Tv3 Tanzania

Tv3 Tanzania TV3 Tanzania Is a Sports and lifestyle affairs television station broadcasting in Swahili on Startimes
(1)

TV3 is a lifestyle and sports channel that is designed specifically to cater for the needs of the unreached audience. TV3 intends to be the definition of television transformation, trendsetter and number one platform for all sports, talents and lifestyle local contents. We have a range of programs well structured to meet the audience desires to set a trend that will, in turn, uplift the industry a

t large (by giving new talents a platform), by organizing events and be part of other events, by sparking innovation and creativity through the best local contents. Our target audience is primarily youth between 18 years to 35 years of age but suitable for viewers from all walks of life.

Tuandikie maoni yako juu ya MZANI HUU WA KURASANasi tutayasoma maoni hayo mubashara kabisa JUMATANO HII kupitia kipindi ...
22/07/2025

Tuandikie maoni yako juu ya MZANI HUU WA KURASA
Nasi tutayasoma maoni hayo mubashara kabisa JUMATANO HII kupitia kipindi cha Kurasa Mwanzo Mwisho, kinachoruka kuanzia saa 1:00 asubuhi hadi saa 3:00 asubuhi kupitia

Timu nzima ya uchambuzi itakuwepo ikiongozwa na
(MJUMBE), ._ ( Mr. Magazine ) atakayekusogezea Kurasa za magazeti mbalimbali ya michezo na taarifa zake kwa kina.

22/07/2025

Ukiwa shabiki wa Yanga hauna sababu ya kuwa mnyonge

"Kwahiyo naweza kusema ya kwamba wachezaji wa Kenya wamekosa fursa ya kiupekee ya kuendelea kujitangaza kwanza kuanza na...
22/07/2025

"Kwahiyo naweza kusema ya kwamba wachezaji wa Kenya wamekosa fursa ya kiupekee ya kuendelea kujitangaza kwanza kuanza na haya mashindano, ya min tournament kabla ya kuana kuingia kwenye CHAN. Lakini hata hivyo hizi ni. mechi za kirafiuki tu ambazo umuhimu wake unaweza usiwe wa asilimia mia moja kwamba unaweza kuwa unafanya vizuri kwenye friendly match lakini kwenye competition yenyewe ambayo unaenda kufanya ukafanya vibaya"


Cc



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Kenya kujitoa nadhani haitakuwa hatari au hasara kwa upande wa Stars bali itakuwa hasara kwa kenya wenyewe, kwasababu t...
22/07/2025

"Kenya kujitoa nadhani haitakuwa hatari au hasara kwa upande wa Stars bali itakuwa hasara kwa kenya wenyewe, kwasababu timu ambazo zimesalia Uganda na Senegal zinaweza kuwapa chagamoto nzuri tu Taifa stars katika hizo mechi"


Cc



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

22/07/2025

"Kwa upande wa wanapaswa kuchukulia kwa mtazamo chanya kwamba k**a klabu yao tu ambayo msimu uliomalizika imemaliza patupu na kwamba baadhi ya wsachezaji wsaliokuwa wanaonesha walau wanamchango wa kuridhisha wameondoka kwahijyo kuna ulazima was kuchukua wachezaji wenye ubora."


Cc



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"ilipofikia sasa hivi  asilimia kubwa ya viongozi wao hasa wale wa ngazi ya juu, wanazifahamu njia zote za kupambana kat...
22/07/2025

"ilipofikia sasa hivi asilimia kubwa ya viongozi wao hasa wale wa ngazi ya juu, wanazifahamu njia zote za kupambana katika vita ya mpira wa miguu Tanzania"


Cc



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

"Lakini katika maswala ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hasa kwenye maswala ya usajili,  viongozi wa Yanga pia wamekuwa i...
22/07/2025

"Lakini katika maswala ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hasa kwenye maswala ya usajili, viongozi wa Yanga pia wamekuwa imara katika namna hiyo, tunafahamu katika soko la usajili, wachezaji wa kiwango cha kimataifa mfano k**a Moussa Balla Conte, lazima awatengeneze vita kati ya klabu mbili ama tatu ama nne ambazi zinakuwa zinafukuzia saini yake"


Ni ndani ya kurasa mwanzo mwisho, yupo k**a kiranja wa zamu.

Cc



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

21/07/2025

Kwa kiwasngo ambacho amekuwas akikionesha Zimbwe, miaka miwili au mitatu ijayo asingeweza kupata namba ndani ya simba

Cc ._



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

21/07/2025

Muda wa kuendelea kucheza unaelekea ukingoni kwa maana kwamba umri wake unazidi kumtupa mkonmo.

Cc ._



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

21/07/2025

ni dua ukitajiwa tu unapona maradhi yako.

Cc ._



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

21/07/2025

SIMBA NDIO WANAONESHA WACHEZAJI KWA YANGA, WACHEZAJI WA YANGA WALITANGULIA KUONEKANA KWA SIMBA

Cc ._



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

21/07/2025

KISA ZIMBWE, AMESHINDWA KULA KABISA

Cc ._



Katika kisimbuzi cha CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)

Address


Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 09:00 - 12:30

Telephone

+255755228228

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tv3 Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tv3 Tanzania:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Opening Hours
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share