata ushindi mbele ya Newcastle United wakiwa Stamford Bridg...
16/03/2026

CHELSEA YAANGUKIA PUA NYUMBANI

Klabu ya Chelsea imeshindwa kupata ushindi mbele ya Newcastle United wakiwa Stamford Bridge baada ya kupigika kwenye Ligi ya Mabingwa.

Bao hilo la kuwanyima vijana wa Liam pointi 3 lilifungwa na Antonio Gordon dakika ya 18 na kuifanya klabu hiyo ya London kusalia nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi.

The Blues watakuwa kibaruani dhidi ya PSG kwenye mchezo wa Mkondo wa 2 wa Ligi ya Mabingwa huku wakiwa na kazi ya kufunga mabao zaidi ya 3 ili wasonge mbele hatua inayofuata.

Je Chelsea msimu huu watamaliza nafasi ya ngapi?. Na vipi kwenye UEFA wataweza kusonga hatua ya Robo Fainali?

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

LIVERPOOL YAANZA VIBAYA MICHUANO YA UEFA HATUA YA 16 BORAKlabu ya Liverpool imeanza vibaya michuano ya Uefa hatua ya 16 ...
11/03/2026

LIVERPOOL YAANZA VIBAYA MICHUANO YA UEFA HATUA YA 16 BORA

Klabu ya Liverpool imeanza vibaya michuano ya Uefa hatua ya 16 bora baada ya kupigika kwa bao 1-0 dhidi ya Galatasaray Instanbul hapo jana.

Bao hilo la ushindi lilifungwa dakika ya 07 na Lemina huku vijana hao wa Slot wakifanya majariboa kadhaa ya kufunga magoli ambayo hayakuza matunda.

Bada ya kupoteza sasa Liver watarejea Anfield kwenye mchezo wa marudiano na kutaka kufanya Comeback. Je wataweza kwenda Robo Fainali?

ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet hivyo ingia na ubashiri hapa leo.

AC MILAN YAIBUKA NA POINTI 3 KWENYE MILAN DERBYKlabu ya AC Milan iliibuka na ushindi hapo jana kwenye mchezo wao wa Derb...
09/03/2026

AC MILAN YAIBUKA NA POINTI 3 KWENYE MILAN DERBY

Klabu ya AC Milan iliibuka na ushindi hapo jana kwenye mchezo wao wa Derby dhidi ya Inter Milan.

Goli hilo la kuwapa pointi 3 vijana wa Allegri lilifungwa na Estupinan dakia ya 35 huku vinara wa ligi hiyo Inter Milan wakidondosha pointi hizo tatu baada ya kushinda mechi 8 mfululizo kwenye ligi.

Baada ya ushindi huo sasa AC Milan wanapunguza gepu kwa pointi 7. Je nani kuibuka na ubingwa SERIE A msimu huu?

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

ARSENAL YAZIDI KUWA MBABE MBELE YA CHELSEAJana ulipigwa mchezo wa London Derby kati ya Arsenal vs Chelsea huku vijana wa...
02/03/2026

ARSENAL YAZIDI KUWA MBABE MBELE YA CHELSEA

Jana ulipigwa mchezo wa London Derby kati ya Arsenal vs Chelsea huku vijana wa Mikel Arteta wakishinda kwa mabao 2-1.

The Gunners wanazidi kujikita kileleni baada ya kufikisha pointi 64 kwenye msimamo wa ligi. Mabao hayo ya ushindi yalifungwa na Saliba na Timber na bao la The Blues walifunga wao kupitia Hincapie.

Chelsea wamezidi kuwa watumwa wa Arsenal baada ya kushindwa kupata matokeo takribani misimu mitano.

Je msimu huu The Blues watamaliza nafasi ya ngapi?. Na je Arsenal chini ya Arteta watachukua EPL?

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

YANGA YASHINDWA KUFUZU MICHUANO YA CAFKlabu ya Yanga imeshindwa kufuzu hatua ya Robo Fainali hapo jana licha ya kushinda...
16/02/2026

YANGA YASHINDWA KUFUZU MICHUANO YA CAF

Klabu ya Yanga imeshindwa kufuzu hatua ya Robo Fainali hapo jana licha ya kushinda mechi yake dhidi ya Kabylie.

