Mpili TV

Mpili TV Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mpili TV, News & Media Website, Mbezi, Dar es Salaam.

25/12/2025

23/12/2025
Asanteni sana kwa kuendelea kutuamini
23/12/2025

Asanteni sana kwa kuendelea kutuamini

Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’, amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025 mkoan...
16/11/2025

Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’, amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025 mkoani Dodoma.

BREAKING NEWS | Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.
13/11/2025

BREAKING NEWS | Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

TAARIFA KWA UMMA.
03/11/2025

TAARIFA KWA UMMA.

USALAMA UMEIMARISHWA NCHI NZIMA, TUJITOKEZE KUPIGA KURA BILA HOFU — BASHUNGWA📌 Bashungwa atoa onyo kali kwa watakaovurug...
28/10/2025

USALAMA UMEIMARISHWA NCHI NZIMA, TUJITOKEZE KUPIGA KURA BILA HOFU — BASHUNGWA

📌 Bashungwa atoa onyo kali kwa watakaovuruga uchaguzi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa, amewahakikishia Watanzania wote kuwa ulinzi na usalama umeimarishwa nchi nzima, hivyo wananchi wajitokeze kwa wingi kushiriki kupiga kura kuwachagua Rais, Wabunge na Madiwani bila hofu yoyote kesho, tarehe 29 Oktoba 2025.

Bashungwa ameyasema hayo leo, tarehe 28 Oktoba 2025, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaifa, ikiwa ni siku moja kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

“Kesho, Oktoba 29, hakutakuwa na shida yoyote. Vyombo vya usalama vilivyo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani, kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi, vipo timamu nchi nzima. Usalama umeimarishwa, kwa hiyo Watanzania tuende tukapige kura bila kuwa na wasiwasi wowote. Na yeyote atakayethubutu kuvuruga amani, atakutana na kisiki,” amesisitiza Bashungwa.

Aidha, Bashungwa ametoa wito kwa vijana kujitokeza kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo, akiwataka pia kujiepusha na vitendo au vishawishi vyovyote vinavyoweza kuvuruga amani, akisisitiza kuwa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi imebainisha fursa nyingi mahsusi kwa ajili ya vijana.

Kikosi Cha Simba SC
26/10/2025

Kikosi Cha Simba SC

Kikos Cha Yanga SC
25/10/2025

Kikos Cha Yanga SC

Kikos Cha Simba SC
19/10/2025

Kikos Cha Simba SC

TAARIFA KWA UMMA
18/10/2025

TAARIFA KWA UMMA

Vijana wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Karagwe, wakiongozwa na Mwenyekiti wao Alexius Syli...
15/10/2025

Vijana wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Karagwe, wakiongozwa na Mwenyekiti wao Alexius Sylivester, wamefanya hamasa kubwa ya kumkaribisha Mgombea Urais wa CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye anatarajiwa kuzungumza na wananchi na wanachama wa CCM katika mkutano wa kampeni utakaofanyika leo, tarehe 15 Oktoba 2025, katika Uwanja wa Bashungwa – Kayanga.

Akizungumza wakati wa maandalizi hayo, Alexius alimpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake thabiti na kwa kuendelea kulinda amani, umoja na ustawi wa Watanzania, mambo yanayowezesha wananchi kufanya shughuli zao za kiuchumi kwa uhuru na kuleta maendeleo endelevu.

Hamasa hiyo iliyoenea katika mitaa yote ya mji wa Kayanga ilijaza nguvu ya mapenzi, furaha na uzalendo kwa wananchi, huku vijana wakionyesha ari na shauku ya kumpokea Mama wa maendeleo, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255755990645

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mpili TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mpili TV:

Share