MBOGA MEDIA Online Tv

MBOGA MEDIA Online Tv HABARI | BURUDANI | MICHEZO
MY C.E.O Mboga Comedian
For Business πŸ“ž0614426373 πŸ”₯πŸ”₯

ILA wananchi
18/07/2025

ILA wananchi

Baraza la Mitihani Tanzania limetangaza ramsi kuwa hakuna utaratibu wa kuunganisha vyeti au matokeo kwa mtahiniwa alieun...
13/05/2025

Baraza la Mitihani Tanzania limetangaza ramsi kuwa hakuna utaratibu wa kuunganisha vyeti au matokeo kwa mtahiniwa alieunganisha mitihani wa ngazi moja kwa miaka miwili au zaidi (Waliorudia),

kiufupi hawana utaratibu wa kuweka matokeo ya miaka miwili au zaidi kwenye Cheti kimoja na ngazi moja.

MBOGA MEDIA Online Tv

Daaah ila Harmonize
09/05/2025

Daaah ila Harmonize

MOVIE | Hii filamu mbona imeshia sehemu mzuri sana Muendelezo wake unatoka lini?
08/11/2024

MOVIE | Hii filamu mbona imeshia sehemu mzuri sana

Muendelezo wake unatoka lini?

07/11/2024
YANGA SC πŸ”° VS TABORA UNITED  0 - 2
07/11/2024

YANGA SC πŸ”° VS TABORA UNITED 0 - 2

BURUDANI: Marioo na Nandy kipindi hicho wanajitafuta Kweli maisha yana siri kubwa sana Umejifunza nini hapo? Follow  MBO...
22/10/2024

BURUDANI: Marioo na Nandy kipindi hicho wanajitafuta

Kweli maisha yana siri kubwa sana
Umejifunza nini hapo?

Follow MBOGA MEDIA TZ

TANZIA:  YUSUPH KAIMU  Mzee PEMBE  'COMEDIAN' MSANII WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA  huku akiacha Watoto 10 pamoja Wajukuu...
20/10/2024

TANZIA: YUSUPH KAIMU
Mzee PEMBE 'COMEDIAN' MSANII WA BONGO MOVIE

AFARIKI DUNIA huku akiacha Watoto 10 pamoja Wajukuu 12, Pole kwa aliguswa na msibaa huu.😭😭😭

KHADIJA SHAIBU wa Wasafi FM  Afariki Dunia baada ya kuumwa sana na kulazwaHakika ni simanzi
04/10/2024

KHADIJA SHAIBU wa Wasafi FM Afariki Dunia baada ya kuumwa sana na kulazwa

Hakika ni simanzi

06/07/2024

KUOGA AAAH

Hivi huu msemo nan ame create
Tukutane kwenye comment

BURUDANI: Zuchu  AJAWA NA FURAHA BAADA YA CHRIS BROWN KUMTAMBUA Diamond Platnumz.Aidha msanii huyo alisema kwamba bender...
20/06/2024

BURUDANI: Zuchu AJAWA NA FURAHA BAADA YA CHRIS BROWN KUMTAMBUA Diamond Platnumz.

Aidha msanii huyo alisema kwamba bendera ya tasnia ya Tanzania imepeperushwa duniani.
Muhtasari
"Komasavaa to the world taifa letu Na Afrika kwa ujumla siku zote itakuheshimu kwa Kuwakilisha utamaduni kwa uzuri sana MR BROWN .MUDA WETU UNAFIKA πŸ‡ΉπŸ‡Ώβ€οΈ."

Mwanamuziki aliyesainiwa na Diamond Platnumz, Zuchu amejawa na furaha baada ya mkali wa RnB kutoka Marekani, Chris Brown kufanya changamoto ya kucheza kwenye wimbo wa mwimbaji wa Tanzania 'Komasava' (Comment Ca Va).

Katika ujumbe wake, Zuchu alisema kutambuliwa huku ni jambo kubwa.

Aidha msanii huyo alisema kwamba bendera ya tasnia ya Tanzania imepeperushwa duniani.

Zuchu kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia video ya mwimbaji huyo( Chris Brown) akifanya challenge.

"Hatuwezi jifanya kwamba hili sio jambo kubwa. Kwa kweli hili ni jambo kubwa sio tu kwa diamond platnums bali kwa taifa zima la uswahilini na Afrika kwa ujumla.Bendera ya Tasnia leo Imepeperushwa Azidi kufanya taifa litembee kifua. mbele."

Aliendelea na ujumbe wake na kusema;

"Komasavaa to the world taifa letu Na Afrika kwa ujumla siku zote itakuheshimu kwa Kuwakilisha utamaduni kwa uzuri sana MR BROWN .MUDA WETU UNAFIKA πŸ‡ΉπŸ‡Ώβ€οΈ."

Katika wimbo huo, Diamond Platnumz aliwashirikisha Khalil Harisson na Chley. Video ya wimbo huo imetazamwa zaidi ya milioni 2.7 kwenye Youtube.

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Follow MBOGA MEDIA TZ


Dar es Salaam. Ngoma mpya ya Diamond Platnumz, Komasava imeendelea kuteka mioyo ya mashabiki dunia na sasa supastaa wa M...
20/06/2024

Dar es Salaam. Ngoma mpya ya Diamond Platnumz, Komasava imeendelea kuteka mioyo ya mashabiki dunia na sasa supastaa wa Marekani, Chris Brown ameonekana akicheza wimbo huo kupitia mtandao wa TikTok.

Hata hivyo, mtayarishaji wa ngoma hiyo Salmin Maengo β€˜S2KIZZY’ ameeleza kuwa wimbo huo ambao Diamond amemshirikisha Chley na Khalil Harrison umerekodiwa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani tena ndani ya dakika sita kila kitu kilikuwa kimemalizika.

β€œI’m speechless on this one … certified global anthemworldwide hit this is big for the culture and for africa we move now … Oya wanangu ni kwenye beat ya zombieeeeee put some respect on my name forever.

β€œNB; this song was made on 27 day of Ramadhan πŸ“Ώ Diamond recorded his part only in 6 minutes god is good allahu albar” S2KIZZ ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Hii si mara ya kwanza Chris Brown kuvutiwa na wasanii wa Afrika wiki iliyopita kwenye ziara yake ya β€˜11:11’ alitumbuiza na kucheza ngoma ya β€˜Tshwala Bam’ iliyoimbwa na mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, Titom aliyomshirikisha Yuppe.

Wimbo wa β€˜Komasava’ (Comment Γ‡a Va) unaendelea kupasua anga duniani kutokana na lugha kadhaa kutumika ndani yake.

Kabla ya Chris Brown kufanya Challenge hiyo mtandaoni, mastaa kibao wakiwemo wanasoka wamewahi kufanya pia na kuweka kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii akiwemo Swae Lee kutokea kundi la Rae Sremmurd, Maitre Gims kutokea Ufaransa, Paul Pogba na wengine kibao.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Follow MBOGA MEDIA TZ
Diamond Platnumz
Chris Brown

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MBOGA MEDIA Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MBOGA MEDIA Online Tv:

Share