06/01/2026
MANCHESTER UNITED YAMTIMUA AMORIM
Klabu ya Mnachester United imeamua kumfuta kazi kocha wao Ruben Amorim baada ya kuwa na matokeo ambayo hayaridhi kwenye ligi kuu ya Uingereza.
Amorim ameiacha United kwenye nafasi ya 6 wakishinda mechi 8, sare 7 na kupoteza michezo 5 hadi sasa. Je United watamaliza nafasi ya ngapi msimu huu?. Vipi kushiriki UEFA msimu ujao?
Na je Manchester Inahitaji kocha wa aina gani pale Old Trafford ili aweze kuwapatia makombe?.
Endelea kubashiri na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa.