Mwanaasha mbugi

Mwanaasha mbugi An Entrepreneur| Hijabi influencer| Motivator| Digital creator| Baker| Real estate owner

LET ME SAY THIS TODAY.....Kuna muda in life embu tujifunze kutake RESPONSIBILITY  katika makosa tunayoyafanya.Aisee kuna...
17/10/2024

LET ME SAY THIS TODAY.....

Kuna muda in life embu tujifunze kutake RESPONSIBILITY katika makosa tunayoyafanya.Aisee kuna watu yeye kila kosa basi atapata tu sababu ili isionekane kuwa yeye ndo amesababisha mpaka limetokea asikwambie mtu ila nawachukia sana hawa watu πŸ˜’

Kwani ungesema tu mm ndo nmefanya mpaka imekuwa hivyo ungepungukiwa nini tena zaidi ungejifunza kutokana na makosa yako but instead utaskia oohhh flani ndo kasababisha ndo maana nmefanya hivyo au stress ndo zmenifanya nifanye hivyo

WAAAAAAAAAT??? KUKOSEA NI PART YA KUJIFUNZA BUT UNAPORUDIA KOSA THEN HAPO NDO UMEKOSEA COZ IT MEANS BADO HUJAJIFUNZA NA TRUUUUUST MEEE UTAENDELEA KUKOSEA HADI UTAKAPOJIFUNZA KUWA UMEKOSEA THEN USIRUDIE TENA HILO KOSA BE SHAARRRP AND MORE FOCUSED NEXT TYM!!!

Thats all for today...More love from πŸŒΉπŸ’žβ€

KIUKWELI LIFE IS TOUGH....ila napokuja kariakoo na kuona watu wanavyopambana basi huwa najisemea oney day its gonna be g...
16/10/2024

KIUKWELI LIFE IS TOUGH....
ila napokuja kariakoo na kuona watu wanavyopambana basi huwa najisemea oney day its gonna be good just keep hustling na naamn one day ntapata nlichokiomba in sha allah πŸ™πŸΏ..

Hivyo usikate tamaa thinking sasa itakuwaje ? NOOO...wakeup piga kazi then amini kwamba ipo siku yako tu 😊❀

THE CLASSY,FANCY,LUXURY PACKAGE β€πŸŒŸπŸ‘ŒAlafu unaambiwa moja ni Alfu tatu tu πŸ‘ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivi hata wewe ungeamini???This one iko sup...
13/09/2024

THE CLASSY,FANCY,LUXURY PACKAGE β€πŸŒŸπŸ‘Œ

Alafu unaambiwa moja ni Alfu tatu tu πŸ‘ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivi hata wewe ungeamini???

This one iko super different na kile ulichozoea so usiache kununua utaste the difference β˜•πŸ˜Š kwa elfu 3000 tu utapata gram 50 ya;-
❀Chai masala
❀Pilau masala
❀Chocolate chai

Hizi bidhaa ni nzuri sanaaa kiafya na ni tamu mno kweny ladha ndo balaaaa ukipika mtaa mzima lazima wakujue πŸ˜€ karibuni sana samnha_spices 0677980873 tupo dar es salaam tabata bima.

❀Ni vizuri sanaa na tunatuma duniani koteee🌍 ukiweka kidogo tu vinakolea haswaa πŸ˜‹πŸ‘Œ

Ukitaka kula vizuri ukafurahiiii basi hivi viungo visikosekane nyumbani kwako trust me this is the big deal yaani very u...
13/09/2024

Ukitaka kula vizuri ukafurahiiii basi hivi viungo visikosekane nyumbani kwako trust me this is the big deal yaani very unique and special for my lovely customers....πŸ˜β€πŸ˜™

Wahi sasa ujipatie CHAI MASALA,PILAU MASALA NA CHOCOLATE CHAI FROM only 1 in TanzaniaπŸ“Œβœ”βœ”βœ”

Tupo tabata bima,Dar es salaam.
πŸ“² 0677980873 call/whatsapp

Samnah spices🌹: Karibuni sana Yaani bonge la suprise....😍😍😍 this one iko super different na kile ulichozoea so usiache k...
13/09/2024

Samnah spices🌹: Karibuni sana Yaani bonge la suprise....😍😍😍 this one iko super different na kile ulichozoea so usiache kununua utaste the difference β˜•πŸ˜Š kwa elfu 3000 tu utapata gram 50 ya;-
❀Chai masala
❀Pilau masala
❀Chocolate chai

Hizi bidhaa ni nzuri sanaaa kiafya na ni tamu mno kweny ladha ndo balaaaa ukipika mtaa mzima lazima wakujue πŸ˜€ karibuni sana samnha_spices 0677980873 tupo dar es salaam tabata bima.

Samnah spices🌹: Packet moja 3000 boss wangu hiyo moja ni gram 50 karibu nikuhudumie kipenz ukinunua kuanzia 10 inakuwa 2800 packet moja.Ni vizuri sanaa na tunatuma duniani koteee ukiweka kidogo tu vinakolea haswaa πŸ˜‹πŸ‘Œ

Tuendelee kufollow na kulike

Almost lost my finger in the process 😭😭😭...Kidole changu nusu kiondoke chote wakati nakata sticker 😦 ila alhamdulillah n...
30/08/2024

Almost lost my finger in the process 😭😭😭...

