Halisi Naturalist

Halisi Naturalist Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Halisi Naturalist, Digital creator, Dar es Salaam.
(1)

Naturalist English https://www.facebook.com/share/1C1qtPhTKd/

🌱 Plant identification & African medicine traditions
🔬 Connecting science & culture
🍃 Nature heals

📱 WhatsApp: +255788900445
📍Bukombe Geita Tanzania

Sisi kwetu tunakiita Ikishenyankwi, na tunakitumia kwa inshu za limbwata, nyota na bahati kwa kuchanganya na dawa zingin...
11/06/2026

Sisi kwetu tunakiita Ikishenyankwi, na tunakitumia kwa inshu za limbwata, nyota na bahati kwa kuchanganya na dawa zingine, pia ni kinga.
Je kwenu mwakiitaje na mnatumiaje?! Haya tupeane maarifa 👂

Kwa mguu unaouma, chukua jani lake moja lipashe kwenye moto kisha lipasue katikati ukanyage ule ute wake, na kisha uchon...
10/06/2026

Kwa mguu unaouma, chukua jani lake moja lipashe kwenye moto kisha lipasue katikati ukanyage ule ute wake, na kisha uchonge k**a sole ya kiatu ya mguu wako, yaani kanyaga kisha uchukue kisu uanze kukata pembeni ibaki ile sehemu uliyo kanyaga tu, kisha toboa kwa juu tundu dogo tu, nenda kaninginize sehemu yoyote ile kwenye mti au jengo.

Usitoe mpaka ikaukie pale pale hata ikichukua mwezi.
Kile kipande kilichobaki jisugulie vizuri sehemu yenye maumivu.
Kila siku utajisugulia na jani jipya kipande asubuhi kipande jioni kwa muda wa siku 7.

Wewe unatumiaje mmea huu share na wenzio wapate maarifa, tunabadirishana maarifa.

Nature heals

06/06/2026

PART 1.... Post iliyopita niliahidi kuwapa video kuhusu kivumbasi/mwinula/ mchawi hana akili.
Wengi mlisema jinsi mnavyokitumia katika tiba na ilipendeza sana.

Leo mimi nimewaletea machache haya, kati ya mengi ambayo nimewaandalia kuhusu mmea huu, kiukweli mmea huu una kazi nyingi sana na nitawaeleza zote ninazo zifahamu.

Tambua kuna vivumbasi aina nyingi, mbili zikiwa maarufu na ambazo nimezikusudia, ni aina hii ya majani membamba na kile chenye majani mapana kinachorefuka zaidi ya hiki.
Hiki ambacho hakilefuki sana kina harufu kali zaidi ya kile kinachorefuka sana.

Dawa nilizo zitaja ni..
-Mafuta ya mnanaa
-Halititi
-Rose water/marashi rose
(Zinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili, dawa za kisuna, au kiarabu)

Una majini mazuri au mabaya? Una marohani lakini hayakusaidii chochote yamefungwa? Unaambiwa una nyota ya kupata/utajiri...
04/06/2026

Una majini mazuri au mabaya? Una marohani lakini hayakusaidii chochote yamefungwa? Unaambiwa una nyota ya kupata/utajiri lakini wewe sio tajiri na dhiki zimekuandama, hujawahi kufanikiwa lolote licha ya kuambiwa hivyo?

Huu mmea unaitwa kivumbasi au mwinula, ni mmea wa ajabu sana ambao unaweza kukusaidia mengi kuanzia matatizo ya majini, nyota, kutoa nuksi, kufungua vifungo, kutibu magonjwa ya kikwapa(harufu) kisichoisha, vidonda vya tumbo, n.k

Nitapost video ya maelezo yote jinsi ya kutumia, lakini labla sijaongea chochote, naomba uniambie kwa faida ya wengine wewe unafahamu nini kuhusu mmea huu....✍️

Halisi Naturalist

01/06/2026
Habbat Al Moulouk – Habat mulk(Croton tiglium)Mbegu hii yenye nguvu hutumika mara nyingi nchini Yemen, pakstan, india, n...
01/06/2026

Habbat Al Moulouk – Habat mulk(Croton tiglium)

Mbegu hii yenye nguvu hutumika mara nyingi nchini Yemen, pakstan, india, n.k katika ruqya kutibu uchawi unaodaiwa kuliwa au kumezwa. Inapaswa kutumiwa kwa tahadhari kubwa sana yaani usizidishe kwa sababu ni dawa kali ya kusafisha tumbo na utumbo.
Wengine huitumia kupunguza tumbo na unene lakini naomba niwaeleze kuwa matumizi hayo si sahihi kabisa, acha mara moja.

