Halisi Naturalist

Halisi Naturalist Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Halisi Naturalist, Digital creator, Dar es Salaam.
(1)

โœจ Safe space for real stories & community advice
๐ŸŒฑ Plant identification & African medicine traditions
๐Ÿ”ฌ Connecting science & culture
๐Ÿƒ Nature heals

๐Ÿ“ฑ WhatsApp: 0788900445
๐Ÿ“Bukombe Geita Tanzania

Niwape videos leo au niwaache kwanza bado mnatiki..!Nawasalimu waungwana ๐Ÿ™
29/10/2025

Niwape videos leo au niwaache kwanza bado mnatiki..!

Nawasalimu waungwana ๐Ÿ™

28/10/2025

Kwani youtube kuna nini eti?

28/10/2025

๐ŸŒฟ Huu mmea kwa kilugha unaitwa Mfuruka 'Umufuruka' kitaalamu unaitwa 'Senna Didymobotrya' au african senna ๐ŸŒฟ

Ni mmea wa familia ya Fabaceae wenye faida nyingi za kitabibu.
Mmea huu umekuwa ukitumika katika tiba za kiasili na umethibitishwa na tafiti kadhaa za kisayansi.

Matumizi na Faida Zake

1. Matatizo ya tumbo na matumbo/utumbo

Husaidia kuondoa kuvimbiwa, gesi, na matatizo ya tumbo.
Sennosides zilizomo ndani yake husaidia kuchochea mzunguko wa chakula kwenye utumbo kwa urahisi.

2. Kutibia minyoo
Huondoa wadudu wa tumbo kwa ufanisi mzuri.

3. Afya ya vivimbe
Kutibu uvimbe, hemorrhoids/bawasiri harara, mapunye, na magonjwa sugu ya ngozi.

4. Afya ya ini na damu
Huongeza utendaji wa ini na kusaidia kusafisha damu. Ila kama tayari una tatizo la ini usitumie๐Ÿ“

5. Kuondoa sumu mwilini
Inasaidia mwili kuondoa uchafu, kuchochea usafi wa seli, na kusaidia afya ya misuli na mifupa.

6. Hutibu arthritis, gout, na kushughulikia baadhi ya magonjwa ya bakteria na fangasi.

Njia za Matumizi

Poda ya majani robo kijiko changanya na maji ya vugu vugu.

Fanya mchanganyiko wa unga wa dawa hii na karafuu, tangawizi, vitunguu swaumu, manjano, kwa kunywa kutoa sumu mwlini.

Tahadhari Muhimu

Mjamzito epuka kutumia, inaweza kusababisha madhara makubwa.

Watoto: Ni salama kwa watoto zaidi ya miaka 2, lakini tu usizidishe kipimo, mg 5-10.

Usizidishe dozi, matumizi makubwa yanaweza kusababisha kuhara, maumivu ya tumbo. N.k

Watu wenye magonjwa ya figo, ini, moyo, au ugonjwa wa inflammatory bowel disease (IBD) wasitumie bila ushauri wa daktari.

Kuingiliana na dawa nyingine: Virutubisho vya mmea huu vinaweza kuingiliana na dawa za moyo, sukari.

Usisahau ku-share sadaka hii kwa wengine.

28/10/2025

Mti uliopigwa na radi una matumizi mengi, huwa unachanganywa na dawa za kinga, kinga dhidi ya wachawi, na vitu vibaya au shari zingine. Mchawi akijipendekeza litakalo mkuta itakuwa historia.

27/10/2025

Trichodesma indicum (L.) Sm
Familia: Boraginaceae
Jina la kawaida: indian borage
Hupatikana zaidi katika maeneo yenye unyevunyevu.

Imeripotiwa kuwa mmea huu una viambata vya kuondoa sumu mwilini (antioxidant), kupunguza kikohozi (antitussive), kupunguza sukari (antidiabetic), kupunguza uvimbe (anti-inflammatory), kusaidia njia ya mkojo (diuretic), kuua vimelea (antimicrobial), kuua fangasi (antifungal), kupunguza sumu ya ngozi (dermal toxicity) na kuondoa metali hatari mwilini (metal chelating efficacy).

Matumizi kwa matatizo ya ndani ya mwili ni kutengeneza juice ya mmea huu yaani majani na mizizi na kunywa mara 2 kwa siku.

Matatizo ya kiroho kulamba na kuoga unga wake ulio changanywa na ndulele au tula tula.

Tazama video mpaka mwisho, na usisahau ku-share

26/10/2025

"Umuturuka" mti mujarabu kwa ajili ya kuondoa uchawi ndani ya mwili hasa tumboni, kufungua vifungo, kuondoa nuksi na shari zingine.

Mti huu una matumizi mengi sana, ila kwa leo nitawaeleza hayo machache tu.

24/10/2025

Mti huu unaitwa mulama utakusaidia kwa matumizi mengi, mfano kuongeza utamu sehemu zako za siri, kutatua matatizo ya mizimu na kuondoa vifungo vya kichawi.

22/10/2025

Umusange" dawa hii itakusaidia kukupa mvuto wa biashara, utauza vizuri, inshort itakuondolea mikosi na vifungo vifungo ambavyo ndio sababu ya wewe kutofanya biashara vizuri.
Pia itakuwekea kinga dhidi ya wezi wa kimazingara kama chuma ulete na watu wabaya wenye nia mbaya.

Tuandikie Whatsapp +255788900445

21/10/2025

Hii miti inatatua matatizo mengi, kikubwa ujue utaratibu wake, ingurukizi ni dawa kubwa, inaondoa vifungo vilivyoshindikana, inatibu vidonda sugu, inasaidia kwenye kesi na mengine mengi.

Nature heals โค๏ธ

Note: ingurukizi sio mti maalum, ni mti wowote ulioota juu ya mwingine.

21/10/2025

Kwa kumfungua mjamzito ambaye amepitiliza siku za kujifungua.

Baada ya kung'oa mizizi yako asubuhi, pika dawa yako ikishakuwa tayari chukua kikombe chota dawa ukae mlangoni, yaani ukae miguu itazame nje na makalio yatazame ndani, kunywa ile dawa ikiisha achia kikombe kianguke chenyewe, kisha simama uwe kama unatoka nje.
Dawa iliyobaki itunze, kesho tena asubuhi mapema kabla hajaamka mtu kaa mlangoni kunywa dawa yako achia kikombe kijiangushe kisha toka nje.
Usiku kunywa hivyo hivyo.
Kinywa kiasi kidogo tu usinywe nyingi, kunywa kama nusu glass.

Ukiweza kupika mpya kila siku ni bora zaidi.
Tumia siku 3 tu.

21/10/2025

Love doesn't ask why!

20/10/2025

Tulatula/ndulele kwa ajili ya nguvu za kiume, ukichanganya na karanga kavu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halisi Naturalist posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Halisi Naturalist:

Share