Cheche Times

Cheche Times Sisi ni zaidi ya Chanzo cha Habari.

Bonyeza link kupiga kura na kuweka maoni yako. Watu zaidi ya 400,000 wamepiga kura mtandao mpaka sasa ..
11/08/2025

Bonyeza link kupiga kura na kuweka maoni yako. Watu zaidi ya 400,000 wamepiga kura mtandao mpaka sasa ..

Je, utampigia kura Dk. Samia Suluhu Hassan?

Wengi wanatabiri ushindi wake utakuwa zaidi ya asilimia 85. Bonyeza Like k**a unakubaliana nao. Kampeni sasa zinaelekea ...
11/08/2025

Wengi wanatabiri ushindi wake utakuwa zaidi ya asilimia 85. Bonyeza Like k**a unakubaliana nao. Kampeni sasa zinaelekea kuanza rasmi.

10/08/2025
09/08/2025

Rais Samia amechukua fomu ya uteuzi wa kugombea urais INEC leo, Jumamosi Agosti 29, 2025 akiambatana na mgombea mwenza wake, Dk Emmanuel Nchimbi.

09/08/2025

Mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 umefikia patamu baada ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupuliza kipenga cha uchukuaji fomu za uteuzi kwa wagombea.

08/08/2025

Spika wa Bunge aliyeunganisha kambi zote na kujenga sauti ya pamoja ili kuisimamia Serikali. Spika wa Bunge, aliyeufanya mhimili mama, kufanya kazi chini ya Serikali. Spika mcheshi, lakini mwenye...

07/08/2025

Idadi hiyo ya mabasi ni sehemu ya yale 250 yatakayotoa huduma katika njia hiyo, ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya pili ya mradi huo uliokamilika takribani miaka miwili iliyopita.

ZITTO KABWE NA UMALAYA WA KISIASA Katika Dola la Urumi ya Kale Julius Kaizari alisalitiwa na rafiki yake wa karibu sana ...
06/08/2025

ZITTO KABWE NA UMALAYA WA KISIASA

Katika Dola la Urumi ya Kale Julius Kaizari alisalitiwa na rafiki yake wa karibu sana aliyeitwa Brutus. Wakati Kaizari anachomwa visu kuuawa ndani ya Bunge la Roma, Brutus alikuwa mmoja ya waliofanya ukatili ule. Kule Burkina Faso, Blaise Compaore alishiriki kwenye kuondoa uhai wa Thomas Sankara, wawili hao wakiwa marafiki wa karibu. Walichofanya Brutus na Compaore kinaitwa umalaya wa kisiasa (political prostitution).

Hapa Tanzania moja ya watu walioko kundi la Brutus na Compaore ni Zitto Kabwe. Mwalimu Nyerere aliwaita malaya wa kisiasa. Alianza kulelewa na Freeman Mbowe akiwa pale UDSM, Mbowe akamlipia hadi kula yake lakini mwisho akashiriki mapinduzi haramu yaliyofeli dhidi ya Freeman Mbowe CHADEMA. Akatimka na kuanzisha ACT. Baada ya mtikisiko wa CUF, Maalim Seif akampa Zitto nafasi na imani kutumia ACT kuingia Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) Zanzibar. Kupitia muungano ule na imani ile Zitto na ACT wakasimama na kuingia tena mjini kisiasa.

Baada ya kifo cha Maalim Seif, CT Zanzibar ikabaki kwenye GNU lakini Zitto akiitumia kufanya biashara zake na umalaya wa kisiasa na hata kushindwa kuhakikisha makubaliano ya Maalim Seif na CCM Zanzibar kuingia GNU yanafikiwa. Naona sasa kaamia CCM Bara kuendeleza umalaya wa kisiasa, Zitto anajua kwamba wana CCM wote wanaohamia ACT sasa hivi hawana nafasi kushinda chochote ila anachofanya yeye ni k**a Malaya. Anawapokea kutengeneza kelele (k**a urembo wa malaya), ili aweze kujenga uhalali wa kuendelea kubaki kwenye soko la umalaya wa kisiasa iwe kwa wanasiasa, Mamlaka au wafanyabiashara wakubwa.

Yoyote iwavyo, duniani hakuna umalaya wa kisiasa uliowahi kujenga taasisi yenye maisha. Tutakuwepo!

05/08/2025

Regulators are tightening oversight and aligning policies with international standards to mitigate these threats as digital adoption accelerates.

Bonyeza link kupiga kura na kuweka maoni yako. Watu zaidi ya 300,000 wamepiga kura mtandao mpaka sasa ...
04/08/2025

Bonyeza link kupiga kura na kuweka maoni yako. Watu zaidi ya 300,000 wamepiga kura mtandao mpaka sasa ...

Je, utampigia kura Dk. Samia Suluhu Hassan?

04/08/2025

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameivunja bodi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuwateuwa watendaji mbalimbali. Bodi ya NSSF ilikuwa inaundwa na Mwenyekiti...

04/08/2025

Tourist arrivals to Tanzania Mainland reached 794,102 in Jan–May 2025, a 3.7% increase from the same period in 2024, NBS data shows.

Address

Dar Es Salaam
14126

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cheche Times posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cheche Times:

Share