MBOGA MEDIA Online Tv

MBOGA MEDIA Online Tv HABARI | BURUDANI | MICHEZO
MY C.E.O Mboga Comedian
For Business ๐Ÿ“ž0614426373 ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

21/09/2025

KUTOKA BOTSWANA: Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amekiri kwamba wamepokea taarifa kutoka CAF ikiwajuza kutoruhusiwa kuingiza mashabiki kwenye mechi yao ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Gaborone United kutoka Botswana.

Ahmed amesema wameanzisha mazungumzo na CAF ikiwemo kukata rufaa na baadae ndio watatoa tamko rasmi kwa mashabiki wao kujua mustakabali wa jambo hilo.

Simba jana ilicheza mechi ya mkondo wa kwanza dhidi ya Gaborone United na kushinda kwa goli 1-0 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)

21/09/2025

-----------------



























20/09/2025

-----------------



























Habari za Hivi Punde ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐ŸšจWatu wa Burkina Faso kwa sasa wanajenga sanamu kubwa ya Rais wao Ibrahim Traorรฉ ili kusherehekea...
20/09/2025

Habari za Hivi Punde ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ

Watu wa Burkina Faso kwa sasa wanajenga sanamu kubwa ya Rais wao Ibrahim Traorรฉ ili kusherehekea juhudi zake katika kuirekebisha nchi. Wamesema hawatasubiri afariki ndipo wamtukuze, bali wanamsherehekea akiwa hai.

Funzo la Maadili: Ukifanya mambo makubwa, daima utaheshimiwa na kusherehekewa.

20/09/2025

-----------------




































Kuna somo lingine linatolewa huku na Diadora kwenye uzalishaji wa outfits tofauti na jezi ๐Ÿ“Œ
20/09/2025

Kuna somo lingine linatolewa huku na Diadora kwenye uzalishaji wa outfits tofauti na jezi ๐Ÿ“Œ

20/09/2025

-----------------

















LIGI YA MABINGWA AFRIKA Mnyama anaisaka hatua ya makundi Ligi ya mabingwa Afrika, leo saa 2:00 usiku atakuwa  dimba la F...
20/09/2025

LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Mnyama anaisaka hatua ya makundi Ligi ya mabingwa Afrika, leo saa 2:00 usiku atakuwa dimba la Francistown akicheza na Gaborone United mechi ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika

19/09/2025

-----------------




































19/09/2025

Huu hapa mshuti wa Aziz Adambwile ukiwaandikia Yanga bao la kuongozaโ€ฆ.

HT: Wiliete Benguela 0-1 Yanga

35โ€™ |   Wiliete Benguela 0-1 Yanga SC
19/09/2025

35โ€™ |

Wiliete Benguela 0-1 Yanga SC

BREAKING: Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa taarifa rasmi  kuthibitisha kuinunua timu ya Mpira wa Miguu ya Tabora...
19/09/2025

BREAKING: Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa taarifa rasmi kuthibitisha kuinunua timu ya Mpira wa Miguu ya Tabora United ambayo sasa Imebadilishwa jina na kuwa TRA United SC

Funzo la Maadili: Kodi zetu zimepata Timu ๐Ÿ˜ƒโค๏ธ

Toa maoni gani โœ๏ธ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MBOGA MEDIA Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MBOGA MEDIA Online Tv:

Share