One vision TV

One vision TV Make your vision Clear

Ameandika hivi  kupitia insta story yake K**a Yupo Mtu Huyu Kwenye Familia Yako BasiMpigie Simu Ama Hata Txt Ya Kujua Ha...
13/10/2025

Ameandika hivi kupitia insta story yake

K**a Yupo Mtu Huyu Kwenye Familia Yako Basi
Mpigie Simu Ama Hata Txt Ya Kujua Hali Yake
Watu wengi sana wanaoitwa KICHWA CHA
FAMILIA ama WANAOONEKANA ndio msaada
Mkubwa kwenye familia zao, huwa wanapitia
MAMBO MAGUMU sana na hawana mtu wa
KUWASIKILIZA. Wengi huwa wanatumia sehemu
KUBWA ya KIPATO chao kusaidia ndugu zao.
Wengi hawaishi maisha wanayotamani kwa
sababu
WANAJITOA sana kusaidia ndugu zao.
Wengi wao huwa WANALAUMIWA sana
wanaposhindwa kufanya kitu bila kujali hali zao
na watu husahau kujitoa kwao kwa kila siku.
Wengi hujikuta wakiwa na MSONGO mkubwa wa
mawazo na HAKUNA anayewajali au kuwasikiliza.
Wengi wameingia kwenye MADENI kwa sababu
walikuwa wanatafuta pesa ili kusaidia shida za
ndugu zao.
Wengi huwa wanachelewa kuwa na MAENDELEO
BINAFSI kwa sababu wanatumia PESA zao nyingi
kwa ajili ya NDUGU. Wengi huwa WANAUMIZWA
sana na MANENO ya ndugu au KUSALITIWA na
ndugu waliowahi kuwasaidia. Wengi wao huwa ni
watu wenye HUZUNI za muda mrefu
K**a unae huyu mtu kwenye familia
onyesha thaman ya kujali, Na k**a ni
wewe basi Mungu akuzidishie zaid ya hapo
ulipo Amen
Wako Katika Kukumbushana
"Abal Bashar" Mpemba

VISION TV
UPDATES
FOR MORE UPDATES

Jana mdogo wetu  ame tangaza kwambaame jiondoa kwenye team ya WannaMan gang naleo kiongozi wa wannaman Gang  ame mjibuku...
09/10/2025

Jana mdogo wetu ame tangaza kwamba
ame jiondoa kwenye team ya WannaMan gang na
leo kiongozi wa wannaman Gang ame mjibu
kupitia page yake ya instagram na ameandika ya
maneno haya.
DAAH UKWELI UNAWEZA UKAWA NA ROHO
NZURI LAKINI BADO BINADAMU WAKAKUFANYIA
ROHO MBAYA DAAH SAMNMOOGO WANGU KWA
YOTE NILIOKUFANVIA UMEAMUA KUFANVA KITU
K**A HIKI KWELI MFADHILI MBUZI UTAKUNYWA
MCHUZI BINDAMU ANAMAUDHI
Tuna subiri tamko la dogo sajenti k**a alivyo ahidi

VISION TV
UPDATES
FOR MORE UPDATES

23/09/2025

Cardi B Afunguka: Talaka Yake na Offset Yacheleweshwa kwa Sababu za Kodi na Mali

Mwanamuziki maarufu duniani Cardi B ameeleza hadharani sababu ya kucheleweshwa kwa talaka yake na rapa Offset, licha ya wawili hao kutangaza kuachana muda mrefu.

Katika mahojiano ya moja kwa moja, Cardi B alifichua kuwa talaka hiyo haijakamilika kwa sababu ya madai yanayohusiana na kodi na mali. Kwa mujibu wa Cardi B, Offset ameweka masharti mazito ambayo yamezuia mchakato wa kisheria kuendelea.

> “Talaka haijamalizika kwa sababu Offset anataka mimi nishughulikie kodi zake na pia anataka apate nyumba moja kati ya mali zangu kabla ya kusaini,” alisema Cardi B kwa hisia.

Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Marekani vinaeleza kuwa Offset anataka mzigo wa kodi zake ubebwe na Cardi B, pamoja na kupata sehemu ya mali zake – ikiwemo nyumba – k**a sehemu ya mgawanyo wa mali.

Kwa upande wake, Cardi B anasema anahisi k**a anashikiliwa mateka kisheria kwa sababu masharti hayo hayako sawa. Ingawa wapo kwenye hali ya kuishi tofauti (legally separated), bado hawajafanikisha talaka rasmi.

Hali hii imeibua mjadala mkubwa mtandaoni, huku mashabiki na wachambuzi wakisema kuwa mchakato wa talaka za mastaa mara nyingi unakuwa na changamoto kubwa kutokana na mali, kodi, na maslahi ya kifedha.

Click the link below for more details
https://youtu.be/18rk3LO6n_w?si=zHiLZG2vkSXU1R6U

VISION TV
UPDATES
FOR MORE UPDATES

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when One vision TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to One vision TV:

Share