Cheche Times

Cheche Times Sisi ni zaidi ya Chanzo cha Habari.

24/12/2025

Soma zaidi hapa...

23/12/2025

The envoy emphasised that Russia’s engagement with Tanzania is based on mutually beneficial trade and investment rather than aid.

22/12/2025

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema kuna uhitaji mkubwa wa maridhiano ya kweli ili kuliunganisha Taifa na kurejesha mshikamano...

22/12/2025

Soma zaidi hapa...

Mwamposa. Kuna watu wamekaa sijui nchi gani huko walikuwa wanasema amesusiwa. Tafuteni kazi nyingine achaneni na imani z...
19/12/2025

Mwamposa. Kuna watu wamekaa sijui nchi gani huko walikuwa wanasema amesusiwa. Tafuteni kazi nyingine achaneni na imani za watu.

19/12/2025

Barker anachukua mikoba iliyoachwa wazi na Dimitar Pantev ambaye Simba iliachana baada ya kufanya vibaya katika mechi mbili za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.

18/12/2025

Hata hivyo, idadi ya raia wanaovuka mpaka na kuingia Tanzania kutafuta hifadhi na usalama imeendelea kuongezeka.

17/12/2025

Serikali imesisitiza kuwa zuio hilo si kamili, na kwamba Watanzania watakaokidhi vigezo wataendelea kupewa ruhusa ya kuingia Marekani

Tanzania itaponywa tukiwa wakweli. Hii ni galari ya mmoja wa wanachama wa chadema. K**a mnavyoona hii ni mwezi wa saba w...
17/12/2025

Tanzania itaponywa tukiwa wakweli. Hii ni galari ya mmoja wa wanachama wa chadema. K**a mnavyoona hii ni mwezi wa saba walikuwa wameanza kuigiza matukio ya picha na video za kuuawa ili baadaye waje kuziachia kwa malengo wanayojua wao. Lukamba yupo hapo na anahusika kwenye hizi muvi za “kuua na damu”. Ushahidi upo na tumewapa polisi kila kitu.

Bila amani na utulivu hata haki ya kwenda kwenye nyumba za ibada kuabudu huwezi kuitumia. Tuitunze amani.
17/12/2025

Bila amani na utulivu hata haki ya kwenda kwenye nyumba za ibada kuabudu huwezi kuitumia. Tuitunze amani.

16/12/2025

WATU HULIPA WATU KUFANYA UFEDHULI?

Februari 27 mwaka 1982 Watanzania watano waliiteka ndege ya abiria ya Tanzania aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikitoka Dar kwenda Mwanza. Watekaji wakampa amri rubani lijendi Deo Mazula kuruka kuelekea Nairobi badala ya Mwanza, kisha Saudi Arabia, Ugiriki na baadaye kutua Uwanja wa Stansted London Uingereza.

MADAI YAO? Walitaka Rais Nyerere aachie ngazi ama la wangeua abiria wote kwenye ndege. Unajua nani alifika uwanjani kuwashawishi kuachana na mpango ule? OSCAR KAMBONA. Huyu alikuwa mpinzani wa Mwalimu Nyerere ambaye alifukuzwa madarakani kwa rushwa na kukimbilia uhamishoni Uingereza. Kwenye video, ndege hiyo ikiruka toka Ugiriki kwenda Uingereza.

TUKISEMA WATU HUTUMA WATU KUFANYA UFEDHULI KWA MASLAHI YAO BINAFSI TUWE TUNAELEWANA.

16/12/2025

Yametimia! Ni maneno unayoweza kuyatumia kuelezea hukumu ya Mahakama Kuu kwa waliokuwa maofisa watatu wa Uhamiaji, kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua Mtanzania waliyemshuku sio raia wa Tanzania.

Address

Dar Es Salaam
14126

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cheche Times posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cheche Times:

Share