Jinsi ya kutumia mbegu ya Habat Mulk

1. Menya mbegu, itafune vizuri kisha imeze ukiwa umekunywa glasi kubwa ya maji.

2. Mara tu baada ya kumeza mbegu, kunywa glasi nyingine kubwa ya maji ili kuzuia muwasho kwenye koo.
3. Kwa sababu ya ukali wake, mbegu hii inaweza kusababisha kichefuchefu kikali, kutapika na kuharisha ili kusafisha tumbo, hivyo inapaswa kutumiwa kwa uangalifu mkubwa.
Nawa mikono yako baada ya kugusa au kumenya mbegu.

4. Kunywa glasi moja au mbili za maji kati ya vipindi vya kutapika ili kupunguza muwasho wa koo na kusaidia mchakato wa kusafisha tumbo.

Tahadhari za matumizi

Usichukulie kwa urahisi mbegu hii ukaifanya chakula cha mazoea, itakugharimu.

Ni muhimu sana kutumia mbegu MOJA TU.
Ikiwa uzito wako ni chini ya kilo 70, na juu ya 70 tumia mbegu 2 tu.

Ikiwa unahitaji kurudia dozi, subiri wiki moja hadi mbili kabla ya kuitumia tena.

Epuka kufunga unapoitumia, kula na kunywa maji mengi.

Usitumie ukiwa mgonjwa au umechoka sana.

Usiwape watoto walio chini ya miaka 12, pia
Hawafai kuitumia wanawake wajawazito au wanaonyonyesha.

Epuka kuitumia ikiwa unahitaji kutoka nyumbani,
badala yake, itumie siku ambayo unajua utabaki nyumbani, ikiwezekana iwe asubuhi, kwa sababu matokeo yake yasiyofurahisha(kuharisha) yanaweza kudumu kwa saa nyingi (saa 7–12 au zaidi).

Ikihitajika, inashauriwa kula asali, ndizi au wali ili kusaidia kupunguza kuharisha, endapo utashindwa kuvumilia mpaka hali ikate yenyewe.

Usiache ku-share wapate elimu na wenzio Halisi Naturalist

25/05/2026

K**a una matatizo ya miguu kuuma, kuwaka moto, kuvimba, kuvuta n.k inayotokana na kukanyaga vitu vibaya.

Umewahi kuoga hiliki ukichanganya na karafuu maiti...?!Inasaidia kuondoa giza/zohari mbaya na kukuwekea nuru na kismart,...
25/05/2026

Umewahi kuoga hiliki ukichanganya na karafuu maiti...?!

Inasaidia kuondoa giza/zohari mbaya na kukuwekea nuru na kismart, unakuwa na bahati

K**a unakojoa kitandani au mwanao hii ndio dawa ya kuacha kukojoa.Chukua kiazi kikuu ambapo hayo majani yanayotambaa ndi...
25/05/2026

K**a unakojoa kitandani au mwanao hii ndio dawa ya kuacha kukojoa.

Chukua kiazi kikuu ambapo hayo majani yanayotambaa ndio ya kiazi kikuu, utachimba kiazi hicho, kimenye, kinakuaga k**a na utelezi k**a bamia kikiwa kibichi unavyokimenya.

Baada ya kumenya kata vipande vidogo vidogo kisha pika kwa kutumia mkojo aliokojoa asubuhi mtoto ambaye ni kikojozi.
Usiweke maji kabisa.
Pia pika kiasi ambacho mtoto huyo akila amalize vyote asibakize hata chembe ya kiazi.

Huu mmea wa Stone breaker au mvunja mawe kuna mtu haujui? Mmea huu upo kila mkoa hapa nchini, K**a una matatizo ya figo,...
23/05/2026

Huu mmea wa Stone breaker au mvunja mawe kuna mtu haujui? Mmea huu upo kila mkoa hapa nchini,
K**a una matatizo ya figo, mawe kwenye figo, U.t.i, mkojo mchache au mkojo unaouma.
Chukua mmea huu mzima mzima baada ya kuung'oa safisha na maji kisha chemsha.
Unywe x3 kwa siku siku 7 mpaka 14, utanishukuru baadae.
Tupia punje moja ya chumvi ya mawe kabla haujanywa.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halisi Naturalist posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Halisi Naturalist:

Share