Vijana hao wa Jangwani walikuwa wakitarajia ushindi wa Ahly ili waweze kwenda jatua inayofuata lakini kwa isivyo bahati walitoa suluhu kitu ambacho kilifanya Wananchi waage mashindano hayo.

Yanga wamemaliza na pointi 8 kwenye msimamo wa Kundi B, huku vinara Ahly wakimaliza na pointi 10, AS FAR Rabat pointi 9 na Kabylie wakiwa nafasi ya mwisho.

Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe amesema kuwa watajipanga msimu ujao kwasasa wanawekeza nguzu zao kwenye michezo ijayo ukiwemo ule wa Derby dhidi ya Simba.

NOTTINGHAM FOREST YAMTIMUA SEAN DYCHEKlabu ya ligi kuu ya Uingereza imeamua kumfuta kazi aliyekuwa kocha wao Sean Dyche ...
12/02/2026

NOTTINGHAM FOREST YAMTIMUA SEAN DYCHE

Klabu ya ligi kuu ya Uingereza imeamua kumfuta kazi aliyekuwa kocha wao Sean Dyche baada ya kuwa na mwendelezo wa matokeo mabovu klabuni hapo.

Forest walikuwa nyumbani jana kucheza dhidi ya Forest mchezo ambao ulimalizika kwa suluhu na kuwafanya kuendelea kusalia nafasi ya 17 kwenye msimamo wa EPL.

Mpaka sasa Nottingham imetimua makocha watatu akiwemo Nuno Santos, Ange Postecoglu na Dyche.

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.
Je nani anafaa kuinoa timu hiyo kwasasa ukilinganisha wapo kwenye michuano ya Europa Ulaya?

ARSENAL YAFUZU FAINALI YA CARABAO CUP BAADA YA MIAKA 8Klabu ya Arsenal ambao wapo chini ya kocha mkuu Mikel Arteta wamef...
04/02/2026

ARSENAL YAFUZU FAINALI YA CARABAO CUP BAADA YA MIAKA 8

Klabu ya Arsenal ambao wapo chini ya kocha mkuu Mikel Arteta wamefuzu hatu ya Fainali ya michuano ya Carabao hapo jana baada ya kuichapa Chelsea bao 1-0.

Bao hilo la kuifurumisha Chelsea lilifungwa na Kai Havertz dakika ya 97 ya mchezo na kuwafanya The Gunners kuwa na Aggregate ya (4-2) baada ya mchezo wa Mkondo wa kwanza kushinda kwa 3-2.

Hivyo Vinara hao wa EPL sasa wanamsubiri kati ya Manchester City au Newcastle kukipiga kwenye Fainali ya Carabao.

MADRID YAANGUKIA PLAY OFF UEFAKlabu ya Real  Madrid ambao ndio mabingwa mara nyingi wa Ulaya wameshindwa kufurukuta hapo...
29/01/2026

MADRID YAANGUKIA PLAY OFF UEFA

Klabu ya Real Madrid ambao ndio mabingwa mara nyingi wa Ulaya wameshindwa kufurukuta hapo jana ugenini dhidi ya Benfica kwa kupoteza kwa mabao 4-2.

Benfica ambao wapo chini ya kocha mkuu Jose Mourinho baada ya ushindi huo sasa wamejikatia tiketi ya kucheza Play Off baada ya goli bora kabisa ambalo lilifungwa na golikipa wao Trubin dakika ya 98 ya mchezo.

Madrid ambao wana kocha mpya Alvaro walikuwa wakitaji sare au ushindi kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora lakini sasa mambo yamekuwa magumu kwao na hivyo kusubiri Play Off.

Je kwa jinsi ambavyo Madrid wanaendelea na kiwnago chao watafika hatua ipi ya Ligi ya Mabingwa?

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Meridian Sport posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Meridian Sport:

Share