One vision TV

One vision TV Entertainment| Sports | Gossip | Trends | News I
Funny I Here is Home of Updates | Follow For more
(2)

20/04/2026

K**a una jivunia kabila lako mpaka kwenye interview coment hapo chini
Na k**a hujaelewa basi tazama interview nzima mwanzo mwisho kwenye YouTube channel yetu 🇹🇿

20/04/2026

Mrembo ame wataka watu kuacha kutangaza sifa mbaya kwa wanawake wa manyara kuwa hawadumu kwenye ndoa na mausiano na utundu mwingi wa kitandani bali tabia mbaya ina tokana na mtu mwenyewe.

Full exclusive interview ipo kwenye YouTube channel yetu 🇹🇿

20/04/2026

Kwa mujibu wa amedai kwamba wadada wengi wa kaskazini wana ogopwa na wanaume kwenye mahusiano kwasababu hawapo romantic kwenye mapenzi wana ongea k**a wanaume na masela.

🇹🇿

20/04/2026

Huyu sasa amekuwa na moyo wa chuma yani matukio anayo pigwa kwenye mapenzi mama wewe sio jasiri una weza kujimaliza na stress bure kabisa na uka potea.

Full exclusive interview ipo kwenye YouTube channel yetu 🇹🇿

20/04/2026

Mrembo kutokea kaskazini ame funguka mengi sana leo ikiwemo maisha yake ya mahusiano na katika yote hayo moja ya tukio hatokuja kusahau ni kuwahi ku date na mwanaume ambae alikuwa ana cheat na aka wapa wanawake wawili ujauzito na mmoja wali lala nae chumba kimoja 😁😁😁

Interview yote hii ina patikana kwenye YouTube channel yetu 🇹🇿

20/04/2026

maria actress amesema kwamba ifike mahali sasa ma ex wasiwe wana futiwa namba waache wawe wana view status ili waone kwamba ume move on kabisa ili furaha yako iwe uzuni kwao.

Maria yupo sahihi?
Toa maoni yako
🇹🇿

Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam ...
20/04/2026

Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali kitendo kinachodaiwa kufanywa na Madam Rita dhidi ya chombo cha habari cha mtandaoni, ikikitaja kuwa ni kinyume na maadili ya taaluma ya habari.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa JUMIKITA, Dickson Mushi, kwa niaba ya Mwenyekiti Shaban Matwebe, jumuiya hiyo imesema tukio hilo linaonesha dharau, ukosefu wa adabu na kutoheshimu vyombo vya habari pamoja na wanahabari kwa ujumla.

JUMIKITA imeeleza kuwa taaluma ya habari inapaswa kulindwa na kuheshimiwa na wadau wote bila kujali nafasi au hadhi ya mtu katika jamii, na kusisitiza umuhimu wa kuzingatia maadili katika utoaji na ushirikiano wa habari.

Kutokana na tukio hilo, jumuiya hiyo imetoa wito kwa vyombo vyote vya habari nchini kusitisha kumpa ushirikiano Madam Rita hadi pale atakapojitokeza hadharani kuomba radhi kwa umma pamoja na chombo cha habari kilichoathirika.

JUMIKITA imeeleza kuwa hatua hiyo inalenga kulinda heshima na misingi ya taaluma ya habari nchini.

Hivi mna uhakika kweli kabisa wawili hawa hawana mausiano na ukiangalia kabisa walivyo kuwa na kazi ya kwepa camera kwen...
20/04/2026

Hivi mna uhakika kweli kabisa wawili hawa hawana mausiano na ukiangalia kabisa walivyo kuwa na kazi ya kwepa camera kwenye yatch party ya kiredio na kuigiza😂😂😂

Toa maoni yako
🇹🇿

Baada ya kauli ya Madam Ritha kuziita online media uchwara ,mtangazaji Snah ameibuka na kusema kuwa siku hizi online med...
20/04/2026

Baada ya kauli ya Madam Ritha kuziita online media uchwara ,mtangazaji Snah ameibuka na kusema kuwa siku hizi online media ndizo zenye nguvu kuliko main stream k**a wengi wanavyodhania .

Mashabiki jijini London 🇬🇧 walishindwa kujizuia wakati wa performance ya msanii wa Nigeria Yhemo Lee 🇳🇬, wakionesha wazi...
20/04/2026

Mashabiki jijini London 🇬🇧 walishindwa kujizuia wakati wa performance ya msanii wa Nigeria Yhemo Lee 🇳🇬, wakionesha wazi mapenzi yao kwa wimbo wa Simba 🦁 Ft "Joy.” Wakati Yhemo Lee akiwa jukwaani, Mashabiki Walipaza sauti kwa pamoja: “Ikweji… Ikweji… Ikweji… !”, Wakimtaka Acheze 'Ikweji Dance' Kitendo ambacho kimepelekea Msanii Huyo Ku-Share Video Hiyo Fupi Katika IG Story Yake Na Kuandika "Ikweji Dance How?😭" Yani Akimaanisha Ikweji anaicheza vipi ? Onesho hilo lilikuwa la msanii Wa Nigeria aitwaye FOLA, lililofanyika katika ukumbi wa O2 Indigo, ambapo aliwaalika Wasanii kadhaa maarufu wa Nigeria k**a Bella Shmurda, Yhemo Lee, Bnxn, Darkoo, Shoday Na Wengine Kibao Tukio hili linaonyesha wazi namna wimbo Huu “Joy” unavyoendelea kufanya vizuri kimataifa. Kuanzia mitandaoni hadi Kwenye majukwaa ya kimataifa. wimbo huu umefanikiwa kuunganisha mashabiki kutoka mataifa mbalimbali kupitia vibe ya dance Yake ya "Ikweji".

K**ati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi kuu bara (TBLB) katika kikao chake cha aprili 18,2026 ilipitia mwenendo na mat...
20/04/2026

K**ati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi kuu bara (TBLB) katika kikao chake cha aprili 18,2026 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na kufanya maamuzi yafuatayo
Mechi Namba 132: Pamba Jiji Fc 0-3 Young Africans
mchezaji Mudathir Yahya wa club ya Young Africans amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya sh 1,000,000 (milion moja) kwa kosa lakumpiga kiwiko mchezaji wa Pamba Jiji,Ibrahim Abraham wakati mchezo unaendelea kwenye uwanja wa CCM kirumba jijini mwanza.

Simu zitazima kwa mechi tatu

maoni yako ni yapi?

Madam rita Kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya maojiano mengi na media tofauti kwa njia ya simu ame funguka mambo...
20/04/2026

Madam rita Kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya maojiano mengi na media tofauti kwa njia ya simu ame funguka mambo mengi na kuomba radhi kwa kijana wa ambae ni kwa kumtolea maneno makali na ameomba radhi kupitia ukurasa wake wa instagram.

"Binadamu tunaumbwa kukosea na mimi jana bila kutarajia niliteleza,Naomba radhi kwa mike 360 media na kwa kila aliekwazika kwa kauli yangu ambayo nilisema huku nikiwa na mood mbaya,nyie media zote ni wadau wangu na tuendelee kushirikiana."" ameandika Madam Rita

Toa maoni yako
🇹🇿

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when One vision TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to One vision TV:

Share