Kidole changu nusu kiondoke chote wakati nakata sticker 😦 ila alhamdulillah niliweza kumaliza kuandaa bidhaa za wateja wangu kwa wakati πŸ˜₯πŸ“¦πŸ’ͺπŸ»πŸ˜€

Hakuna kitu najali the most k**a furaha ya wateja wangu yaani i will do my absolute best nisiwaangushe kabisa mtapokea deliveries zenu on time....Mungu aendelee kutulinda ili tuendelee kuwapa vitu vizuri samnahloves πŸ˜™

🌹COCOA POWDER🌹CINNAMON(MDALASINI)🌹CARDAMOM(ILIKI)CHOCOLATE CHAI πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜KWA 3000 TU GRAM 50.πŸ“² 0677980873.TUPO TABATA BIM...
30/08/2024

🌹COCOA POWDER
🌹CINNAMON(MDALASINI)
🌹CARDAMOM(ILIKI)

CHOCOLATE CHAI πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

KWA 3000 TU GRAM 50.
πŸ“² 0677980873.
TUPO TABATA BIMA DAR ES SALAAM.

IN THE MAKING OF OUR CHOCOLATE CHAI....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹Tunatengeneza viungo vyetu katika hali ya usafi sana na tunazingatia ubora wa ...
29/08/2024

IN THE MAKING OF OUR CHOCOLATE CHAI....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Tunatengeneza viungo vyetu katika hali ya usafi sana na tunazingatia ubora wa hali ya juu.....
Taste inaendana na harufu ya viungo yaani unaskia harufu ya chocolate basi na sie tumekuletea chai ya chocolate unawez ukainywa kwa kuweka maziwa au la ni maamuzi yako ila vyovyote ladha ipo PALEPALE πŸ™ŒπŸ½πŸ˜™πŸ˜

KARIBUNI SANAAAA WATEJA WETU TUWAHUDUMIE.
TUPIGIE /WHATSAPP 0677980873.
TUPO TABATA DAR ES SALAAM,TANZANIA.

CHOCOLATE CHAAAAAAAAAIIIIIIIII IS READY TO LAUNCH TOMMOROW.......😍😍😍😍 AM SOOOO HAPPYYYYYY AND EXCITED FOR THIS HUUUGE SU...
29/08/2024

CHOCOLATE CHAAAAAAAAAIIIIIIIII IS READY TO LAUNCH TOMMOROW.......😍😍😍😍 AM SOOOO HAPPYYYYYY AND EXCITED FOR THIS HUUUGE SUPRISE!!!!

TUNABIDHAA MPYA SOKONI WATEJA WANGU NEW IN EAST AFRICA NA AFRICA NZIMA KWA UJUMLA πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½
USHAWAHI KUNYWA CHAI YENYE LADHA YA CHOCOLATE WEWEEEEE!!!!!

KWA HILI HATUJAWAANGUSHA TUMEWALETEA KITU KIPYAAAAAAAAAAAAA U WILL LOVE IT NA NAJUA HAITAKAA SANA ITAISHAAAA πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ NGUVU YENU NI KUBWA MNOOO KWENYE KUNISUPPORT SINA MANENO NAWAHESHIMU SANAA.

SOON IN SHA ALLAH MTAIELEWA BRAND HII YA SAMNAH ILIVYO YA KIPEKEE NA YENYE VITU QUALITY TU HATUUZI MAKOPO KABISAAAAA......

NAWAPENDA SANAAA SAMNAHLOVESπŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™

GUESS THE NAME OF OUR NEW MASALA.....😊UNADHANI MASALA HII ITAKUWAJE NA TUTAIITAJE?MSHINDI ANAZAWADI YAKE NONOOOO 😊
29/08/2024

GUESS THE NAME OF OUR NEW MASALA.....😊

UNADHANI MASALA HII ITAKUWAJE NA TUTAIITAJE?
MSHINDI ANAZAWADI YAKE NONOOOO 😊

Viungo vyetu;Chai masala and pilau masalaGram 50 tsh 3000Gram 100 tsh 5000Gram 200 tsh 10000Tupo dar es salaam,Tabata bi...
23/08/2024

Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

The flavour is amaiiiizing πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜πŸ™ŒπŸ½πŸ”₯πŸ‘ŒViungo vyetu;Chai masala and pilau masalaGram 50 tsh 3000Gram 100 tsh 5000Gram 200 ts...
23/08/2024

The flavour is amaiiiizing πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜πŸ™ŒπŸ½πŸ”₯πŸ‘Œ

Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

LADHA YA KIPEKEE KUTOKA KWETU SAMNAH SPICES...Viungo vyetu;Chai masala and pilau masalaGram 50 tsh 3000Gram 100 tsh 5000...
23/08/2024

LADHA YA KIPEKEE KUTOKA KWETU SAMNAH SPICES...

Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

Hii ndo gram 200 ya viungo vyetu vyote.Chupa ni pana sana.Viungo vyetu;Chai masala and pilau masalaGram 50 tsh 3000Gram ...
23/08/2024

Hii ndo gram 200 ya viungo vyetu vyote.Chupa ni pana sana.

Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

Tumempakia mteja wetu wa mtwara chai masala packet 20 na pilau masala packet 10 zote ameemda kuwauzia wateja wake.....Al...
23/08/2024

Tumempakia mteja wetu wa mtwara chai masala packet 20 na pilau masala packet 10 zote ameemda kuwauzia wateja wake.....Alhamdulillah asanteni sanaa kwa support yenu wateja wangu nawapenda sana.
Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

Our brand name and logo😍...Viungo vyetu;Chai masala and pilau masalaGram 50 tsh 3000Gram 100 tsh 5000Gram 200 tsh 10000T...
23/08/2024

Our brand name and logo😍...

Viungo vyetu;
Chai masala and pilau masala
Gram 50 tsh 3000
Gram 100 tsh 5000
Gram 200 tsh 10000

Tupo dar es salaam,Tabata bima
Tupigie 0677980873 au whatsapp tukuhudumie mteja wetu.
Karibuni sanaa samnah spices.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanaasha mbugi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share