Cheche Times

Cheche Times Sisi ni zaidi ya Chanzo cha Habari.

08/10/2025

Siku moja baada ya kusambaa taarifa za kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, taarifa mpya zimeibuka huku mawakili wake wakifungua kesi ya kutaka mamlaka husika...

07/10/2025

Mahak**a Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekataa ombi la Tundu Lissu, aliyeomba kupokewa maelezo ya maandishi ya shahidi wa kwanza wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili.

07/10/2025
06/10/2025

Sauti kutoka Mwanza.

Anaandika mbobezi Kwame Kivaisi ......"Nafasi za wachaga kujiunga na jeshi na vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla zi...
05/10/2025

Anaandika mbobezi Kwame Kivaisi ......"Nafasi za wachaga kujiunga na jeshi na vyombo vya ulinzi na usalama kwa ujumla zitazidi kupungua sana. Msiniulize kwa nini."

04/10/2025
Akili za kuambiwa .... wataumia wajinga wachache ila mjanja mmoja atakuwa zake Amerika k**a hivi anakula raha na kivazi.
04/10/2025

Akili za kuambiwa .... wataumia wajinga wachache ila mjanja mmoja atakuwa zake Amerika k**a hivi anakula raha na kivazi.

Tanzania haina wajinga na watu wenye fikra fupi na wala hawatakaa wawepo. K**a kuna mtu anadhani anaweza kukaa ughaibuni...
03/10/2025

Tanzania haina wajinga na watu wenye fikra fupi na wala hawatakaa wawepo. K**a kuna mtu anadhani anaweza kukaa ughaibuni huko na kuposti mtandaoni eti wenzake waingie mtaani siku na saa fulani kuandamana kisha yeye atumiwe klipu kuposti huku akiwa anapunga upepo na kunywa sharubati basi anajidanganya. Endelea kufurahia matumizi ya bando.

03/10/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wapya katika taasisi zinazohusika na usimamizi wa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam.

Mgombea wa Wote.Rais wa Wote.Mama.
01/10/2025

Mgombea wa Wote.
Rais wa Wote.
Mama.

Address

Dar Es Salaam
14126

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cheche Times posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cheche Times:

Share