Tv3 Tanzania

Tv3 Tanzania TV3 Tanzania Is a Sports and lifestyle affairs television station broadcasting in Swahili on Startimes
(1)

TV3 is a lifestyle and sports channel that is designed specifically to cater for the needs of the unreached audience. TV3 intends to be the definition of television transformation, trendsetter and number one platform for all sports, talents and lifestyle local contents. We have a range of programs well structured to meet the audience desires to set a trend that will, in turn, uplift the industry a

t large (by giving new talents a platform), by organizing events and be part of other events, by sparking innovation and creativity through the best local contents. Our target audience is primarily youth between 18 years to 35 years of age but suitable for viewers from all walks of life.

"Binafsi mimi nadhani sehemu ya kumpongeza ni kwamba amaefunga goli la open play kwasababu takwimu zake nyingi zimejifun...
26/09/2025

"Binafsi mimi nadhani sehemu ya kumpongeza ni kwamba amaefunga goli la open play kwasababu takwimu zake nyingi zimejifunga kwenye mipira ya kutengwa kuliko mipira ya open play."


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

" anaenda kuongeza kasi ya mashambuli ndani ya kikosi cha  , ninaposema kasi ni kwamba deffenter anafurahia pale ambapo ...
26/09/2025

" anaenda kuongeza kasi ya mashambuli ndani ya kikosi cha , ninaposema kasi ni kwamba deffenter anafurahia pale ambapo mshambuliaji anayekuja mbele yake anamiliki sana mpira maana yake anaipatia timu yake nzima ioganize kirahisi. "


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Tusisahau maisha ya  tangu akiwa timu ya vijana alikuwa vipi, kila mtu anafahamu kitu ambacho alikifanya tangu akiwa ng...
26/09/2025

"Tusisahau maisha ya tangu akiwa timu ya vijana alikuwa vipi, kila mtu anafahamu kitu ambacho alikifanya tangu akiwa ngazi ya vijana hadi ikuja nafasi ya juu, Morice Abraham nadhani sasa amefika hatua ya kutimiza ndoto zake kwamba talent ambayo alikuwa anaamini itamfikisha mbali, imemfikisha na inaonesha katika levo za ligi kuu ya Tanzania bara."


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Pengine inawekana Matola anafahamu kwamba alipo pale haaminiki kwa asilimia kubwa kupewa kikosi kuwa k**a kocha mkuu, p...
26/09/2025

"Pengine inawekana Matola anafahamu kwamba alipo pale haaminiki kwa asilimia kubwa kupewa kikosi kuwa k**a kocha mkuu, pengine inawezekana Matola anaifahamu nafasi yake"


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Mimi binafsiu naamini k**a Matola akipewa timu anaiweza na anaimudu, na binafsi k**a ndio ningekuwa nafanya maamuzi nin...
26/09/2025

"Mimi binafsiu naamini k**a Matola akipewa timu anaiweza na anaimudu, na binafsi k**a ndio ningekuwa nafanya maamuzi ningemuachia Matola timu moja kwa moja, sasa kuna uwezekano kwamba bado klabu ya hawaamini k**a Matola anatosha "


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Jana timu imeonekana ina utulivu kuliko hata timu ambayo ilicheza mchezo wa CAF champions league, kwahjiyo mimi ninaami...
26/09/2025

"Jana timu imeonekana ina utulivu kuliko hata timu ambayo ilicheza mchezo wa CAF champions league, kwahjiyo mimi ninaamini kuwa Matola muda wa kupewa timu umefika lakini hawana imani na Matola k**a anaweza kubeba majukumu k**a kocha mkuu wa klabu ya "


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Feisal anabaki kuwa ni mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha Azam FC kwasababu katika kipindi cha miaka mitano ya hivi ka...
25/09/2025

"Feisal anabaki kuwa ni mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha Azam FC kwasababu katika kipindi cha miaka mitano ya hivi karibuni hakuna kiungo mzawa ambaye anaweza kufikia kiwango cha Feisal, na cha msingi Ibenge amepata klabu na wachezaji sahihi wa kuwaongoza, huu ni wakati sahihi wa kurejesha heshima yake, heshima yake ilishuka siku ambayo alifukuzwa na AS Vita mwaka 2018 baada ya kupoteza dhidi ya Simba SC"


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

“Azam FC ya msimu huu ni Azam ya kutafuta matokeo, sio ya mambo mengi bali ni maamuzi ya haraka na maamuzi sahihi, Ibeng...
25/09/2025

“Azam FC ya msimu huu ni Azam ya kutafuta matokeo, sio ya mambo mengi bali ni maamuzi ya haraka na maamuzi sahihi, Ibenge anajua kabisa ameingia Azam akijua kabisa kinachotakiwa kwa sasa ni matokeo kwa mechi kubwa na muhimu, Ibenge anatengeneza kasi yake taratibu kuhakikisha kila mechi atakayokutana nayo lazima apate ushindi"


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

“Ukiachana na matokeo ya Yanga ambayo yalikuwa yanategemewa, Romain Folz alipewa changamoto nzuri na alichoonyesha Frans...
25/09/2025

“Ukiachana na matokeo ya Yanga ambayo yalikuwa yanategemewa, Romain Folz alipewa changamoto nzuri na alichoonyesha Fransic Baraza anaonyesha ni muendelezo wa makocha wa kiafrika kuonyesha kuendelea kujiamini, ”


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Mimi nitampongeza zaidi Kocha wa Pamba Jiji FC Fransic Baraza kwasababu ameonyesha kujiamini kwa asilimia kubwa, kuchez...
25/09/2025

"Mimi nitampongeza zaidi Kocha wa Pamba Jiji FC Fransic Baraza kwasababu ameonyesha kujiamini kwa asilimia kubwa, kucheza dhidi ya Yanga ndani ya dakika 90 na kuwauliza maswali magumu sio kitu chepesi, ni timu chache ambazo zimeweza kufanya hivyo lakini hazijaweza kuvumilia dakika zote 90, kipindi cha kwanza pekee ni kipindi ambacho Yanga anaweza kukuadhibu iwapo hautakuwa makini na ikapelekea kipindi cha pili mechi kuwa ngumu, ”


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

“Sehemu nyingine iliyokuwa sahihi ni namna ambavyo Kocha Baraza alivyoingia na mfumo wake dhidi ya Yanga alikuwa na takr...
25/09/2025

“Sehemu nyingine iliyokuwa sahihi ni namna ambavyo Kocha Baraza alivyoingia na mfumo wake dhidi ya Yanga alikuwa na takribani viungo watano mpaka sita maana yake mipira yote ya kugombaniwa wao walikuwa na nafasi ya kushinda mara nyingi, ”


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Kitu sahihi ambacho Yanga SC walikifanya kwenye kipindi cha kwanza ni kupata bao, lakini sehemu ambapo ilifanikiwa kira...
25/09/2025

"Kitu sahihi ambacho Yanga SC walikifanya kwenye kipindi cha kwanza ni kupata bao, lakini sehemu ambapo ilifanikiwa kirahisi sehemu ya kwanza ilikuwa ni kosa la Mwalimu wa Yanga kwenye upangaji wake wa kikosi, hakukuw ana utulivu kwenye maeneo yote, yaani kila sehemu kulikosekana utulivu wa nani anaweza kutulia na mpira na kufanya maamuzi sahihi, ”


CC



Katika kisimbutagatzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 09:00 - 12:30

Telephone

+255755228228

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tv3 Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tv3 Tanzania:

Share

Category