Oscar Ocr

Oscar Ocr sports news football ⚽️
love football

HERE WE GO 🤝🏻✊

🚨 OFFICIAL: Klabu ya Mtibwa Sugar imezindua jezi zake za nyumbani kwa Msimu wa 2025/26.
18/09/2025

🚨 OFFICIAL: Klabu ya Mtibwa Sugar imezindua jezi zake za nyumbani kwa Msimu wa 2025/26.

RASMI SASA TABORA UNITED NI TRA UNITED SC Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzani...
18/09/2025

RASMI SASA TABORA UNITED NI TRA UNITED SC

Klabu ya Ligi Kuu ya TABORA UNITED imeuzwa rasmi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na itajulikana k**a TRA UNITED.

Timu itakuwa bado chini ya Manager wa TRA Mkoa wa Tabora mpaka mwezi Januari 2026 ambapo itahamia Dar es Salaam. Mameja na wamutimishi wa TRA mikoa ambayo timu itacheza Ligi Kuu wamehamasishwa kuiunga mkono timu kwa kuipa hamasa. Timu hii ni mahususi kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari.

✅ Lisandro Martínez anatarajiwa kurejea uwanjani mwishoni mwa Oktoba au mapema Novemba.Manchester United haitoharakisha ...
15/09/2025

✅ Lisandro Martínez anatarajiwa kurejea uwanjani mwishoni mwa Oktoba au mapema Novemba.

Manchester United haitoharakisha kurejesha beki huyo ili kuhakikisha anapona ipasavyo na aweze kupata mwendelezo wa dakika kabla ya Kombe la Dunia.

🗣️ Kingsley Coman akifunguka: “Kuhamia Al Nassr? Ndiyo. Cristiano Ronaldo mwenyewe alinipigia simu.”➡️ Kauli hii ni kubw...
15/09/2025

🗣️ Kingsley Coman akifunguka: “Kuhamia Al Nassr? Ndiyo. Cristiano Ronaldo mwenyewe alinipigia simu.”

➡️ Kauli hii ni kubwa sana kwa sababu inaonyesha namna Ronaldo alivyo na ushawishi wa moja kwa moja kwenye soko la wachezaji

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Kiungo wa Real Madrid Jude Bellingham amejiunga na kikosi cha Kwanza cha Real Madrid kunachojiandaa na mechi ya...
15/09/2025

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Kiungo wa Real Madrid Jude Bellingham amejiunga na kikosi cha Kwanza cha Real Madrid kunachojiandaa na mechi ya kesho dhdi ya Marseille kwenye UEFA Champions League.🔥

📸Wananchi wakipiga Saluti kwa viongozi wao kutokana na uongozi bora na wenye mafanikio yasiyo na kifani leo September 7,...
07/09/2025

📸Wananchi wakipiga Saluti kwa viongozi wao kutokana na uongozi bora na wenye mafanikio yasiyo na kifani leo September 7, 2025 kwenye ukumbi wa Super domu masaki ulipofanyika Mkutano mkuu wa mwaka wa Klabu ya Yanga SC.

🚨 BREAKING NEWSKlabu ya Tabora United imeuzwa rasmi sasa itakuwa ni timu inayo inamilikiwa na TRA (Makao Makuu Dar Es Sa...
07/09/2025

🚨 BREAKING NEWS

Klabu ya Tabora United imeuzwa rasmi sasa itakuwa ni timu inayo inamilikiwa na TRA (Makao Makuu Dar Es Salaam).

Viongozi wa Tabora United wamepewa notice ya miezi mitatu kutafuta kazi sehemu zingine kabla Tabora United haijapata jina jipya na Uongozi mpya.

Taarifa kutoka katika Chanzo changu ni kuwa Kampuni ya Diadora Afrika iliombwa ichapishe sticker MILLION MOJA za ubora k...
07/09/2025

Taarifa kutoka katika Chanzo changu ni kuwa Kampuni ya Diadora Afrika iliombwa ichapishe sticker MILLION MOJA za ubora katika jezi za Simba, ambapo tafsiri sahihi ni kuwa Simba imechapishiwa Jezi Million moja na zinauzika zaidi mpaka hivi sasa, huku kwa mujibu wa taarifa ni kuwa jezi nyingi zaidi kuchapishwa na Diadora Africa ni LAKI TANO, hivyo Simba imevunja rekodi hiyo.

AMEANDIKA FARHAN JR.

🚨THAMANI YA KLABU YA YANGA NI BILLION 100 ZA KITANZANIA.Klabu ya Yanga imetangaza kuwa thamani yake ni Shilingi Bilioni ...
07/09/2025

🚨THAMANI YA KLABU YA YANGA NI BILLION 100 ZA KITANZANIA.

Klabu ya Yanga imetangaza kuwa thamani yake ni Shilingi Bilioni 100.

Thamani yake ni mara tano zaidi ya Simba ambayo ni Billion 20.

Klabu ya Tottenham imetangaza kuachana na Mwenyekiti wa klabu hiyo Dany Levy aliehudumia klabu hiyo kwa zaidi ya Miaka 2...
04/09/2025

Klabu ya Tottenham imetangaza kuachana na Mwenyekiti wa klabu hiyo Dany Levy aliehudumia klabu hiyo kwa zaidi ya Miaka 25,Uamzi huo umekuja baada ya Klabu hiyo kupata wawekezaji wapya ndani ya Klabu hiyo.

Mwekezaji na Rais wa heshima wa Klabu ya Simba Mohammed Dewji Amewateuwa wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu y...
04/09/2025

Mwekezaji na Rais wa heshima wa Klabu ya Simba Mohammed Dewji Amewateuwa wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba SC.

Barbara Gonzalez
Hussein Kitta
Azim Dewji
Rashid Shangazi
Swedi Mkwabi
Zuly Chandoo
George Ruhango

“Ndugu wanachama, wapenzi na wadau wa Simba SC, Kwa muda mrefu nimekuwa nikihudumu k**a Rais wa Simba SC na Mwenyekiti w...
04/09/2025

“Ndugu wanachama, wapenzi na wadau wa Simba SC, Kwa muda mrefu nimekuwa nikihudumu k**a Rais wa Simba SC na Mwenyekiti wa Bodi . Hata hivyo , kutokana na majukumu yangu mengine na ukweli kwamba mara nyingi nipo mbali , nimeona ni muhimu klabu yetu ipate kiongozi wa bodi ambaye yupo karibu , mwenye muda wa kutosha na anaweza kushiriki kwa ukaribu zaidi katika shughuli za kila siku . Kwa msingi huo , ninatangaza rasmi kwamba nitaendelea kubaki k**a Mwekezaji na Rais wa Simba SC , lakini nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi sasa inakabidhiwa kwa kiongozi mpya ”.

— MO DEWJI

Address

Dar Es Salaam
VASCOPETER

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Oscar Ocr posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share