Lifeskills Empowerment Organization

Lifeskills Empowerment Organization Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lifeskills Empowerment Organization, Dar es Salaam.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akimkabidhi mchezaji wa Taifa Stars Simon Msuva fedha za goli la mama sh.10M zi...
20/06/2023

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akimkabidhi mchezaji wa Taifa Stars Simon Msuva fedha za goli la mama sh.10M zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan baada ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo wa kufuzu AFCON 2023.

Yanga yaachana rasmi na kocha Nasreddine Nabi.
15/06/2023

Yanga yaachana rasmi na kocha Nasreddine Nabi.

Fiston Mayele ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Ligi Kuu, goli bora la msimu pamoja na tuzo ya Mfungaji bora ambayo pia...
13/06/2023

Fiston Mayele ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Ligi Kuu, goli bora la msimu pamoja na tuzo ya Mfungaji bora ambayo pia ameshinda Saido Ntibazonkiza.

Saido Ntibazonkiza ameshinda tuzo ya mchezo wa kiungwana (Fair Play) na Tuzo ya  kiungo bora pamoja na tuzo ya Mfungaji ...
13/06/2023

Saido Ntibazonkiza ameshinda tuzo ya mchezo wa kiungwana (Fair Play) na Tuzo ya kiungo bora pamoja na tuzo ya Mfungaji bora ambayo pia ameshinda Fiston Mayele.

JAMBO LA FEISAL LIMEISHA
08/06/2023

JAMBO LA FEISAL LIMEISHA

Kila la kheri  kwenye mchezo wenu wa fainali.
28/05/2023

Kila la kheri kwenye mchezo wenu wa fainali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea ...
07/05/2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023. Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari barani Ulaya zinaeleza kuwa mazungumzo kati ya Real Madrid na Borrussia Dort...
04/05/2023

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari barani Ulaya zinaeleza kuwa mazungumzo kati ya Real Madrid na Borrussia Dortmund yanaendelea kuhusu uhamisho wa mchezaji Jude Bellingham.
Makubaliano juu ya maslahi binafsi kati ya Jude na Madrid yameshafikiwa kilichobaki ni Dortmund kukubali kumuuza mchezaji huyo kwenda Real Madrid. Manchester City pia imekuwa ikimfuatilia mchezaji huyo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu akisaini...
18/04/2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu akisaini Mkataba wa makubaliano ya Wanahisa baina ya Serikali na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Evolution Energy Minerals ya Australia.

Una maoni gani kuhusu sakata la mchezaji Feisal Salum linaloendelea.
13/04/2023

Una maoni gani kuhusu sakata la mchezaji Feisal Salum linaloendelea.

Timu ya Leicester City imemtangaza Dean Smith kuwa kocha mpya wa timu hiyo.Smith anarithi mikoba ya Brendan Rodgers amba...
11/04/2023

Timu ya Leicester City imemtangaza Dean Smith kuwa kocha mpya wa timu hiyo.
Smith anarithi mikoba ya Brendan Rodgers ambaye alitimuliwa kufuatia matokeo mabaya ya timu hiyo.
Smith atainoa Leicester hadi mwisho wa msimu huku akiwa na kibarua kikubwa cha kuhakikisha timu hiyo inasalia kwenye Ligi Kuu ya England msimu ujao.

Olivier Giroud amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia AC Milan.Mkataba huo wa muda mfupi unatarajia kufikia ...
10/04/2023

Olivier Giroud amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia AC Milan.
Mkataba huo wa muda mfupi unatarajia kufikia tamati mwezi June 2024.
Everton walionesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji huyo raia wa Ufaransa lakini mwenyewe ameamua kusalia nchini Italia.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lifeskills Empowerment Organization posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share