Wasafi FM

Wasafi FM The leading radio station in Tanzania specializing in the latest music & entertainment news.
(1)

02/01/2026

Naibu waziri wa Habari, Sanaa, Tamaduni na Michezo Mhe Paul Makonda akiongea na wachezaji wa timu ya Taifa kuelekea mchezo dhidi ya Morocco wa hatua ya 16 bora mashindano ya AFGON 2025

02/01/2026

WANANCHI WA U*I WAMPA JINA LA UCHIFU RAIS MWINYI KWA KUFANIKISHA UJENZI WA DARAJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza Wananchi kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha mipango na miradi ya maendeleo inatekelezwa na kukamilika kwa wakati uliopangwa.

Rais Dkt. Mwinyi ametoa wito huo leo tarehe 02 Januari 2026 alipoweka jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Daraja la U*i Ng’ambwa pamoja na barabara zake, katika hafla iliyofanyika U*i Ng’ambwa, Mkoa wa Kusini Unguja. Hafla hiyo ni sehemu ya shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Amesema Serikali ina dhamira ya dhati ya kuwaletea Wananchi maendeleo katika nyanja zote za maisha, hivyo ni muhimu kwa Wananchi kuunga mkono juhudi hizo badala ya kuwepo kwa watu wachache wanaokwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Rais Dkt. Mwinyi ametoa kauli hiyo kufuatia kuwepo kwa baadhi ya Wananchi waliogoma kuchukua fidia zao ili kupisha ujenzi wa Barabara ya U*i Ng’ambwa, hali iliyosababisha kuchelewa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Kutokana na hali hiyo, Rais Dkt. Mwinyi amewaagiza Masheha, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa kuhakikisha Wananchi wote ambao bado hawajachukua fidia zao wanafanya hivyo mara moja, ili sehemu iliyobakia ya barabara iweze kujengwa kwa wakati uliopangwa.

Aidha, Rais Dkt. Mwinyi ameonesha kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Daraja la U*i Ng’ambwa lenye urefu wa kilomita 2.2 pamoja na barabara zake zenye urefu wa kilomita 6.5, na kumtaka mkandarasi kukamilisha kwa haraka maeneo yaliyobakia ili Wananchi waanze kunufaika na mradi huo.

Akitoa taarifa ya kitaalamu ya mradi huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Ali Said Bakari, amesema Daraja la U*i Ng’ambwa lenye urefu wa kilomita 2.2 limejengwa na Kampuni ya CCECC kwa gharama ya Shilingi Bilioni 36, likiwa na uwezo wa kuhudumia magari yenye uzito wa hadi tani 60. Mradi huo pia unahusisha ujenzi wa barabara ya njia mbili yenye urefu wa kilomita 6.5 kwa kiwango cha lami.


02/01/2026

CHAKULA CHA MASHAU*I TAMTAM FOOD POINT HAKIFANANI NA KWINGINE
——

02/01/2026

TUNAPATIKANA KINONDONI STUDIO MTAA WA SHENTEMBAA

02/01/2026

MENU ZETU NI ZA KAWAIDA NA KIPEKEE ——.

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

RATIBA ZANGU NAZIPANGA VIZURI, HAZIINGILIANI ——

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

NAWEZA KUHUDUMIA WATU ZAIDI YA 500 - ISHA MASHAU*I

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

UBORA WANGU WA KUPIKA UPO JUU SANA - ISHA MASHAU*I

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

LEO WATU WATAKULA NA KUPATA BURUDANI

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

NIMETUMIA ZAIDI YA MILIONI 100 KUJENGA

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

NIMEJIFUNZA KUTOKATA TAMAAA - ISHA MASHAU*I

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

02/01/2026

Tabasamu❤️🤗 la ndani ya Live kutokea hapa TAMTAM FOOD POINT kinondoni Studio

Pia tupo Live kupitia Youtube chaneli yetu Wasafi Media kuanzia saa 5 hadi saa 8 mchana.

Hosted by:

🖥️✍️ 🎥

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wasafi FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category