29/05/2026
Ukiingia wa mwisho kwenye chumba cha interview mtu wa mwisho
Kuna hasara zifuatazo
1. Panelist wanaweza kuwa wameshachoka hivo wasikuzingatie sana
2. Wanaweza kuwa wameshamchagua mtu wao tayari hasa kutoka kwa yule wa mwanzo aliye set standard.
Ila kuna faida za kuwa wa mwisho pia k**a zifuatazo
Kwanza ingia chumba cha interview ukiwa na Energy kubwa. Epuka kuongea kwa sauti ndogo, low energy.
Pili: tumia mbinu ya STAR METHOD kujibu maswali.
Kwa maana ya SITUATION, TASK, ACTION, REACTION.
Mfano unaweza kujibu hivi:
“Tulikuwa tunachelewa reports kila wiki (Situation), nikapewa jukumu la kurekebisha mfumo (Task), nikaanzisha mfumo mpya (Action), ucheleweshwaji wa report ukashuka kwa 70% (Result).”
Ya tatu: Tumia Impactfull word badala ya kusema nina passion, confidence, sijui mimi ni trustworth
Sema hivi: Mimi naweza kupunguza malalamiko ya wateja kwa asilimia 30%.
Hayo maneno yanaonesha impact sio maneno matupu.
Umewahi kukutana na tukio gani ulipoingia wa mwisho kwenye chumba cha interview ?