17/02/2020
hivi Sasa inaaminika kuwa hakuna aliyefanikiwa kuziba pengo la mfalme wa Pop duniani Jackson tangu alipofariki dunia tarehe 25 Juni 2009.
aliwahi nukuliwa akisem kuwa alijua atakuja kuwa msanii mkubwa duniani tangu alipokuwa na umri wa miaka mitano tu! Ndoto ambayo ilifanikiwa
28 mwaka 1984 aliweka rekodi ya kuchukua tuzo 10 za Grammy peke yake rekodi ambayo haikawah vunjwa mpaka leo
moja tu ya Michael haikutimia, Ni Ile iliyomfanya aajiri madaktari wa kutosha tu ili awez kuish miaka zaidi ya 100, kwani alifarki alikiwa na miaka 51 pekee
2020 Michael Jackson anatimiza miaka 11 tangu alipofariki dunia